TWAHA KIDUKU AMGALAGAZA BONDIA WA GEORGIA KWA POINTI+video
 BONDIA Twaha Kassim Rubaha 'Twaha Kiduku' usiku wa jana amefanikiwa kutetea taji lake la Mabara la UBO baada ya kumchapa kwa kumshinda kwa pointi Iago Kiziria wa Georgia katika pambano lililofanyika...
View ArticleZIARA YA KOMREDI CHONGOLO NCHINI CHINA
Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo ameendelea na ziara kikazi nchini China huku akiongozana na viongozi wengine wa CCM, wakiwemo Wajumbe wa Sekretarieti ya NEC, Wenyeviti wa Mkoa pamoja na Wenyeviti...
View ArticleHUU NDIYO MOSHI ULIOSABABISHA MTANANGE WA SIMBA WYDAD KUSIMAMA+video
Moshi huu ulisababishwa na mashabiki wa Wydad Casablanca baada kufyatua mafataki wakati wa mechi ya robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika kati ya Yanga na timu hiyo kwenye Uwanja wa Mkapa jijijini Dar es...
View ArticleCCM Blog: CCM Blog: MAGAZETI MAKUBWA YA TANZANIA BARA, ZANZIBAR NA NCHI ZA...
Gazeti la UHURU👆 leo tena lipo mjini na Vijijini kote, likiwa limesheheni Habari za Ukweli na Uhakika. ukilikosa tusilaumiane!Â
View ArticleYANGA KIDEDEA YAIBAMIZA RIVERS MBILI KWA NUNGE
 MABAO ya mshambuliaji Mkongo, Fiston Kalala Mayele kipindi cha pili yameipa Yanga ushindi wa ugenini wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Rivers United katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe la...
View ArticleMCHUNGAJI KKKT ALIFAGILIA KANISA HALISI KWA KUHIMIZA IBADA NA UZALISHAJI, NI...
Na Bashir Nkoromo, TegetaIbada iliyoongozwa na Kiongozi Mkuu wa Kanisa Halisi la Mungu Baba Ndani na Nje ya Tanzania, Baba Halisi, katika Kao Kuu la Kanisa hilo, Tegeta Namanga Jijini Dar es Salaam,...
View ArticleMBUNGE TOUFIQ ATA UFANYIKE UTAFITI KUPATA KINGA YA SARATANI YA KIZAZI,...
Mbunge wa Viti Maalumu, Fatma Toufiq akihoji bungeni Dodoma Aprili 24, 2023, kwamba serikali ina mkakati gani wa kufanya utafiti kupata kinga ya saratani ya kizazi na matiti?IMEANDALIWA NA RICHARD...
View ArticleRAIS SAMIA APOKEA UJUMBE KUTOKA KWA WAZIRI MKIU WA ETHIOPIA, IKULU NDOGO...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Abiy Ahmed uliowasilishwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya...
View ArticleDC MPOGOLO ASHUHUDIA UTOAJI CHANJO KWA WATOTO ULIOANZA LEO WILAYANI ILALA
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo, akishuhudia utoaji chanjo kwa mtoto wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Chanjo ambayo kiwilaya hiyo ulifanyika katika Zahanati ya Kitunda. Chanjo zimeanza kutolewa leo...
View ArticleCCM Blog: MAGAZETI MAKUBWA YA TANZANIA BARA, ZANZIBAR NA NCHI ZA NG'AMBO, LEO...
Gazeti la UHURU👆 leo tena lipo kote, likiwa limesheheni Habari za Ukweli na Uhakika. ukilikosa tusilaumiane! MM
View ArticleMAGESSA APAMBANIA BUSANDA KUWA WILAYA+video
Mbunge wa Busanda, Tumaini Magessa akiliipambania jimbo la Busanda mkoani Geita  kuwa wilaya kutokana na kuwa na zaidi ya watu 700,000 na kata 24.Busanda ameyasema hayo wakati wa maswali na majibu...
View ArticleMSIGWA AIKABIDHI YANGA MAMILIONI RAIS SAMIA
  MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa (kulia) akimkabidhi Afisa Habari wa Yanga SC, Ally Kamwe fedha taslimu Sh. Milioni 10 zawadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...
View ArticleMAWAZIRI WA MICHEZO WA NCHI 14 KUKUTANA ARUSHA
 TANZANIA itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa nchi 14 Wanachama wa Baraza la Michezo la Umoja wa Afrika, Kanda ya Nne wa Mawaziri na Wakurugenzi wa Michezo utakaofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 2 hadi...
View ArticleCCM Blog: MAGAZETI YA TANZANIA BARA, ZANZIBAR NA NCHI ZA NG'AMBO, LEO...
Gazeti la UHURU👆 leo tena lipo kote, likiwa limesheheni Habari za Ukweli na Uhakika. ukilikosa tusilaumiane!Â
View ArticleRAIS SAMIA KUKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS KAGAME WA RWABDA, IKULU...
Na Bashir Nkoromo, CCM BlogRais Samia Suluhu Hassan atakutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Rwanda Paul Kagame ambaye anawasili Jijini Dar es Salaam, leo Alhamis Aprili 27, 2023, kutafanya ziara ya...
View ArticleCHONGOLO: CCM ITAENDELEA KUUENZI NA KUULINDA MUUNGANO
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo, akisisitiza kuwa Watanzania wataendelea kuuenzi na kuulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa ajili ya manufaa ya sasa na ya...
View ArticleKIGOMA KUPELEKEWA UMEME KATIKA SHULE, TAASISI ZA SERIKALI+video
Mbunge wa Viti Maalumu, Josephine Genzabuke ameiomba serikali kupeleka umeme katika shule na taasisi za umma katika Mkoa wa Kigoma.Ametoa ombi hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni...
View ArticleRAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS KZGZME IKJLU JIJINI DAR ES SALAAM. LEI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mgeni wake Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 27...
View Article