MARAIS WASTAAFU THABO MBEKI, FESTUS MOGAE NA BENJAMIN MKAPA WAKUTANA DAR ES...
Marais wastaafu Thabo Mbeki wa Afrika Kusini na Festus Mogae wa Botswana wakiingia kwenye ukumbi wa Mkutano katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo wakati wa mkutano wa mwaka wa Africa...
View ArticleRAIS JAKAYA KIKWETE ALIHUTUBIA TAIFA ASISITIZA KINACHOJADILIWA BUNGENI NI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia Taifa katika Hotuba yake ya Mwisho wa Mwezi.Rais Jakaya Kikwete amelihutubia Taifa ambapo alizungumzia mambo mbali mbali,...
View ArticleDK. FENELLA MKANGARA MGENI RASMI UZINDUZI WA MAFUNZO YA MAKOCHA WA SOKA LEO,...
Dar es Salaam, TanzaniaWaziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mafunzo ya makocha wa mpira wa miguu utakaofanyika kwenye Uwanja wa...
View ArticleRAIS KIKWETE AWASILI WASHINGTON KUHUDHURIA MKUTANO WA VIONGOZI WA WAKUU WA...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dulles tayari kwa Mkutano wa Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Amerika na Africa (US-Africa...
View ArticleCCM YASTUKIA USANII WA UKAWA
Chama Cha Mapinduzi kimewastukia Ukawa na kusema wanachofanya ni Usanii usiokuwa na tija mbele ya mambo ya msingi kwa Taifa la Tanzania, akizungumza na mwaandishi wa habari hizi Katibu wa NEC...
View ArticleMANISPAA YA KINONDONI YAFANYA MAKUBWA UTEKELEZAJI ILANI YA CCM JIMBO LA KAWE
*Yatekeleza agizo la Rais Kikwete*Ni ya jimbo kuwa na hospitali kubwa NA BASHIR NKOROMOCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeshuhudia makubwa yaliyofanywa na Manispaa ya wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es...
View ArticleWAZIRI AMOS MAKALLA AFIWA NA BABA YAKE MZAZI
Marehemu Gabriel MakallaNaibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla anasikitika kutangaza kifo cha babake mzazi,...
View ArticleMANISPAA YA KINONDONI YATAKIWA ISIGAWE KWA UPENDELEO VIZIMBA KITUO KIPYA CHA...
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda na Naibu Meya wa Manispaa hiyo, Songoro Mnyonge wakiongoza wajumbe kukagua ujenzi wa Kituo cha Biashara kwa ajili ya Machinga na Mamalishe katika eneo la...
View ArticlePINDA AFUGUA MAONYESHO YA NANENANE MBEYA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kufungua maonyesho ya Wakulima Nanenane Kanda ya Nyanda za Juu Kusini kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya August 2, 2014. (Picha na Ofisi ya...
View ArticleWAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRICK SUMAYE AZINDUA ALBAM YA "SHIKILIA PINDO LA YESU"...
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akikata utepe wakati akizindua rasmi albam ya Rose Muhando mwimbaji wa muziki wa injili inyoitwa Shikilia Pindo la Yesu katika onesho kubwa la uzinduzi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MTUKUFU AGAHKAN IKULU DAR ES SALAAM, LEO.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Taasisi ya Maendeleo ya Agakhan Duniani, His Higness Prince Karim Agakhan,...
View ArticleRAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO...
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DCViongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati...
View ArticleSTAR OILS KAMPUNI DADA YA MeTL GROUP YAPATA MKOPO WA BILIONI 100 KUTOKA NBC
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bi. Mizinga Melu akizungumza kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa bilioni 100 za kitanzania baina ya benki yake na kampuni ya MeTL mwishoni mwa wiki jijini Dar es...
View ArticleHOTUBA YA RAIS KIKWETE ALIYOTOA KWA WATANZANIA WAISHIO MAREKANI MJINI...
Karibu kusikiliza hotuba ya Mhe. Dk Jakaya M Kikwete alipozungumza na waTanzania usiku wa Agosti 2, 2014 kwenye hotel ya Marriot, jijini Washington DC nchini Marekani.
View ArticleVETA KATIKA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE VIWANJA VYA NGONGO MKOANI LINDI
Wafanyakazi na wanafunzi wa Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA kutoka vyuo mbalimbali nchini wapo katika maonesho ya wakulima nane nane yanayofanyika Kitaifa Mkoani Lindi katika viwanja vya...
View ArticleBADO NYUKLIA ,MAJI NA MAKAA YA MAWE NI MUHIMU KWA NISHATI AFRIKA
Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim.Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim amesema vyanzo vya nishati vya maji, nyuklia na makaa ya mawe ni muhimu...
View ArticleMBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI...
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akikata utepe kuzindua maktaba ya shule ya sekondari ya Chalinze mjini Chalinze jana ambayo imejengwa na Kampuni ya Tanga Cement kupitia bidhaa yake ya...
View Article