DK. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali katika mkutano wa siku moja uliozungumzia...
View ArticleWAJUMBE WA BODI YA UDHAMINI WA MFUKO WA KUWAENZI WAASISI WA TAIFA WAKUTANA NA...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Celina Kombani alipofika Ikulu Mjini Zanzibar...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KITAIFA KUHUSU WATOTO WALIO...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati akifungua rasmi Kongamano la Kitaifa kuhusu Watoto walio katika mazingira hatarishi, lililofanyika...
View ArticleRAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27
Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamaniRais Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya...
View ArticleTEKNOLOJIA YA KISASA YA UKUSANYAJI WA TAARIFA IJULIKANAYO KWA NEWS RADAR...
Mshauri mkuu wa mradi wa NewsRadar, Romana Gersuni kutoka Ujerumani akielezea jinsi teknolojia hiyo mpya na ya kisasa ya ukusanyaji taarifa mbalimbali ya Push Observer inavyofanyakazi zake. mkuu wa...
View ArticleDK. SHEIN ATEMBELEA WIZARA YA UWEZESHAJI USTAWI WA JAMII,VIJANA WANAWAKE NA...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kuulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Uwezeshaji,Ustawi wa Jamii, Vijana ,Wanawake na Watoto katika mkutano wa...
View ArticleDK.SHEIN AONGOZA MAZISHI YA SALMIN AWADH ZANZIBAR
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein alipofika kutoa pole kwa kizuka wa Marehemu Salmin Awadh aliyekuwa mwakilishi wa Jimbo la Magomeni (CCM) nyumbani kwake Magomeni Mjini Unguja...
View ArticleRAIS KIKWETE AWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
Rais Jakaya Kikwete,Naibu Rais wa Kenya,William Rutto na maafisawengine wakiwa kwenye Jengo la mikutano wa kimataifa la KenyattaInternational Convention Center(KICC)Nairobi,Kenya wakati wa kuimbawimbo...
View ArticleSIDO IRINGA YAWAKOPESHA WAJASIRIAMALI WADOGO ZAIDI YA SH MILIONI 229
na fredy mgunda,iringaSHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 229.9 kwa wajasiriamali wa mkoa huo, katika kipindi cha July...
View ArticleMKURUGENZI ALEX MSAMA AMWAGA MISAADA KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA, ALAANI...
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Halima Ramadhan Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwadaliwa kilichopo...
View ArticleMKUTANO WA 16 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi jijini Nairobi kabla ya kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenyatta kuhudhuria mkutano wa 16 wa...
View ArticleUVCCM MKOA WA LINDI WALAANI MAUAJI YA ALBINO NA KUMPONGEZA RAIS KWA UTEUZI WA...
TAARIFA KWA UMMABaraza Kuu la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Lindi chini ya Mwenyekiti wake Ndugu Amir M. Mkalipa, wamefanya kikao cha kikanuni leo tarehe 21 feb...
View ArticleHALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA YAWAKUMBUKA WAHANGA WA JANGA LA MVUA
Wakazi wa Mtaa wa Ilemi juhudi jijini Mbeya wakiwa tayari kukabidhiwa msaada huo.Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya Mbeya Quip Mbeyela akizungumza katika makabidhiano ya Msaada huo.Kaimu Mkurugenzi jiji la...
View ArticlePSPTB YAFANYA SEMINA YA UTAFITI KWA WANAFUNZI WA BODI YA WATAALAMU WA UNUNUZI...
Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi PSPTB imeendesha mafunzo kwa wanafunzi wa fani ya ununuzi na ugavi wanaofanya tafiti kama sehemu ya mafunzo yao ya shahada ya Ununuzi na ugavi.Mafunzo hayo...
View ArticleTAMWA YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI JUU YA...
WENCE AKITOA ELIMU KWA WANAHABARI WALIOKUTANA MKOANI IRINGAWANAHABARI NWAKIWA MAKINI KUMSIKILIZA MTOA ELIMUMWANAHABARI FRANK KIBIKI AKIWA MAKINI KUFUATILIA NINI KINACHOENDELEA KWENYE MAFUNZO HAYO NA...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA: KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM KUKUTANA DAR ES SALAAM...
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM itakuwa na kikao cha kawaida cha siku moja mjini Dar es Salaam tarehe 28 Februari,2015.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
View ArticleKIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI - SHUJAAZ!
DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio...
View ArticleWAZIRI MKUU PINDA AZINDUA MAABARA KATIKA SHULE YA SEKONDARI IGOMELO MBARALI...
Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda akimsikiliza kwa makini mmoja wa wanafunzi wa masomo ya sayansi kidato cha kwanza katika shule hiyo ya Igomelo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mbeya baada...
View ArticlePUSH MOBILE, UN , WIZARA KUKABILI EBOLA
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Push Mobile, Freddie...
View Article