RIDHIWANI KIKWETE ALIPOFIKA OFISI ZA UWAKILISHI WA KUDUMU WA TANZANIA KATIKA...
Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Muwakilishi wa Kudumu wa Jamburi ya Muungano wa Tanzania...
View ArticleMKURUGENZI WA TAMWA ATUNUKIWA TUZO YA CEFM CHAMPION
Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mh. Alexandre Lévêque akimkabidhi tuzo ya kwanza Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania-TAMWA,Bi. Valerie Msoka kwa kufanikisha kampeni dhidi ya...
View ArticleWAKUTANA KUJADILI MKAKATI WA MRADI WA KIJIJI CHA DIGITALI
Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akiwasilisha mada ya mchanganuo wa ufumbi wa changamoto mbalimbali...
View ArticleRAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO...
UTEUZI TUME YA UTUMISHI
View ArticleHOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIYOITOA ZAMBIA TAREHE 25 FEBRUARI 2015
HOTUBA YA RAIS ALIYOITOA ZAMBIA 25 FEBRUARI
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAMA MZAZI WA DKT. EDWARD...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya marehemu Esther Gigwa, Mama mzazi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dkt. Edward...
View ArticleKINANA AKUTANA NA KAMATI KUU YA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI YA KUSINI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumzana na Kamati Kuu ya Chama Cha SPLM ambapo alipeleka ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho...
View ArticleWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ALIZISHWA NA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA( MMAM) MBEYA...
Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda akiweka jiwe la Msingi katika Zahanati ya Kijiji cha Kimondo Kata ya Igoma Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya katika moja miradi ambayo Waziri Mkuu ametembelea katika...
View ArticleMWENYEKITI UVCCM MKOA WA MBEYA AWAASA VIJANA KUDUMISHA AMANI
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Mkoa wa Mbeya,Amani Kajuna akizungumza na wananchi pamoja na wachezaji katika fainali ya ligi ya mpira wa miguu ya Tarafa ya Tembela...
View ArticleBREAKING NEWS : KAPTENI JOHN KOMBA AFARIKI DUNIA JIONI HII
Kapteni John Komba akitumbuiza enzi za uhai wake kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma.Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Kapteni...
View ArticleZAWADI YA KOMBA KWA CCM 2015
Kapteni John Komba atakumbukwa kwa mengi ,hapa akitumbuiza kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM zilizofanyika kwenye uwanja wa Maji Maji tarehe 1 Februari, 2015.
View ArticleRAIS KIKWETE, NAPE NA SUMAYE WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA MAREHEMU JOHN KOMBA
Rais Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha mabombolezo, alipofika nyumbani kwa familia na aliyekuwa Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa NEC ya CCM, Marehemu, Kampteni John Komba , Mbezi Tangi Bovu, Dar es...
View ArticleKHADIJA KOPA NDANI YA MAJONZI MAKUBWA
Khadija Kopa (kulia) akiwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na Jabali la muziki wa kwaya nchini na kiongozi wa TOT Kapteni John Komba. Khadija Kopa akilia kwa uchungu baada ya kukutana na Katibu...
View ArticleHITMA YA MEREHEMU SALMIN AWADH
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuikana Viongozi na waislamu katika kisomo cha Hitma ya Marehemu Salmin Awadh aliyekuwa Mwakilishiwa...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA WAKAZI WA DAR ES SALAAM KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA...
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Kapteni John Komba likiwa limebebwa kuelekea kwenye jukwaa maalum kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. Familia ya Marehemu Kapteni John Komba ikiwa...
View Article
More Pages to Explore .....