Quantcast
Channel: CCM Blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 22438

WAZIRI AMOS MAKALLA AFIWA NA BABA YAKE MZAZI

$
0
0

                                                         Marehemu Gabriel Makalla

Naibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla anasikitika kutangaza kifo cha babake mzazi, Gabriel Makalla kilichotokea usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa waziri Palm Residence Ocean Road namba 18E Dar es Salaam, Mwili utaagwa Jumapili katika Kanisa la Azania Front saa 6 mchana.

Baada ya hapo mwili utasafirishwa kwenda Mvomero kwa mazishi yatakayofanyika Jumatatu saa 7 mchana.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 22438

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>