MWIGULU NCHEMBA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE
Mh.Mwigulu NChemba akipokea Fomu ya kuwania Ubunge kwa mara nyingine kwa Jimbo la Iramba,Mwigulu amechukua fomu hiyo hii leo Makao makuu ya CCM Wilaya ya Iramba-Kiomboi.Mwigulu Nchemba akisainii kitabu...
View ArticleDK. MAGUFULI ATUA ZANZIBAR KUTAMBULISHWA, APOKEWA KWA KISHINDO
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli akipanda ndege katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, tayari kwa safari ya kwenda Zanzibar kutambulishwa kwa wanachama, leo Mgombea Urais...
View ArticleRAIS KIKWETE AZUNGUMZA NA WATANZANIA WAISHIO USWIS
Wafanyakazi wa ofisi ya mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Geneva wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete, jana baada ya kuzungumza nao na kisha kupata futari katika Hoteli ya...
View ArticleHOTUBA YA MHE. JOHN POMBE MAGUFULI MGOMBEA WA CCM KWA URAIS WA JAMHURI YA...
HOTUBA YA MGOMBEA URAIS WA CCM DK. JOHN POMBE MAGUFULI
View ArticleMADAKTARI WA KICHINA WASALIMIANA NA RAIS IKULU
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Dr.Xu Zhuogun (kushoto) Kiongozi wa Ujumbe wa madaktari wapya wa Kichina waliofika Ikulu mjini Zanzibar...
View ArticleRAIS WA ZANZIBAR, ALHAJI DK. SHEIN AONGOZA WAISAM KATIKA SWALA YA EID ELHAJ...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein akipokea salamu ya heshma ya gwaride maalum la kikosi cha Polisi FFU leo wakati wa Baraza la Idd katika Kusherehekea...
View ArticleWALA PILAU YA BATA NYUMBANI KWA BASHIR NKOROMO, MBEZI BEACH A, KATA YA KAWE...
Familia ya Bashir Nkoromo, wakiwa wanamalizia kula pilau ya bata nyumbani kwake, Mbezi Beach A, Kawe jijini Dar es Salaam, kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitr, leo Familia ya Bashir Nkoromo, wakiwa...
View ArticleMAGUFULI APOKELEWA NA MAELFU YA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA
Msafara wa mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli ukiondoka uwanja eneo la uwanja wa ndege wa Mwanza kuelekea ofisi za CCM mkoa wa Mwanza kwa ajili ya kuwasalimu na kujitambulisha kwa...
View ArticleGEITA YASIMAMA MAPOKEZI YA MAGUFULI
Mgombea wa Urais kwa kupitia CCM Dk.John Pombe Joseph Magufuli akipata mapokezi ya aina yake wakati akiwasili mkoni Geita. Wananchi wakiwa wamefurika kumpokea mgombea wa Urais kwa kupitia CCM Dk.John...
View ArticleMAGUFULI AWEKA HISTORIA KATORO APOKELEWA NA MAELFU CHATO
Wananchi wasimamisha msafara wake kila wakatiWabunge na Viongozi wa CCM wamuunga mkonoKuongea na wananchi mengi wakati wa kampeniAwaambia Ilani ya uchaguzi ya CCM imesheheni mambo ya msingi na...
View ArticleASSENGA ATANGAZA NIA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KILOMBERO, ALI KIBA AMPIGA TAFU
Kada wa CCM, Abbakar Assenga akitangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kilombero mkoani Morogoro, mbele ya umati wa wananchi waliofurika kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule...
View ArticleMAGUFULI AWAAGA RASMI WAKAZI WA MJI MDOGO WA MGANZA
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa kata ya Kibehe wakati akiwa njiani kuelekeza Mganza kwenye mkutano wa hadhara wa kuwaaga wakazi wa mji mdogo wa Mganza sehemu...
View ArticleUANDIKISHAJI WANANCHI BVR KUANZA LEO DAR ES SALAAM
Kazi ya kuandikisha wananchi kwenye daftari la kudumu la wapigakura inaanza leo katika mkoa wa Dar es Salaam, ewe mwananchi hii ni fursa yako ili uweze kupata haki ya kuwa mpigakura katika uchaguzi...
View Article
More Pages to Explore .....