Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22418 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM-BARA RODRICK MPOGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA...

  Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akizungumza na Balozi wa China hapa nchini, Dk. Lu Youqing, nyumbani kwa Balozi huyo, jijini Dar es Salaam, leo, Machi 19, 2017. Mazungumzo hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA TANZANIA NCHINI UJERUMANI, PHILIP MARMO AVISHA CHEO KANALI WA JWTZ...

Katika hali ambayo haijazoeleka na iliyoonekana kuwa ngeni, Balozi wa Tanzania Mhe. Philip Marmo alimvisha Cheo Kanali Joseph Bakari aliyepandishwa Cheo hivi karibuni kutoka Luteni Kanali.Hafla hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA AWASILI MAURITIUS KUMWAKILISHA JPM KATIKA UZINDUZI WA JUKWAA LA...

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Mauritius, Bw. Vishnu Lutchmeenaraidoo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Sir Seewoosagur Ramgoolam nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAOTAKA UBUNGE BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI KUPITIA CCM WAANZA KUCHUKUA FOMU LEO

 Katibu Msaidizi Idara ya Organaizesheni, Said Bakari Is-hak (kulia) akimkabidhi fomu za kuomba kuteuliwa na CCM, kugombea Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Kada wa CCM, Daktari bingwa wa magonjwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MACHI 20,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOKO LA MBAO LIMESHUKA WILAYANI MUFINDI

 Mbunge wa Mafinga mjini Cosato Chumi akiongea na Wafanyabiashara wa mazao ya misitu wilayani Mufindi juu ya malamiko yao kwa TRA mkoa wa Iringa Baadhi ya wafanyabiashara wa mazao ya misitu wilayani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA BENKI YA DUNIA AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM, KUPIGA KAZI NA RAIS DK....

Dar es Salaam, TanzaniaRais wa Benki ya Dunia (WB) Dk. Jim Yong Kim, jana, amewasili nchini kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo leo, Jumatatu, Machi 20 2017, atakutana na Rais Dk. John...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANI DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AWEKA JIWE LA...

Dar es SalaamRais Dk. John Magufuli, leo Machi 20, 2017 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara za juu kwenye makutano ya Barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma eneo la Ubungo Jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA YA DODOMA MJINI CHRISTINA MDEME AKUTANA NA KAMATI NDOGO YA...

 Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini  Christina Mdeme akizungumza na Kamati ndogo ya Mkoa inayoratibu Ujenzi wa mradi wa Uwanja wa Michezo wa Kimataifa utakojengwa katika kata ya Nala, alipokutana na Kamati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM KUPOKEA UJUMBE MZITO WA CPC KUTOKA CHINA KESHO

Dar es SalaamChama Cha Mapinduzi (CCM), kesho, siku ya Jumanne, Machi 21, 2017, kitapokea  Ujumbe wa Viongozi na maofisa kutoka Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambao utakuwa hapa nchini kwa ziara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKALA YA CHARLES CHARLES

Kingunge asidhani kuwa Kikwete, Mangula au Kinana 'watachafuka' kwa kuwatungia uongo Na Charles CharlesJUZI, Jumapili, mwanachama wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kingunge Ngombale - Mwiru...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHARLES CHARLES: HIZI NDIZO KAZI NILIZOFANYA NILIPOKUWA SINGIDA - (SEHEMU YA...

Aliyekuwa Katibu wa CCM wa Wilaya ya Singida Mjini, Ndugu Charles Charles (aliyesimama kushoto), akizungumza na wajasiriamali wa soko la mbogamboga (picha ya juu na chini) lililopo kata ya Mughanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MACHI 21,2017

View Article


'UVAMIZI' WA MAKONDA HAUNA MAJERUHI WALA PURUKUSHANI?

Na Charles Charles Inawezekana kweli alikwenda. Lakini hii lugha ya kwamba eti "amevamia" ama "ameteka" ni kuongeza chumvi.Hivi panapovamiwa au kutekwa kunakuwa hakuna purukushani, hakuna majeruhi hata...

View Article

PLAN INTERNATIONAL YAADHIMISHA MIAKA 80 YA KUZALIWA

 Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Shirika lisilokuwa la Kiserikali la Plan International limeadhimisha miaka 80 tangu kuzaliwa kwake Mwaka 1937 likiwa na lengo la kutetea na kusimamia haki za Watoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAPOKEA UJUMBE MZITO KUTOKA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA LEO

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo, akizungumza na Balozi wa China hapa nchini Dk. Lu Younqing wakati wakisubiri kupokea ujumbe wa watu 19, wakiongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MACHI 22,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MERO AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa, Mhe. Modest J. Mero akitoa maelezo mafupi kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. António Guterres kabla ya kuwasilisha rasmi Hati za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURII MAMA YA RUFIJI NA YA KIBITI ZATAKIWA KUMALIZA MIGONGANO -RC NDIKILO

Mkuu wa mkoa wa Pwani, mhandisi Evarist Ndikilo, wa pili kutoka kushoto, akizungumza na watumishi wa halmashauri ya Kibiti kwenye muendelezo wa ziara yake mkoani humo ,wa kwanza kushoto mkuu wa wilaya...

View Article

HIVI HII 'KARIBUNI' YA MAALIM SEIF ITAFIKA LINI

Na Charles Charles Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaambia tena Wazanzibari kwamba "hivi karibuni", watasherehekea matunda ya kura zao walizopiga katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25,...

View Article
Browsing all 22418 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>