Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE: CHADEMA WANAUGUA KIFAFA CHA SIASA

*Adai ni vibaraka wa mabeberu kuvuruga nchi*Awafananisha na nguruwe mwenye tabia la kula watoto akiwa na njaa.*Ataka watanzania kuwapuuza*Amuumbua Tundu Lissu*Atetea mchakato wa katiba nchiniNape...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA HOI MBEYA

*OFISI YAKE YA MKOA YATIWA KUFULI*KISA DENI LA SH. 360,000 TU ZA PANGO!DK, SLAAMBEYA, Tanzania. OFISI ya CHADEMA mkoa wa Mbeya, iliyopo eneo la Forest jijini hapa, imefungwa kutokana na Chama hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA SUDANI NCHINI AMTEMBELEA MANGULA LEO

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akizungumza na Balozi wa Sudani nchini, Dr. Yassir M. Ali leo katika Ofisi Ndogo za CCM Lumumba.Balozi wa Sudan nchini,Dk.Yassir M. Ali akiwa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AKATIZA ZIARA YA KUWAIT KUFUATIA SHAMBULIO LA KIGAIDI LA ARUSHA...

NA BASHIR NKOROMORais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Mei 6, 2013, ameamua kukatiza ziara yake ya Kiserikali nchini Kuwait ili kurejea nyumbani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YALAANI VIKALI SHAMBULIO LA BOMU ARUSHA

Ndugu KinanaDODOMA,TanzaniaCHAMA cha Mapinduzi CCM kimelaani vikali tukio la kutupwa kwa bomu katika Uzinduzi wa kanisa la Mtakatifu Joseph Arusha na kuua watu watattu.Mbali na hivyo imeitaka serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM MAMBO SAFI, MAHAKAMA KUU YAMREJESHEA UBUNGE DK. DALALLY, IGUNGA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPOKEZI YA DK. KAFUMU IGUNGA YAFUNIKA

*MAELFU WAJITOKEZA KUMLAKI*CCM YAAHIDI KUTEKELEZA AHADI ZOTE KABLA YA 2015*NAPE ATAKA VYAMA VYENYE MLENGO WA UGAIDI VISUWEDk. Kafumu akiwasalimia wananchi kwenye mkutano huo.Kushoto ni Katibu wa NEC,...

View Article

NAPE AMWAGIZA DC IGUNGA KUSIMAMIA KWA IUMARA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WENGI JIJI LA CARDIFF-WALES (UK) WAJIUNGA NA CCM.

Katika ufunguzi huo Jumamosi tarehe 11 Mei 2013 ulijaa shamrashamra na nderemo na  kuhudhuriwa na viongozi wote wa Tawi la CCM UK, Mwenyekiti wa Tawi la CCM UNITED KINGDOM Ndg  Maina Ang'iela Owino,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA SAYANSI KATIKA KITUO CHA TAASISI YA KIMATAIFA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais mstaafu  wa Nigeria na Balozi wa heshima wa  IITA Chief Olesegun Obasanjo na Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Benjamin William Mkapa wakizindua rasmi  jengo la sayansi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MCHUNGAJI DKT. MATHEW BYAMUNGU NA MKEWE...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mchungaji Dkt. Mathew Byamungu, wakati akimkaribisha Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Mei 13,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA FES NCHINI AIPONGEZA CCM KWA KUJENGA DEMOKRASIA NCHINI

Mkurugenzi Mkazi wa FES nchini, Rolf Paasch (Kulia)akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CCM -Bara Ndugu Philip Mangula,leo katika ofisi ndogo za CCM Lumumba.SHIRIKA la Kijerumani la Friedrich Ebert...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAWAPONGEZA VIONGOZI WA DINI

   Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi iliyokutana jana Mjini Dodoma imeipongeza serikali kwa hatua inayoendelea kuchukua katika kuchunguza chanzo cha tukio la mlipuko wa Bomu uliotokea Kanisani Jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNESCO YAENDESHA WARSHA KUHUSU RIPOTI YA HALI YA ELIMU NA HUDUMA ZA AFYA YA...

Mwenyekiti wa TACAIDS Dk. Fatma Mrisho (katikati) akizungumza wakati kufungua warsha siku moja ya mapitio na uhakikisho wa Ripoti ya hali ya Elimu na Huduma za Afya ya uzazi, maadili na mahusiano ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI YA LISHE LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Seif Rashid akisalimiana  kitabu cha kampeni ya Lishe Tanzania baada ya kukizindua leo Machi 16, 2013...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CCM, RAIS KIKWETE AFANYA KIKAO MUHIMU NA WABUNGE WA CCM LEO...

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili ukumbini wakati wa kikao chake na wabunge wa CCM, leo Mei 19, 2013, katika ukumbi wa jengo la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Wengine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHANI MSIBA WA ALLY SYKES JIJINI DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji mjane wa marehemu Ally Sykes, Zainab Ally, wakati alipofika kuhani msiba huo wa mwasisi wa TANU, aliyefariki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MZEE ALLY KLEIST...

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali, Rais wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa, Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim, Katibu Mkuu wa...

View Article

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mei 19, 2013 Chama Cha Mapinduzi kilifanya kikao cha siku moja na wabunge wanaotokana na CCM, kikao hicho kilifanyika mjini Dodoma ambapo pamoja na viongozi wengine wa juu wa CCM kikao hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YATOA ONYO KWA WANAOJIPITISHA PITISHA NA KUJITANGAZIA NAFASI ZA URAIS...

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo katika ofisi ndogo  za CCM Lumumba.CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewaonya na kuwapiga marufuku, makada na wanachama...

View Article
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>