Dar es Salaam, Tanzania
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mafunzo ya makocha wa mpira wa miguu utakaofanyika kwenye Uwanja wa Karume, leo Agosti Mosi, 2014, kuanzia saa nne asubuhi.
Taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawsiliano Serikalini, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema, mafunzo hayo yanaendeshwa na wataalam kutoka Barcelona nchini Hispania
Kufuatia umuhimu wa tukio hilo, Waandishi wa habari wamekaribishwa kuhudhuria.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mafunzo ya makocha wa mpira wa miguu utakaofanyika kwenye Uwanja wa Karume, leo Agosti Mosi, 2014, kuanzia saa nne asubuhi.
Taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawsiliano Serikalini, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema, mafunzo hayo yanaendeshwa na wataalam kutoka Barcelona nchini Hispania
Kufuatia umuhimu wa tukio hilo, Waandishi wa habari wamekaribishwa kuhudhuria.