Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ATIMU VUMBI AKIKAGUA NA KUHIMIZA MAENDELEO JIMBO LA NYAMAGANA, LEO

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasli katika Uwanja wa CCM Kirumba, kuzungumza na Mamalishe, Machinga na waendesha bodaboda, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA KUHUTUBIA MKUTANO WA KIHISTORIA LEO JIJINI MWANZA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo atahutubia maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza kwenye mkutano wa hadhara utakaofanyika kwenye viwanja vya Furahisha na kurushwa live katika vituo vitatu...

View Article


MKUU WA WILAYA YA NYAMAGANA NA MSTAHIKI MEYA WA JIJI LA MWANZA WAKIZUNGUMZA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ATIA FORA MWANZA MJINI, MAELFU WAFURIKA MKUTANONI UWANJA WA FURAHISHA,...

 Katibu  Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwapigia saluti, maelfu ya wananchi, alipowasili kuhutubia  mkutano wake wa hadhara aliofanya leo kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, akiwa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AANZA ZIARA WILAYANI UKEREWE ATEMBELEA KISIWA CHA IRUGWA NA UKARA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (wa pili kulia) akimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Kwimba Mhe. Shanif Mansoor wakati wakielekea kwenye visiwa vya Irugwa wilayani Ukerewe.Katibu Mkuu wa CCM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AWAACHIA UJUMBE MZITO CCM UKEREWE

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kakukuru,Ukerewe ikiwa siku ya mwisho ya ziara yake mkoani Mwanza.Katibu Mkuu amekamilisha ziara ya kutembelea majimbo yote ya Uchaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEMINA ELEKEZI KWA MABALOZI WA MASHINA YA KATA YAFANYIKA VITUKA JIMBO LA TEMEKE

 Mbunge wa Jimbo la Temeke na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu, akizungumza na mabalozi  wa mashina ya Chama cha Mapinduzi (CCM)  Kata ya Vituka Jimbo lake, ambapo mgeni Rasmi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MAVUNDE AZINDUA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU MPWAPWA

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Adv. Anthon Mavunde akizungumza wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mpira wa Miguu kuwania Kombe la DC na kushirikisha timu 24 kutoka maeneo mbalimbali ya...

View Article


SEHEMU YA HOTUBA YA KATIBU MKUU ALIYOITOA SIKU YA MKUTANO WA MWISHO MKUBWA...

View Article


NAPE ALIPOHUTUBIA MWANZA (VIDEO)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU (MB), AFUNGUA MKUTANO WA SIKU...

Imetayarishwa na theNkoromo Blog  WAZIRI waMaliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na baadhi ya wadau wa masuala ya uhifadhi na utalii alipowasili kufungua mkutano wa majadiliano kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMOJA WA MATAIFA WAIBUKA KIDEDEA KATIKA UHABARISHAJI NA UTOAJI ELIMU KWENYE...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkadhi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BRIGHTERMONDAY TANZANIA YATOA FURSA KWA WANAOTAFUTA AJIRA KUWATEMBELEA KWENYE...

Meneja Masoko wa kampuni ya Brightermonday Tanzania, Lugendo Khalfan ndani ya hema la banda la Jakaya Kikwete akiwa tayari kukuhudumia wewe mtanzania utakayetembelea banda lao katika viwanja vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR YAPITISHA JINA LA DKT. SHEIN KUGOMBEA URAIS KWA...

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni  Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA...

 Na Benedict Liwenga, Maelezo.Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wamemteua Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni (Pichani), kuwa msimamizi wa kuongoza juhudi za kupatanisha makundi nchini...

View Article


RATIBA ZA VIKAO NA MKUTANO MKUU WA CCM YATANGAZWA MJINI DODOMA (VIDEO)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK.SHEIN AFUTARISHA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa sita kulia) pamoja na Viongozi na wananchi wa wakiwa katika swala ya Magharibi iliyoswaliwa katika viwanja vya Ikulu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE AWASILI DODOMA MCHANA HUU TAYARI KWA KUONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA...

 Ndege iliyombeba Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete ikitua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma tayari kwa kuongoza kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili ya Chama. Mwenyekiti wa CCM...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOHAMMED DEWJI AWAAGA RASMI WAKAZI WA SINGIDA MJINI

Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akiwapungia wapiga kura wake kama ishara ya kuwaaga rasmi baada ya kutangaza kutogombea tena ubunge wa jimboni humo wakati wa mkutano mkubwa wa kuwasilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMOJA WA MATAIFA WATANGAZA FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA

UNTED NATIONS YOUNG PROFESSIONAL PROGRAMME What is the UN Young Professionals Programme?The Young Professionals Programme (YPP) is a recruitment initiative for talented, highly qualified professionals...

View Article
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>