Quantcast
Channel: CCM Blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 22438

Article 1

$
0
0
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe: Balozi Seif Ali Iddi akimtambulisha Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CCM wa Jimbo la Chambani Ndg. Mattar Zahran Said katika Mkutano wa hadhara uliofanyika siku ya tarehe 26/05/2013 katika viwanja vya Skuli ya Ukutini Jimboni humo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 22438

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>