Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA KATIKA SHUGHULI YA KUMBUKUMBU YA MAUAJI...

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akiwa na mwenyeji wake Katibu Mkuu wa Chama Cha RPF-INKOTANYI, Francois Ngarambe baada ya kuwasili mjini Kigali, Rwanda kwenye tafrija ya viongozi wa vyama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ATUA KIGOMA KUANZA ZIARA YA SIKU SITA MKAONI HUMO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishuka kwenye ndege baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kigoma kuanza ziara ya siku tano mkoani humo jioni hii.Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Walid...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYANGWINE KUWASHITAKI KWA KINANA MAKADA WANAOMHUJUMU JIMBONI

NA MWANDISHI WETUVURUGU na kampeni chafu zinazofanywa na baadhi ya makada wa CCM wanaojipanga kuwania ubunge katika jimbo la Tarime, zimechukua sura mpya.Hatua hiyo imetokana na mbunge wa jimbo hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKAGUA MRADI WA MAJI KASULU

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasabahi wananchi wa kijiji cha Nyumbigwa ambapo alikagua mradi wa maji.Mbunge wa Viti Maalum Josephine Gezabuke akizungumza na wananchi  wakati waziara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA WILAYA YA KASULU MKOANI KIGOMA YAFANA, MAELFU MJINI NA VIJIJINI...

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika leo, Aprili 9, 2014, kwenye stendi ya texi mjini Kasulu, akiwa katika ziara yake ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA ANA KWA ANA NA RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA

Rais wa Rwanda, Paul Kagame, akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kwa ajili ya mazungumzo baina yao kwenye Hoteli ya Serena, Mjini Kigali Rwanda, juzi. (Picha na Edward Mpogolo- Ofisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DHANA YA KUPUNGUZA MADHARA YA MAAFA

Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa, akiwakaribisha washiriki na kufungua warsha ya mafunzo ya siku nne ya waandishi wa habari na watangazaji wa Redio Jamii kuhusu kuandika taarifa za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AMALIZA KWA KISHINDO ZIARA YAKE WILAYANI BUHIGWE LEO, AKAGUA MIPAKA YA...

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiangalia mto Malagalasi ambao ni mpaka kati ya Tanzania na Burundi alipokuwa katika ziara wilayani Buhigwe mkoani Kigoma leo Alhamisi, Aprili 10, 2014. Kinana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA, NAPE WAFANYA MAMBO MAZITO JIMBONI KWA ZITTO KABWE MKOANI KIGOMA

 Gari alilokuwemo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana likisindikizwa na vijana alipokuwa akiingia Kata ya Mwandiga, Wilaya ya Kigoma, leo Katibu Mkuu huyo akiwa katikaa ziara ya siku tano mkoani...

View Article


TAHADHARI YA MVUA KUBWA

TAHADHARI YA MVUA KUBWA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAVUVI KIBIRIZI WATOA YA MOYONI KWA KINANA

Walalamikia tozo kubwa za leseni na ushuruWakina Mama walalamika kunyanyaswaWamtupia lawama kwa Diwani wao wa KataKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisoma bango lenye ujumbe wa kulalamikia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AHUTUBIA BILA KUJALI MVUA KIGOMA MJINI

Asisitiza Umoja na Mshikamano KigomaAsema ahadi zote zitatekelezwaAwataka Viongozi wa CCM kufanya mikutano mingi na wanachama na wananchi kwa jumlaNape afundisha Umma Demokrasia ya kweli,aonyesha namna...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA MUHIMU KUTOKA TAWI LA CCM UINGEREZA

       CCM TAWI LA UINGEREZA - UNITED KINGDOMWebsite ccmuk.org, Blog ccmuk.org/blog, Facebook page chama cha mapinduzi uingereza, twitter CCMUK 1Contacts Phone  +44 74 04 863333, +44 7545 213515E-mail...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AANZA KWA KISHINDO ZIARA YAKE MKOANI KATAVI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kushoto) akikagua ujenzi wa bandari ya Karema wilaya ya Mpanda ambao umekwama kwa miaka mitatu sasa kutokana na mkandarasi kudaiwa kutokuwa na sifa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAZIDI KUIMARIKA NA KUAMINIKA

Wananchi wengi wana imani kubwa na CCMWatambua ni Chama pekee chenye viongozi wasikivu na wenye ushirikianoZiara za Katibu Mkuu wa CCM zazidi kukiimarisha chama na kuongeza idadi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA KINANA WILAYA YA MLELE

Atembelea kata ya Kibaoni, asalimiana na wananchi na kukagua mradi wa maji, akutana na Mama Mzazi wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda .Ajionea mradi wa ufugaji Nyuki katika shamba la Waziri Mkuu Katibu Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA WAOMBOLEZAJI MSIBA WA MAALIM MUHIDIN...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwanamuziki mkongwe, Kassim Mapili, na baadhi ya waombolezaji wakati alipowasili nyumbani kwa marehemu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA NYUMBA 60 ZA SHIRIKA LA NYUMBA WILAYA...

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa nyumba 60 za makazi ya watu zinazojengwa na Shirika la Nyumba ya Taifa katika Wilaya ya Mlele mkoani Katavi. Katibu Mkuu...

View Article

MVUA KUBWA KUENDELEA KUNYESHA WANANCHI WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI

TAHADHARI 16-04-2014WARNING 16-04-2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AMALIZA ZIARA WILAYA YA MLELE

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na ujumbe wake wakipata maelezo kutoka kwa Daktari wa Kituo cha Afya Inyonga Dk. Koni,Katibu Mkuu alitembelea kituo hicho ambacho kimeombewa kibali cha kuwa...

View Article
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>