KATIBU IDARA YA OGANAIZESHENI CCM PERREIRA AME SILIMA AKABIDHIWA OFISI...
Aliyekuwa Katibu wa Idara ya Organization Chama Cha Mapinduzi Mohammed Seif Khatib akizungumza wakati wa Makabidhiano ya Kiofisi na Katibu Mpya Idara ya Organization CCM ndg:Perreira Ame Silima,Leo...
View ArticleRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU NA KATBU WA...
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akimkaribisha Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong Ikulu jijini Dar es salaam kwa mazungumzo...
View ArticleWAZIRI MAHIGA APOKEA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WATEULE NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) leo tarehe 22 Machi, 2017 amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi Wateule 7...
View ArticleWAZIRI MBARAWA AITAKA BODI YA WABUNIFU MAJENGO NA WAKADILIAJI MAJENZI...
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akizungumza kwenye Mkutano wa mashauriano baina ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiliaji Majenzi unaofanyika kwa siku...
View ArticleUZINDUZI WA MAONYESHO YA KWANZA YA TAMTHILIYA YA KICHINA INAYOITWA “MFALME...
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole Gabriel akizungumza na hadhira (haipo katika picha) katika hafla ya Uzinduzi wa maonyesho ya kwanza ya Tamthiliya ya kichina...
View ArticleMAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA NGUO MAURITIUS
Waziri Mkuu Kasim Majaliwa akitazama mitambo ya kiwanda cha kuengeneza nyuzi za pamba wakati alipotembelea kiwanda cha nguo cha Compagne Mauricienne De Textile Ltee kilichopo nje kidogo ya mji wa Port...
View ArticleKATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WILAYA YA MUFINDI JIMSON MHAGAMA AJITOSA...
Katibu wa chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Mufindi Jimson Mhagama akiwa kwenye mmoja ya mikutano ya kampeni wa kumtafuta diwani wa kata ya Igombavanu wilayani mufindi akikitumikia chama. Katibu wa...
View ArticleRAIS MHE. DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA BANDARINI NA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam kufatilia maagizo yake ya kudhibiti vitendo vya udanganyifu...
View ArticleLUKOA-VIWAVIJESHI WANAOSHAMBULIA MAZAO WAENDELEA KUANGAMIZWA CHALINZE
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Chalinze, Edes Lukoa akizungumza. Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza na madiwani wa halmashauri hiyo katika baraza la madiwani. (picha na Mwamvua...
View ArticleMD KAYOMBO AKAGUA ENEO LITAKLOTUMIKA KWA AJILI YA MAONESHO YA NANENANE LA...
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akisisitiza jambo mara baada ya kutembelea Shamba litakaloandaliwa kwa ajili ya Maonesho ya Nanenane lililopo Mkoani Morogoro Na Mathias Canal,...
View ArticleDKT KEBWE AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA MAONESHO YA KILIMO
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt Kebwe Stephen Kebwe akizungumza wakati wa kikao cha Kamati kuu ya Tathmini na Maandalizi ya Maonesho ya Kilimo (Nane Nane) Kanda ya Mashariki Baadhi ya washiriki wa kikao...
View ArticleKATI YA WATU 3447 WALIOJITOKEZA KUPIMA AFYA ZAO 27 WAHISIWA KUWA NA KIFUA...
Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akipata maelezo ya kasi ya upimaji VVU leo Mufindi kwenye kilele cha siku ya kifua kikuu na UKIMWImkuu wa mkoa akiwa banda la benki ya wananchi wa Mufindi Mkuu wa...
View ArticleWAZIRI MBARAWA AKAGUA MIUNDOMBINU BUKOBA MKOANI KAGERA
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (kulia), akioneshwa taarifa ya mapato na Meneja wa Kampuni ya Simu Nchini (TTCL), mkoa wa Kagera, Bw. Salum Mbaya, wakati alipotembelea...
View ArticleHAFLA YA KUAPISHWA MAWAZIRI, MABALOZI, KATIBU MKUU NA KAMISHNA IKULU DAR ES...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Jijini Dar es Salaam. Wapili...
View ArticleMBUNGE RIDHIWANI NA MADIWANI WA CHALINZE WAIKALIA KOONI CHALIWASA
Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza na madiwani wa halmashauri hiyo katika baraza la madiwani. (picha na Mwamvua Mwinyi)Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete pamoja na...
View ArticleHUMPHREY POLEPOLE AFAFANUA KWA KINA MAGEUZI YA CCM
Mabadiliko ya Katiba ya CCM 2017 yamegusa maeneo gani?Hivi karibuni kumekuwapo maneno ya upotoshwaji juu ya Mabadiliko ya Katiba ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) yaliyofanyika tarehe 12 Machi 2017. Napenda...
View Article
More Pages to Explore .....