PINDA AKUTANA NA UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA MAREKANI, APOKEA GARI LA...
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua gari la kubeba wagonjwa lililotolewa na kampuni ya Sayed Corporation Limited kwa ajili ya hospitali ya Endulen ya Ngorongoro . Gari hilo lilikabidhiwa kwa Waziri...
View ArticleBREAKING NEWS: MBUNGE WA UKONGA AFARIKI DUNIA MJINI DODOMA
Taarifa zilizotufikia sasa Mbunge wa Jimbo la Ukonga Eugen Mwaiposa amefariki dunia leo mjini Dodoma.
View ArticleKINANA KUANZA KESHO ZIARA YA SIKU 28 KATIKA MIKOA YA KAGERA,GEITA NA MWANZA
Itakuwa hitimisho la ziara za kila jimbo nchi nzimaAtaanza ziara tarehe 4 Juni na basi maalumAtasimama Morogoro,Dodoma,Singida ,Nzega na Kahama atasalimia wanachama Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM...
View ArticleKINANA AANZA ZIARA ASIMAMA MOROGORO KUWASALIMU WANANCHI
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiteremka kwenye basi kuwasalimia wanachama na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi wa mkoa wa Morogoro akiwa njiani kuelekea mkoani Kagera. Katibu wa...
View ArticleKINANA AENDELEA NA SAFARI YA KUELEKEA MKOANI KAGERA AWASALIMIA WANANCHI...
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na wananchi kwenye kituo cha basi Dodoma mjini. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa Dodoma waliojitokeza kumpokea...
View ArticleKINANA AWASILI MKOANI KAGERA SALAMA KWA BASI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Kagera Ndugu Idd Ame wakati wa mapokezi katika mkoa wa Kagera.Katibu Mkuu wa CCM anahitimisha ziara katika mikoa wa...
View ArticleKINANA AKUTANA NA WAFUGAJI NYAKANAZI
Asikitishwa na kutopatikana kwa ufumbuzi wa mgogoro kati ya wafugaji na hifadhiWafugaji wamwambia Kinana wamekaa vikao 17 na viongozi wakubwa wa kitaifa lakini hakuna utatuzi. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
View ArticleKINANA AWAPA POLE FAMILIA YA MAREHEMU MZEE SAMUEL LUANGISA BUKOBA LEO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisaini kitabu cha maombolezo ya Mzee Samuel Luangisa aliyefariki Jumatatu Mei 25,2015 saa tano asubuhi jijini New York. Mzee Samuel N. Luangisa ni...
View ArticleMKUTANO WA KINANA WAFANA MANISPAA YA BUKOBA MJINI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wananchi waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye uwanja wa Uhuru Platform mjini Bukoba .Katibu Mkuu wa CCM amefanya ziara katika Jimbo la...
View ArticleSAFARI YA KINANA KUTOKA KYAMKWIKWI KWENDA KISIWA CHA BUMBILE, WILAYANI MULEBA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa na Mbunge wa Muleba Kusini, Anna Tibaijuka, baada ya kuwasili Kijiji cha Kyamkwikwi, wilayani Muleba mkoani Kagera leo, kabla ya kupanda boti kwenda...
View ArticleKINANA AFUNGA KAZI MULEBA, AZURU VISIWA ZAIDI YA VINNE, MKUTANO WAKE WAFURIKA...
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwapungia mkono wananchi alipowasili kwa mtumbwi katika kijiji cha Katunguru, baada ya kutembelea visiwa zaidi ya vinne, katika wilaya ya Muleba, leo akiwa...
View ArticleZIARA YA KINANA YAONGEZA MATUMAINI KWA WANANCHI MULEBA, AWATAKA WANANCHI...
*AWAFAGILIA WABUNGE MWIJAGE NA PROFESA ANNA TIBAIJUKA*ASEMA WAMEFANYA MAKUBWA KATIKA MAJIMBO YAO Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa amezungukwa na umati wa wananchi, alipohutubia mkutano wa...
View ArticleKINANA ACHAPA KAZI YA MAANA KATIKA JIMBO LA BUKOBA VIJIJINI MKOANI KAGERA LEO.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na baadhi ya viongozi wa CCM, baada ya kuwasili Bukoba Vijijini kuendelea na ziara yake katika mkoa wa Kagera kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM na...
View Article
More Pages to Explore .....