POLEPOLE: KUIISHI MISINGI, IMANI NA AHADI ZA CCM NI TUNU YA SIASA SAFI NA...
Aprili 29, 2017, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Ndugu, Humphrey Polepole, alikuwa Mgeni Rasmi katika Kongamano la Umoja wa Vijana wa Vyuo vya Elimu ya Juu mkoani Kagera, Katika Kongamano hilo,...
View ArticleWAZEE WA CCM Z'BAR WATOA WAMPONGEZA DR.SHEIN NA KUTOA MAPENDEKEZO MAZITO
Na Mwandishi WetuBaraza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi ((CCM) Zanzibar kwa niaba ya wazee wote wa Chama hicho linampongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Makamu...
View ArticleNEC YATANGAZA NAFASI WAZI YA KITI CHA MBUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza kuwepo kwa nafasi wazi ya Mbunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA, kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalum wa chama...
View ArticleRAIS DK MAGUFULI AREJEA DAR ES SALAAM, LEO BAADA YA ZIARA YAKE MKOANI...
Rais Dk John Magufuli akishuka baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo akitokea mkoani Kilimanjaro alikokuwa katika ziara ya kikazi ya siku...
View ArticleMAHAKAMA YAMPA DHAMANA JESCA MSAMBATAVANGU
Iringa, TanzaniaMAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi mkoa wa Iringa imemwachia kwa dhamana aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Dk. Jesca Msambatavangu (41), aliyeshitakiwa kwa kesi jinai namba...
View ArticleWENJE NA MASHA WAREJESHWA TENA KUGOMBEA UBUNGE EALA, NI KATIKA SITA...
Na Mwandishi WetuBaada ya kushindwa kukidhi vigezo katika hatua ya kwanza, Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) sasa imewateua wanachama wake sita kwenda kugombea Ubunge wa Bunge...
View ArticleZIARA YA KAIMU KATIBU MKUU UVCCM SHAKA YAVUNA WENYEVITI NA MAKATIBU VYAMA VYA...
Kaimu Katibu mkuu UVCCM Shaka hamdu Shaka akimsalimia mama mzazi wa Mhe:Wazir Mkuu Mstaafu Mizengo kayanza peter pinda alipokwenda kutoa pole kwa familia ya Mzee Pinda kufuatia kifo cha baba yake...
View ArticlePOLEPOLE: CCM IMEIAGIZA SERIKALI KUSAMBAZA TANI 1,500 ZA MAHINDI LONGIDO,...
Na Irene Mdoe, LongidoKatibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole amesema Chama Cha Mapinduzi kimeiagiza Serikali kusambaza tani 1,500 za chakula katika Wilaya za Longido, Ngorongoro na...
View ArticleWAZIRI MWAKYEMBE AZINDUA TAARIFA YA HALI YA VYOMBO VYA HABARI NCHINI TANZANIA...
Makamu wa Rais wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini, Jane Mihanji, akizungumza hii leo kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2017, yanayofanyika kitaifa Jijini...
View ArticlePOLEPOLE: KUWA MWANACCM NI KUKUBALI KUWA DARAJA LA KUWAUNGANISHA WATU NA...
“Sisi wanachama wa Chama Cha Mapinduzi ni wajamaa, wakati wote tunazungumza kijamaa, hata tunapokosea hukosoana kijamaa. Kama wajamaa hatupaswi kwa namna yoyote ile kubakisha chembe ya kutokuelewana...
View ArticleUFINYU WA BAJETI KIKWAZO KATIKA KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI
Na Mwandishi Wetu Ufinyu wa bajeti kwa ajili ya huduma za uzazi wa mpango imekuwa ndicho kikwazo kikuu katika kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi hapa nchini ambapo katika miaka sita iliyopita kiwango...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA SUKARI (TPC)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa , akipata maelezo Kutuko kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Sukari cha (TPC) Bwana Robert Baissac, kuhusu mbegu za kisasa za Miwa zinazo zalishwa kitika Shamba...
View ArticleMUGABE: ZIMBABWE NI YA ' PILI ' KATIKA MATAIFA YALIYOENDELEA AFRIKA
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amekanusha kuwa nchi yake iko katika hali mbaya kiuchumi na kushikilia kuwa ni mojawapo ya mataifa yalioendelea zaidi barani Afrika.Akizugumza katika mkutano wa jukwaa...
View ArticleWAUAJI RUFIJI WAUA TENA, HALI SIO SHWARI
Kamanda wa polisi mkoani Pwani, kamishna msaidizi mwandamizi, Onesmo Lyanga, akizungumza (picha na Mwamvua Mwinyi) Na Mwamvua Mwinyi, Rufiji Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Amiri Chanjale...
View ArticleKIKWETE: UKOLONI UMECHANGIA UMASIKINI AFRIKA
Mkutano wa kiuchumi Duniani -World Economic Forum kwa Afrika umeingia siku yake ya pili hii leo mjini Durban Afrika Kusini, lengo hasa likiwa kutafuta namna za kukuza uchumi wa Afrika.Mkutano huo...
View ArticleKAIMU KATIBU MKUU UVCCM SHAKA HAMDU SHAKA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA...
Mhe Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe:Zelote Stephen Zelote wa kwanza kushoto akimpokea kaimu katibu mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka alipowasili ofisi za Mkoa kuzungumza Mambo mbali mbali ya kimaendelea pamoja na...
View Article
More Pages to Explore .....