WAKULIMA WA KAHAWA KAGERA WAPITISHA MAKISIO YA WANUNUZI KWA MSIMU WA MWAKA...
Katibu Tawala Mkoa wa Kagera Toba Nguvila akizungumza katika kikao hichoNa Lydia Lugakila, BukobaKatibu tawala mkoa wa Kagera Toba Nguvila amewatahadharisha wakulima wa zao la kahawa mkoani humo,kuacha...
View ArticleWAZIRI MKUU AZINDUA KAMPENI YA MAMA SAMIA, ATEMBELEA BANDA LA NMB
Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa (kulia) akimsikiliza Mkuu wa Idara ya Biashara za Serikali wa Benki ya NMB, Vicky Bishubo ( kushoto) alipotembelea banda la...
View ArticleNMB YAWA KINARA MAONESHO YA OSHA
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako (wa pili kulia) akimkabithi Afisa Mwandamizi wa Afya na Usalama Mahali pa Kazi, Caroline Baraza...
View ArticleYANGA SC WAWEKA HISTORIA, WATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO
 HATIMAYE Yanga SC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya sare ya bila kufungana na Rivers United ya Nigeria katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Uwanja wa...
View ArticleSERIKALI YASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WOTE UWANJA WA MKAPA
SERIKALI imeusimamisba kazi uongozi wote wa Juu wa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kupisha uchunguzi wa tukio la kuzimika kwa taa wakati wa mechi, ambalo jana lilijirudia kwa mara ya pili...
View ArticleWAZIRI NDALICHAKO:RAIS SAMIA AMEIMARISHA UHUSIANO WAFANYAKAZI NA WAAJIRI
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono viongozi pamoja na Wafanyakazi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Jamhuri kwa ajili ya kushiriki Maadhimisho ya...
View ArticleCCM YAMPONGEZA RAIS DKT MWINYI KUPANDISHA PENSHENI KWA WAZEE
  KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis,akizungumzia masuala mbalimbali ya kisiasa.NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
View ArticleCCM Blog: MAGAZETI YA TANZANIA BARA, ZANZIBAR NA NCHI ZA NG'AMBO, LEO J4...
Gazeti la UHURU👆 leo tena lipo kote, likiwa limesheheni Habari za Ukweli na Uhakika. ukilikosa...
View ArticleDKT BITEKO AZINDUA KIGODA CHA WAZAZI KWAMTORO, CHEMBA+video
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kupitia Jumuiya ya Wazazi, Waziri wa Madini, Dkt. Dotto Biteko akipandisha bendera ya CCM ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Kigoda za Wazazi mjini Kwamtoro, Chemba...
View ArticleBALOZI WA MAREKANI AJITAMBULISHA KWA RAIS DK. MWINYI, IKULU ZANZIBAR, LEO
Ikulu, ZanzibarRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi amesisitiza kuwa Serikali inaunga mkono uwekezaji katika maeneo ya uchumi wa Buluu ikiwemo usafirishaji wa...
View ArticleWAZIRI MKUU, SPIKA WAFURAHISHWA NA MAZIWA YA ASAS+video
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson wamefurahishwa na bidhaa za maziwa walipotembelea Banda la Kampuni ya ASAS katika Maonesho ya Wafugaji na Wavuvi yaliyoandaliwa na...
View ArticleGENZABUKE AZIDI KUPAMBANIA UJENZI WA BARABARA YA UVINZA-MALAGALASI+video
Mbunge wa Viti Maalumu, Josephine Genzabuke amehoji ni lini ujenzi wa barabara ya Uvinza= Malagalasi mkoani Kigoma uatamalizika?Amehoji hilo bungeni Dodoma Mei 2, 2023 wakati wa kipindi cha maswali...
View ArticleCCM Blog: MAGAZETI MAKUBWA YA TANZANIA BARA, ZANZIBAR NA NCHI ZA NG'AMBO, LEO...
Gazeti la UHURU👆 leo tena linapatikana nchini kote, likiwa limesheheni Habari za Ukweli na Uhakika. Hakikisha unapata nakala yako mapema. Ukilikosa tusilaumiane!Â
View ArticleRAIS DK. MWINYI AHUTUBIA KONGAMANO LA MIAKA 30 YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Maadhimisho ya miaka 30 ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Ukumbi wa Golden...
View ArticleRAIS DK. MWINYI AWATAKA WAANDISHI WA HABARI WATAMBUE KUWA HAKUNA UHURU USIO...
Golden Tulip, ZanzibarRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka Waandishi wa Habari watambue kuwa hakuna uhuru usio na mipaka, wala hakuna uhuru bila wajibu...
View ArticleNDOMBA, MADIWANI KIBAHA MJINI KUTUA SHULE YA MSINGI MKOMBOZI KESHO
Kutoka Kushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mussa Ndomba akiwa na Makamu Mwenyekiti Celina William (Diwani Viti Maalumu Chama Cha Mapinduzi).Na Dismas LYASSA, KibahaMWENYEKITI wa...
View ArticleCCM Blog: MAGAZETI MAKUU YA TANZANIA BARA, ZANZIBAR NA NCHI ZA NG'AMBO, LEO...
Gazeti la UHURU👆 leo tena linapatikana nchini kote, likiwa limesheheni Habari za Ukweli na Uhakika. Hakikisha unapata nakala yako mapema. Ukilikosa tusilaumiane!Â
View Article