Quantcast
Channel: CCM Blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 22430

SERIKALI YASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WOTE UWANJA WA MKAPA

$
0
0


SERIKALI imeusimamisba kazi uongozi wote wa Juu wa Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kupisha uchunguzi wa tukio la kuzimika kwa taa wakati wa mechi, ambalo jana lilijirudia kwa mara ya pili timu ya Yanga ikimenyana na Rivers United ya Nigeria.

Pamoja na hayo, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetoa pongezi kwa klabu ya Yanga kufuzu Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kufuatia kuitoa Rivers United ya Nigeria kwa jumla ya mabao 2-0.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 22430

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>