Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AZINDUA UKUMBI WA KISASA WA MIKUTANO WA CCM MJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na viongozi mbali mbali wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili kwenye sherehe za uzinduzi wa...

View Article


JK AWAAMBIA WANA CCM KUIPA UHAI MITAJI YAO (VIDEO)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ALIHUTUBIA BUNGE MJINI DODOMA LEO

 Rais Jakaya Kikwete akilihutubia Bunge Mjini Dodoma, leo, Julai 9, 2015  Rais Jakaya Kikwete akilihutubia Bunge Mjini Dodoma, leo, Julai 9, 2015. Kulia ni Spika wa Bunge Anna Makinda Makamu wa Rais Dk...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHUNI WAMTENGENEZEA NAPE AKAUNTI FEKI KUJARIBU KUKIDHI KIU YAO

Kitengo chaMawasiliano na Umma katika Idara ya Itikadi na Uenezi, kinapenda kuujulisha uuma kwamba Akaunti yenye maneno hayo hayo hapo juu siyo ya Katibu wa NEC, Itikadi na Unezi Nape Nnauye, bali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

URAIS CCM: VIKAO VYAFANYIKA LEO, MKUTANO MKUU KESHO

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC,Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi aliwaeleza waandishi wa habari kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI KUU YA CCM YAKUTANA JIONI HII KUTEUA MAJINA MATANO YA WAOMBA KUGOMBEA...

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwa amewasili ukumbi tayari kwa kuendesha Kikao Cha Kamati Kuu ya CCM, cha kuteua wagombea watano, kwa ajili ya kupelekwa katika Kikao Cha Halmashauri Kuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO MKUU WA CCM KUONYESHWA MTANDAONI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMANDA WA JIMBO LA CHUMBUNI AFUTURISHA WANANCHI WA JIMBO LAKE

Kamanda wa Jimbo la Chumbuni UVCCM Ndg Ussi Salum Pondeza Hanjad akikaribisha wageni wake katika futari aliowaandalia Wananchi wa Chumbuni ikiwa ni kawaida yake kila mwaka hujumuika na Wananchi hao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO MKUU WA UTUMISHI WA JUMUIYA YA MADOLA

Na Pius Yalula-MAELEZOTanzania inatarajia  kuwa mwenyeji wa mkutano wa 12 wa watumishi wa umma wa  nchi za Afrika ambazo ni wanachama Jumuiya ya Madola utakaonza Jumatatu ijayo jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

URAIS CCM: JK AONGOZA KIKAO CHA NEC LEO KUCHAGUA TATU BORA WATAKAOPELEKWA...

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasalimia wajumbe baada ya kuwasili ukumbini kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, leo katika Ukumbi wa jengo la White House mjini Dodoma. Kikao hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO MKUU WA CCM KUFANYIKA LEO SAA TATU USIKU MJINI DODOMA

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma na kuwaambia kuwa Mkutano Mkuu wa CCM utafanyika leo saa tatu usiku na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAJUMBE WAANZA KUINGIA KWENYE UKUMBI WA MKUTANO HUKU MAJINA MATATU YAKIWA...

 Majina yaliopitishwa kupigiwa kura kwenye mkutano mkuu CCM kuwa live kutoka ukumbini Ukumbi ukiwa umeandaliwa vizuriWajumbe wakipitia magazeti ya Uhuru.

View Article

TAZAMA MKUTANO WA CCM LIVE HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO MKUU MAALUM WA UCHAGUZI WA MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM...

 Mmoja wa waomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM, waliotinga tatu bora, Dk. John Magufuli akingia katika ukumbi wa Kisasa wa mikutano wa CCM, mjini Dodoma, wakati wa mkutano mkuu wa CCM, uliofanya...

View Article

SEHEMU YA SHAMRA SHAMRA YA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA

View Article


FUATILIA LIVE SIKU YA PILI MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI RASMI KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM

Baada ya mda si mrefu tutaweka picha nyingine kem kem za kutangazwa matokeo yaliyompa ushindi, Dk. John Magufuli

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAANZA KUMTANGAZA MGOMBEA WAKE WA URAIS DK. JOHN MAGUFULI

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi John Pombe Magufulu pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye uwanja wa  Jamhuri mjini Dodoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. SHEIN APOKELEWA KWA SHANGWE ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akivalishwa Skafu na Kijana Chipukizi Pili Hassan Suluhu mara alipowasili   katika Uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AITEKA DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar Es Salaam akimpokea Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli mara baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam tayari kwa kujitambulisha kwa wakazi wa jiji...

View Article
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live