Quantcast
Channel: CCM Blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 22418

DK. FENELLA MKANGARA MGENI RASMI UZINDUZI WA MAFUNZO YA MAKOCHA WA SOKA LEO, UWANJA WA KARUME

$
0
0
Dar es Salaam, Tanzania
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa  mafunzo ya makocha wa mpira wa miguu utakaofanyika kwenye Uwanja wa Karume, leo Agosti Mosi, 2014, kuanzia saa nne asubuhi.


Taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawsiliano Serikalini, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imesema, mafunzo hayo yanaendeshwa na wataalam kutoka Barcelona nchini Hispania

Kufuatia umuhimu wa tukio hilo, Waandishi wa habari wamekaribishwa kuhudhuria.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 22418

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>