KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI KATAVI
Kattibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi ambapo nyumba 70 zimekamilika kati ya...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUFUNGUA KONGAMANO LA MUUNGANO MJINI ZANZIBAR.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Muungano katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar...
View ArticleTAMASHA LA PASAKA LATIKISA UWANJA WA TAIFA
Mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa kimataifa Mh. Bernald Membe aliyemuakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Tamasha la Pasaka lililofanyika jana kwenye u8wanja wa Taifa akizungumza na...
View ArticleKATIBU MWENEZI WA CHADEMA WILAYA YA MEATU AHAMIA RASMI CCM
Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Chadema wilaya ya Meatu Kimwaga Jackson Ndibo akirudisha vitu vya Chadema zikiwemo kadi, bendera na katiba kwa viongozi wa CCM baada ya kurudi rasmi. Mwenyekiti wa Vijana...
View ArticleCHADEMA: KIKWETE NI JEMBE KATIKA MAENDELEO
*KIKWETE NAYE AWATAKA VIONGOZI WASITUMIE WANANCHI KAMA CHAMBO KUTIMIZA TAMAA ZAO ZA KISIASA.KARATU, TanzaniaCHADEMA wamemshukuru Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kwa kusaidia kwa kiasi kikubwa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA 28 NIMR NA KONGAMANO LA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akizindua rasmi mkutano Mkuu wa mwaka wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Tanzania...
View ArticleWAZIRI MKUU AREJEA DODOMA LEO KUENDELEA NA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi wa mkoa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma kwa ajili ya kikao cha Bunge Maalum la Katiba akitoka Dar es Salaam, Aprili 23,...
View ArticleTANZANIA: TUTAENDELEA KUSHIRIKIANA NA UMOJA WA MATAIFA KATIKA ULINZI WA AMANI
Balozi MwinyiNaibu Muwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhani Mwinyi, akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kuhusu ujumuishwaji katika mchakato wa...
View ArticleMZEE CLEOPA MSUYA ANG'ATUKA RASMI KATIKA UONGOZI WA UMMA
Rais Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza na kuzungumza na Waziri mkuu Mstaafu mzee Cleopa David Msuya aliyetangaza rasmi kung’atuka nafasi zote za uongozi baada ya kuitumikia serikali na Chama Cha...
View ArticleNAPE AZUNGUMZA NA WANAFUNZI WA KIMAREKANI
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwaonyesha wanafunzi kutoka chuo cha Whitworth Marekani bango la linaloonyesha wajumbe wa Kamati Kuu wa CCM wakati wa mkutano kati yake na wanafunzi hao...
View ArticleCCM TAWI LA UINGEREZA WAUNGANA NA WATANZANIA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO
CCM TAWI LA UINGEREZA WAADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANOApr 25, 2014 CHAMA CHA...
View ArticleKINANA AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA MSUMBIJI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Waziri Mkuu wa Msumbiji, Dk. Alberto Vaquina, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo April 25, 2014. Baadaye...
View ArticleVIJANA WAFANYA MATEMBEZI YA UZALENDO
Vijana wakiwa kwenye matembezi ya Uzalendo yalioratibiwa na Umoja wa Vijana wa CCM katika kuadhimisha miaka 50 ya Muungano ambapo vijana hao walianzia matembezi kutoka ofisi za Mkuu wa Wilaya ya...
View ArticleHONGERA WATANZANIA KWA KUADHIMISHA KWA KISHINDO MIAKA 50 YA MUUNGANO WA...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, wanatoa hongera kwa Watanzania...
View ArticleMWEMBE ULIOPANDWA NA NYERERE NA KARUME KATIKA IKULU YA DAR ES SALAAM WATIMIZA...
Wakati wa Sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tarehe 26 Aprili 1964, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Rais wa Zanzibar Abeid Amaan Karume ambao sasa wote ni marehemu,...
View ArticleSHEREHE ZA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru...
View ArticleArticle 6
ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA, KATA YA KAWE YATIKISAApr 27, 2014 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM, Taifa, Sadifa Juma (wapili kushoto) akiwasili kwenye Uwanja wa Mkutano eneo la Tanganyika...
View ArticleMAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI
Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoeziAction Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea...
View Article