WAZIRI MWIGULU AWAASA ASKARI KUTOWABAMBIKIZIA WATU KESI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe Mwigulu Lameck Nchemba akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao cha kazi cha Mwaka 2017 cha Maafisa waandamizi wa Polisi na Makamanda wa Mikoa/VikosiMzee John Samwel...
View ArticleMAFUNZO YA UFUNGAJI MIGODI
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Juliana Pallangyo  ( kulia) na Mkuu wa Maendeleo kutoka Ubalozi wa Canada, Sue Steffen,(kushoto) akizungumza wakati wa...
View ArticleWAZIRI MWAKYEMBE APOKELEWA OFISINI KWAKE DODOMA
 Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof Elisante ole Gabriel akiteta jambo na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe na wakati waziri huyo alipowasili Ofisini kwake Mjini Dodoma....
View ArticleMWENYEKITI WA CCM TAWI LA MPARANGE RUFIJI APIGWA RISASI NA KUFARIKI DUNIA
Mbunge wa Rufuji Mohamed Mchengerwa.Na Mwamvua Mwinyi, IkwiririMWENYEKITI wa chama cha mapinduzi (CCM) tawi la Mparange na mjumbe wa serikali ya kijiji cha Ikwiriri Kaskazini ,wilayani Rufiji mkoani...
View ArticleBENKI YA ABC TANZANIA YAFUNGUA TAWI TEGETA, DAR ES SALAAM
Na Mwandishi MaalumBenki ya ABC imeendelea kupanua wingo wake kwa kufungua tawi lake jipya eneo la Tegeta jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuhudumia ongezeko la idadi ya wateja katika eneo hilo, hatua...
View ArticleMAKONDA: WAZIRI MKUU WA ETHIOPIA ANAKUJA NCHINI KESHO
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul C. Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuelezea dhamira ya ujio wa Waziri Mkuu wa Ethiopia nchini Tanzania mapema leo katika Ukumbi wa Benjamin Mkapa Mjini...
View ArticleUWT YAPONGEZA UTEUZI SAWA WA CCM WAGOMBEA UBUNGE AFRIKA MASHARIKI, YAWANANGA...
Dar es SalaamUmoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umekipongeza na kukishukuru Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa  uamuzi wake wa kuteua wagombea wa Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwa uwiano ulio sawa...
View ArticleRAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUIWEZESHA TAASISI YA MOYO YA JAKAYA KIKWETE
Frank Mvungi-MaelezoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amepongezwa kwa kuiwezeshaTaasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kufanya upasuaji wa kihistoria tangu kuanzishwa...
View ArticleBOMBARDIER ZILIZONUNULIWA NA RAIS DK. MAGUFULI ZAINGIZA SH. BILIONI TISA
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la ATCL, Bw. Lasislaus Matindi anasema wamefanikiwa kukusanya Shilingi Bilioni 9 kwa katika kipindi cha miezi minne kwa kutumia ndege hizo mbili zilizonunuliwa...
View ArticleWANACCM TISA WANADAIWA KUFA MJAWA KUTOKANA NA MATUKIO YANAYOENDELEA YA MAUAJI
Na Mwamvua Mwinyi, PwaniVIONGOZI na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tisa kata ya Mjawa wilaya ya Kibiti, wanadaiwa kuawa kwa kupigwa risasi na wengine kuchomwa moto kutokana na matukio ya mauaji...
View ArticleWASANII MSIVUKE MIPAKA KATIKA UTENGENEZAJI WA KAZI ZENU KWA KUVUNJA SHERIA ZA...
Na Raymond Mushumbusi WHUSM DodomaWaziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe ametoa wito kwa wasanii nchini kutovuka mipaka katika utengenezaji wa kazi zao mpaka kufikia hatua...
View ArticleTAARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM) KWA VYOMBO VYA...
 VMM/U.80/8/Vol.I59              31/03/2017TAARIFA YA  UMOJA WA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM) KWA VYOMBO VYA HABARI UPANGA DAR ES SALAM  IJUMAA 31 MACHI 2017Ndugu waandishi wa...
View Article
More Pages to Explore .....