Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22430 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CCM, RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU LEO MJINI DODOMA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kufungua na kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo katika ukumbi wa Jengo la White House mjini Dodoma....

View Article


PRESS RELEASE

Statement by the Press Secretary on the President’s Travel to Africa President Obama and the First Lady look forward to traveling to Senegal, South Africa, and Tanzania from June 26 - July 3.  The...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. ASHA-ROSE AZUNGUMZA NA WAANDISHI MJINI DODOMA LEO

Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, akizungumza na waandishi wa habari leo, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Amezungumzia kuhusu yaliyojiri kwenye kikao cha Kamati Kuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE NDANI YA MIAKA 150 YA SPD

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akipokelewa na viongozi wa SPD, mjini Leipzig leo kwenye sherehe za miaka 150 tangu kuanzishwa kwa SPD

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKUNA JAMII ITAKAYOACHWA NYUMA KIMAENDELEO: TANZANIA

Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi, akizungumza wakati wa Mkutano wa 12 wa Masuala ya  Wazawa, kuhusu  mada ya utafiti uliofanywa kuhusu Ujasiri,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA, NAPE WATUA IRINGA TAYARI KWA ZIARA KAZI MKOANI MKOANI NJOMBE

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakisalimia baadhi ya viongozi, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Iringa asubuhi hii, kwa ajili ya kuanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AWASILI NJOMBE TAYARI KWA ZIARA YA SIKU SABA

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akilakiwa na Mbunge wa Njombe Kaskazini,Mh Deo Sanga a.k.a Jah People mara baada ya kuwasili jioni ya leo mpakani mwa Mkoa wa Iringa na Njombe katika kijiji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA KUHUTUBIA WANANCHI WA LUDEWA LEO

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana,akifahamishwa jambo na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Njombe,Deo Sanga,kushoto ni Katibu wa Uchumi na Fedha Ndugu Clemence Malekela.Katibu Mkuu wa CCM ,Ndugu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPENI ZA CCM KUGOMBEA KITI CHA UBUNGE KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA...

WanaCCM na Wananchi wa Jimbo la Chambani Wakimsiliza Mgeni Rasmi wakati akiuhutubia Umma katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi mdogo wa Kiti cha Ubunge Jimbo la Chambani Mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 6

Umati mkubwa wa Wanaccm na Wananchi wa Jimbo la Chambani wakimsikiliza Mgeni Rasmi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe: Balozi Seif Iddi ambae hayupo pichani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 5

Vijana wakisoma Utenzi mbele ya Mgeni rasmi, wakati wa mkutano wa hadhara katika uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Jimbo la Chambani Mkoani Pemba.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 4

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Mhe Vuai Ali Vuai akimkaribisha Mgeni Rasmi wakati wa Kampeni za Uzinduzi wa uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Chambani.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

Mgeni rasmi Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia Wanaccm na Wananchi wa Jimbo la Chambani wakati wa Mkutano wa Hadhara katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo hilo.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mgombea wa CCM wa Kiti cha Ubunge wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chambani Ndg. Mattar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe: Balozi Seif Ali Iddi akimtambulisha Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CCM wa Jimbo la Chambani Ndg. Mattar Zahran Said...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Ndg. Mattar Zahran Said akihutubia Wananchi na Wanaccm na kujidani huku akiomba ridhaa ya wananchi wamchague ili wakiwawakilishe Bungeni katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA KINANA, NAPE YATIKISA MKOANI NJOMBE

*Akagua ufukwe wa ziwa Nyansa katika mwambao wa ziwa hilo kwenye kijiji cha Lupingu, wilayani Ludewa, na kuwambia wananchi wasihofu na maneno Malawi kuhusu ziwa hilo, Serikali ipo imara kuwalinda usiku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA: CCM KUTEKELEZA AHADI ZOTE ILIZOAHIDI

Kikundi cha Sanaa cha SUMASESU cha kijiji cha Ukwama kikitumbuiza kabla ya kuanza kwa mkutano wa hadhara,tarehe 30 Mei 2013.Mkuu wa Wilaya ya Makete Ndugu Josephine Matiro akisalimia wananchi wa kijiji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIONGOZI WA CCM WATAKIWA KUWA KARIBU NA MABALOZI WA MASHINA

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana ,akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Makete,Ndugu Josephine Matiro na viongozi wengine wa CCM wa Wilaya ya Makete na Mkoa wa Njombe kwenda nyumbani kwa mabalozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA NJOMBE WASEMA HAKUNA NAFASI YA WAPINZANI

Zahanati ya Kiji cha Samaria ikiwa katika hatua nzuri za ujenzi, Zahanati hii inajengwa kwa fedha za Halmashauri kwa kushirikiana na wananchi.Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana ,pamoja na...

View Article
Browsing all 22430 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>