Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA KENYA HAPA TANZANIA, LEO

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Kenya hapa Tanzania, Chirau Ali Makwere (kushoto), alipofika Ikulu Mjini Unguja, leoRais wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SURA ZA MAGAZETI YA LEO, DESEMBA MOSI, 2016

TANZANIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM YAMGEUZIA KIBAO MBUNGE WA JIMBO LA SIMANJIRO JAMES OLE MILYA

James MillyaNa Woinde Shizza, ManyaraUmoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) umemjia juu Mbunge wa jimbo la  Simanjiro kwa tiketi ya Chadema, James Milya, na kusema kwamba malalamizko aliyotoa dhidi ya Kaimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YALIPA ONYO KALI GAZETI LA MTANZANIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AONGOZA MAZISHI YA KHADIJA KAMBA LEO JIJINI DAR ES SALAAM, ASEMA CCM...

Na Bashir NkoromoKatibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameongoza mamia ya wananchi katika maziko ya muasisi wa chama cha Tanganyika African Union (TANU) na baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM), Khadija...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKATIBU 32 SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU-CCM, WAPIGWA SEMINA...

Na Mwandishi Wetu.Shirikisho la Shirikisho la Vyuo vya Elimu ya Juu-CCM, limefanya semina ya utendaji kwa makatibu wake wote wa matawi katika mkoa wa Dar es Salaam, kwa lengo la kuwajengea uwezo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE AZZAN MUSSA ZUNGU ALAZWA

Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Azzan Musa Zungu akiwa amelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kupatiwa matibabu ya moyo ambapo kwa sasa hali yake inaendelea vizuri. Kutoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHIRIKISHO VYUO VYA ELIMU YA JUU LA MTETEA RAIS DK MAGUFULI, KERO KUHUSU...

➤Lasema Rais ameshatimiza wajibu wake kwa kutoa fedha za mikopo➤Ltaka lawama ziwashukie watendaji Bodi ya Mikopo➤Wanafunzi hewa lawatupia lawama Bodi ya MikopoNa Bashir NkoromoWadau wa elimu wametakiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK MAGUFULI ATEUA MABALOZI 15 LEO, LUHWAI NA DK PINDI CHANA WAMO

Na Bashir Nkoromo, CCM Blog, DarNaibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajabu Luhwavi na Kaimu Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk Pindi Chana wameondoka Rasmi katika Utumishi wa Chama Cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK MAGUFULI NA MKEWE KUTOA SH. MILIONI TANO KUSAIDIA MTOTO ANAYEUGUA...

Na Bashir Nkoromo, CCM BlogRais Dk. John Magufuli na Mkewe Mama Janeth Magufuli, wameahidi kutoa mchango wa Sh. Milioni 5 kwa ajili ya kusaidia matibabu ya mtoto mwenye umri wa miaka saba, Haidari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANGULA ASAINI KITABU CHA MAMBOLEZO YA KIFO CHA RAIS MSTAAFU WA CUBA FIDEL...

 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAS ILALA EDWARD MPOGOLO AZINDUA MAADHIMISHO KILIWILAYA YA SIKU 16 KUPINGA...

Bango liliandaliwa kwa ajili ya Maadhimisho hayoKatibu Tawala wa wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akiwasili kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mwembeni, Vngunguti kwenye uzinduzi wa Maadhimisho ya siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA MKURUGENZI WA MAUZO WA KAMPUNI YA NDEGE YA BOEING

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi wa mauzo wa kampuni ya Ndege ya Boeing Jim Deboo aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo pamoja na ujumbe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO CHA KAMATI KUU CCM KUFANYIKA DAR ES SALAAM, DESEMBA 11-12 , 2016

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC)  Desemba 11 - 12/12/2016 na kufuatiwa na kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa Desema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK MAGUFULI KUONGOZA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA UHURU WA TANZANIA....

Rais Dk. MagufuliRais Dk. John Magufuli ambaye ndiye Amirijeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na Usalama, ataongoza kwa mara ya kwanza sherehe za Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania, zitakazofanyika jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR YASHIKA NAFASI YA SITA KWA MAAMBUKIZI YA UKIMWI BARANI AFRIKA

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO.Mbali na jitihada za makusudi za Serikali na wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI nchini bado hali siyo ya kuridhisha ambapo Jiji la Dar es Salaam linashika nafasi ya Sita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA NDANI NA NJE YA TANZANIA LEO DESEMBA 6, 2016 : UHURU-KUMEKUCHA...

TANZANIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAOMBOLEZA KIFO CHA MBUNGE WA ZAMANI WAKILWA PROFESA IDRISA MTULIA

ENZI ZA UHAIKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (ushoto) akisalimiana na Profesa Idrisa Mtulia katika mji mdogo wa Ikwiriri wilayani Rufiji akiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA BancABC YATOA OFA KWA WATEJA WANAOFUNGUA AKAUNTI YA AMANA MSIMU HUU...

Dar es Salaam, TANZANIAWateja wa Benki ya BancABC wanaofungua akaunti ya amana kwa kuweka fedha kuanzia sh. milioni kumi kwa muda maalum katika msimu huu wa sikukuu watanufaika zaidi kwa kupata riba ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AFUNGA MAFUNZO YA BLOGGERS TANZANIA JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akizungumza na wamiliki wa Blogg Tanzania kabla ya kufunga mafunzo kwa Blooger hao yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa...

View Article
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>