Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUNE 19,2017

View Article


STAR TV TUONGEE ASUBUHI NA DKT. HASSAN ABBASI-MKURUGENZI IDARA YA HABARI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TGGA YAENDESHA KAMBI YA MAFUNZO YA MTOTO WA KIKE KUJIAMINI, KUJITAMBUA NA...

 Washiriki wa Kambi ya Mafunzo ya kuwajengea uwezo wanawake wakiimba wimbo wa Taifa baada ya kujifunza jinsi  ya kufunga kamba vifundo na kupandisha bendera ya Taifa katika kambi ya siku tano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLEPOLE AFANYA MAZUNGUMZO UJUMBE KUTOKA KITUO CHA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI...

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole akimsalimia Meneja Mradi wa kushawishi Siasa Shirikishi katika kuimarisha vyama vya Siasa hapa nchini, hasa katika ushiriki wa Wanawake na Vijana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKATIBU JUMUIA YA WAZAZI BARA NA ZANZIBAR WAMG'ANG'ANIA BULEMBO

NA HAPPINES MTWEVE, DODOMAMAKATIBU wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania wamepinga  kwa kauli moja azma ya Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Alhaj Abdallah Bulembo kutogombea tena nafasi hiyo na kumtaka kubadilisha...

View Article


WAZIRI MWAKYEMBE AKIZUNGUMZIA UMUHIMU WA KAMUSI KUU MPYA YA KISWAHILI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESHO RAIS DK. MAGUFULI KUANZA ZIARA YA SIKU TATU MKOA WA PWANI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUNE 20,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AKABIDHI VIFAA VYA KUSAIDIA WAKINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa hafla maalum ya kukabidhi vifaa vya kusaidia wakina mama wajawazito wakati na baada ya kujifungua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. MAGUFULI AANZA ZIARA MKOA WA PWANI, AHUTUBIA WANANCHI WA KIBAHA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Kibaha Maili moja katika viwanja vya Bondeni Mkoani Pwani katika siku ya kwanza ya ziara yake ya siku tatuMkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUNE 21,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. MAGUFULI AMLILIA ALI YANGA

Rais Dk. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia, wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), uongozi wa Klabu ya Yanga na wanamichezo wote kwa ujumla kufuatia kifo cha shabiki mkubwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI MPYA 2017/18 NA FURSA ZILIZOPO KWA VIJANA

Bajeti Mpya ya Serikali ya mwaka 2017/2018 ndiyo Bajeti ya pili tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani chini ya Uongozi mahiri wa Mhe. Rais Dr. John Joseph Pombe Magufuli, bajeti hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANISPAA YA UBUNGO YAJIKITA KATIKA KUKOMESHA MIGOGORO YA ARDHI

NA BASHIR NKOROMOMkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori amesema, Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Dar es Salaam, itahakikisha inamaliza migogoro ya ardhi iliyopo sasa na kuhakikisha hakuna mipya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA WAKIMBIZI DUNIANI YAADHIMISHWA JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) nchini Tanzania, Alvaro Rodriguez, akizungumza   wakati wa   Siku ya Maadhimisho ya Wakimbizi Duniani iliyofanyika katika ukumbi wa Little Theatre jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JPM; NIMEKATAA MIALIKO ZAIDI YA 60 KWENDA NJE ILI NISAFISHE NCHI KWANZA

RAIS John Magufuli juzi alitumia siku yake ya kwanza ya ziara ya siku tatu mkoani Pwani kueleza sababu za kutopenda kusafiri nje ya nchi, akisema “kwanza nataka kusafisha nchi.”  Huku akituma salamu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK MAGUFULI AWAANDALIA FUTARI WANANCHI WA MKOA WA PWANI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika foleni ya kunawa na kisha kuchukua chakula Jumatano Juni 21, 2017  katika futari aliyowaandalia wananchi wa mkoa wa Pwani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUNE 22,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA RAIS DK. MAGUFULI MKOA WA PWANI, AZINDUA MIRADI UKIWEMO WA MAJI WA...

Rais Dk. John Magufuli akilijaribu kuliwasha Trekta katika kiwanda cha kutengeneza  matrekta ya URSUS kilichopo Kibaha mkoani Pwani, wakati akizindua Kiwanda hicho, akiwa katika ziara ya siku tatu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK SHEIN AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI, IGP SIRRO

 Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein akimkaribisha Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, Ikulu mjini Zanzibar, jana.Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein akizungumza na Mkuu wa Jeshi la...

View Article
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>