Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22400 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIVUKO CHA MWAYA-KAJUNJUMELE KUANZA KAZI HIVI PUNDE+video

 Mbunge wa Kyela, Ali Mlagila akihoji bungeni ni lini kivuko cha Mwaya-Kajunjumele jimboni humo kitaanza kufanya kazi?Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 27,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA NMB YASHIRIKI WIKI YA UBUNIFU 2023-DODOMA

Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kati – Nsolo Mlozi akimueleza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule alipotembelea banda lao kuhusu masuluhisho yao ya kidijitali katika viwanja vya Jamhuri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMUIYA YA WAZAZI CCM KAGERA YATOA MAAGIZO KABU ZIANZISHWE SHULENI KUWAJENGA...

Wanafunzi wa Sekondari ya Bukoba walioshiriki katika kongamano hilo Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi (CCM) Mkoa wa Kagera Alphonsina Barongo akizungumza  katika kongamanoNa Alodia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. KAIJAGE: MUUNDO WA UTUMISHI WA MADAKTARI BINGWA UPITIWE UPYA+video

Mbunge wa Viti Maalumu, Dkt. Alice Kaijage ameihoji serikali bungeni Aprili 28, 2023 kwamba haioni haja ya kuupitia tena muundo wa utumishi wa madaktari bingwa wa mwaka 2022?Amehoji hilo wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAKUBALI KUTENGA FEDHA UJENZI WA BARABARA YA CHUNYA HADI SANGAMBI+video

 Mbunge wa Lupa, Chunya, Masache Kasaka leo bungeni ameibana serikali kwamba  itenge fedha za ujenzi wa barabara ya kutoka Chunya Mjini hadi Sangambi kwa kiwango cha changarawe.Akijibu kwa niaba ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF. NDAKIDEMI ATAKA SERIKALI IJENGE VITUO ATAMIZI KATIKA VYUO VIKUU?+video

Mbunge wa Moshi Vijijini, Prof. Patrick Ndakidemi amehoji bungeniDodoma leo Aprili 28, 2023, kwamba serikali ina mpango gani wa kujenga ama kuboresha vituo atamizi katika vyuo vikuu? na hatimaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI WIZARA YA MADINI YAPITA KWA KISHINDO, WAZIRI BITEKO APONGEZWA+video

Bajeti ya Wizara ya Madini imepitishwa kwa kishindo na wabunge bungeni Dodoma leo Aprili 28, 2023 iliyowasilishwa na Waziri Dkt. Dotto Biteko.Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WCF YATWAA TUZO SIKU YA KIMATAIFA YA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI

NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, MOROGOROMFUKO wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umetwaa tuzo ya Mfuko Bora miongoni mwa Taasisi za Bima na Fidia wakati wa kilele cha Siku ya Kimataifa ya Afya na Usalama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAWASHUKURU WCF KWA KUNIWEZESHA KUYAMUDU MAISHA"-MNUFAIKA WA FIDIA

 NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, MOROGORO.MNUFAIKA wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Bw. Deus Anthony, ameushukuru Mfuko huo kwa kumuwezesha kuyamudu maisha licha ya kupata Ulemavu wa Kudumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA AWAONGEZA DAU SIMBA NA YANGA, BAO NDANI YA DAKIKA 90 MILIONI 10

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameamua kuongeza fedha za motisha kwa timu za Simba na Yanga kutoka shilingi Milioni 5 hadi Shilingi Milioni 10 endapo timu hizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM DANIEL CHONGOLO NCHINI CHINA

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Ndg. Daniel Godfrey Chongolo, pamoja na ujumbe wake Tarehe 17 hadi 28 Aprili, 2023 amefanya Ziara ya Kikazi na Mafunzo nchini China, ambapo walitembelea majimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YATOLEWA NA WYDAD CASABLANCA

Klabu ya Simba imetolewa na Wydad Casablanca kwenye Mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAF CL). baada ya kufungwa kwa mikwaju ya penati bao 4-3 baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Blog: MAGAZETI YA TANZANIA BARA, ZANZIBAR NA NCHI ZA NG'AMBO, LEO J'MOSI,...

Gazeti la UHURU👆 leo tena lipo kote, likiwa limesheheni Habari za Ukweli na Uhakika. ukilikosa tusilaumiane! 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSSSF YATWAA TUZO YA UZINGATIAJI SAHIHI WA SERA YA USALAMA NA AFYA MAHALI PA...

Na K-VIS Blog/Khalfan Said, MorogoroMfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umetwaa tuzo ya mshindi wa kwanza kundi la Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa kuwa na Sera Bora za Usalama na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MKUU WCF AKUTANA NA WANUFAIKA WA FIDIA INAYOTOLEWA NA MFUKO HUO

Na K-VIS Blog/Khalfan Said, MorogoroMkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma amekutana na kuzungumza kwa nyakati tofauti na Wanufaika wa Fidia inayotolewa na Mfuko huo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. MWINYI ATOLEA UFAFANUZI ENEO LA KILIMANI, ASISITIZA HUDUMA ZA AFYA...

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi katika ufafanuzi wake juu ya ziara aliyoifanya tarehe 10 Julai 2021 kwa wakaazi wa nyumba chakavu za Kilimani kusikiliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO AMJULIA HALI NAIBU WAZIRI ALIYEPATA AJALI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip I. Mpango akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange leo tarehe 29 Aprili 2023 wakati alipofika hospitali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM Blog: MAGAZETI YA TANZANIA BARA, Z'BAR NA YA NCHI ZA NG'AMBO, LEO...

Gazeti la MZALENDO👆 leo tena lipo nchi nzima likiwa na Habari za kina za Ukweli na Uhakika. Tafadhali hakikisha unapata nakala yako mapema!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADHARA YA VIPODOZI VYA NANO

Na Yahya MsangiNianze kwa kusema teknolojia ya nano (nanotechnology) inatumika kwa bidhaa mbalimbali mfano nguo, matairi, rangi za kuta na magari, bodi za ndège, Meli, treni na magari,  sementi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT BITEKO, MALECELA WAAHIDI KUIFUFUA SHULE YA KURIO+video

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Mkoa wa Dodoma, Samwel Malecela (kushoto) akitoa maelezo kwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu, Waziri wa Madini, Dkt Dotto Biteko kuhusu shule ya Kurio iliyotelekezwa...

View Article
Browsing all 22400 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>