KINANA AWASILI MKOANI RUVUMA KUSHIRIKI MAZISHI YA KAPTENI JOHN KOMBA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Ruvuma Helena Shumbusho wakati wa mapokezi kwenye uwanja wa ndege Songea mjini ambapo Katibu Mkuu wa CCM atashiriki...
View ArticleDC NGORONGORO ALA KIAPO
Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Hashimu Shaibu akila kiapo cha utumishi mbele ya Mkuu wa mkoa wa Arusha Daudi Felix Ntibenda jana katika hafla iliyofanyika katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa huyochanzo...
View ArticleSHIRIKA LA SAVE VULNERABLE FOUNDATION WAFANYIKA DAR
Katibu Mkuu wa Shirika la Kusaidia watu wenye ulemavu na mahitaji maalumu la Save Vulnerable Foundation, Leontine Rwechungura (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI JOHN KOMBA KIJIJINI KWAKE LITUHI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye,Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Ndugu Sixtus Mapunda pamoja na wananchi kutoka maeneo mbali mbali...
View ArticleBAADA YA SIKU TATU ZA MAOMBOLEZO KINANA AANZA KAZI YA KUIMARISHA CHAMA MKOANI...
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (kushoto) akiongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakipokelewa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Adam Kimbisa.Katibu Mkuu...
View ArticleKINANA AHUTUBIA WAKAZI WA MPWAPWA MKOANI DODOMA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mpwapwa kwenye uwanja wa mikutano Mnarani ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa ahadi zilizoahidiwa na CCM zitatekelezwa kama...
View ArticleZIARA YA KINANA JIMBO LA KIBAKWE YAWAFURAHISHA WANANCHI
Wengi wavutiwa na hotuba zake Wampongeza kwa namna anavyokiimarisha Chama Cha Mapinduzi na msimamo wake wa kutaka Viongozi kuwa karibu na wananchi Wakazi wa jimbo la Kibakwe wakimsikiliza Katibu Mkuu...
View ArticleJK AKUTANA NA VIONGOZI WA TANZANIA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na viongozi wa Chama Cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam leo. Walioketi kushoto ni Waziri wa Sheria na Katiba Dkt Asha Rose Migiro, Waziri wa Mambo ya...
View ArticleUBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeanza rasmi zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura baada ya kukamilika kwa maandalizi muhimu ya Uboreshaji wa Daftari, ikiwemo manunuzi ya vifaa na...
View ArticleKINANA AITEKA WILAYA YA KONGWA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa Jimbo la Kongwa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Mkoka,wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma ikiwa sehemu ya muendelezo wa ziara zake...
View ArticleKINANA AKUTANA NA SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU DODOMA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa nje ya ukumbi wa NEC maarufu kama white house mjini Dodoma tayari kwa kukutana na wanafunzi wa Shirikisho la vyuo vya elimu ya juu mkoani...
View ArticleKINANA : SIFA KUBWA YA KIONGOZI BORA NI UADILIFU
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiutubia wakazi wa Dodoma mjini kwenye uwanja wa Barafu ikiwa sehemu ya kuimarisha Chama na kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka...
View ArticleRAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO KUJADILI MIRADI ILIYOKO UKANDA WA KASKAZINI,...
Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea kwa furaha sahada la maua baada ya kuwasili Kigali, Rwanda, tayari kwa mkutano na viongozi wenzake wa...
View ArticleBALOZI GETRUDE MONGELA AFIWA NA BABA YAKE MZAZI
Balozi Gerturude Mongela akiwa na Mzee Patrick Makanza (96) enzi za uhai. Mzee Makanza amefariki Dunia juzi.
View ArticleKINANA : KATIBA MPYA IKIPITA TANZANIA KUWA YA KWANZA DUNIANI KWA KUWA NA...
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na viongozi wa CCM wilaya ya Chamwino mara baada ya kuwasili kwenye shamba la Zabibu Chinangali II. Zabibu zikiwa zimestawi vizuri. Katibu Mkuu...
View ArticleLUSINDE AWATAKA WATENDAJI KUTEKELEZA MAAGIZO NA AHADI ZA RAIS JIMBONI KWAKE
Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde akielezea maendeleo ya ujenzi wa Shule ya msingi Lowasa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika kijiji cha Muungano wilaya ya Chamwino...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2015 MOROGORO
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa kwa furaha alipowasili uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro Jumapili Machi 8, 2015 kuongoza kilele cha sherehe za Siku ya Wanawake Duniani iliyoadhimishwa kitaifa...
View Article