Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kufungua maonyesho ya Wakulima Nanenane Kanda ya Nyanda za Juu Kusini kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya August 2, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Muuza kofia maarufu katika jiji la Mbeta Maria Julius akiuza kofia katika Maonyesho ya Wakulima Nanenane yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya August 2, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Muuza kofia maarufu katika jiji la Mbeta Maria Julius akiuza kofia katika Maonyesho ya Wakulima Nanenane yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya August 2, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)