CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE CHAFUNGUA BARAZA LA WAHITIMU WA CHUO...
Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Profesa Shadrack Mwakalila (kushoto), akihutubia wakati akifungua Baraza la Wahitimu wa chuo hicho, Dar es Salaam leo. Katibu wa Baraza la Wahitimu wa...
View ArticleCCM YAOMBOLEZA KIFO CHA BALOZI MSTAAFU WAZIRI JUMA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKatibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana amemtumia salamu za rambi rambi Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Ndg. Henry Shekifu kufuatia kifo cha...
View ArticleZIARA YA MAKONDA ILALA, CHANIKA KWAWAKA, MWENYEKITI WA MTAA ASWEKWA KITUO CHA...
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Zavala, Buyuni wilayani Ilala, Chiku Mwalufamba, akiwa chini ya ulinzi wa Polisi wa kike wakati akimpeleka kwenye Kituo cha Polisi cha Chanika, baada ya Mkuu wa mkoa...
View ArticleKATIBU MKUU WA CCM KINANA AKUTANA NA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA, LEO
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akikabirishwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, kwa ajili ya mazungumzo na Katibu mkuu...
View ArticleRAIS DK MAGUFULI AZUMGUMZA LIVE KATIKA MKUTANO WA MAKONDA NA WANANCHI UBUNGO,...
RAUS DK MAGUFULINa Bashir Nkoromo, UbungoRAIS Dk. John Magufuli ameeleza kufurahishwa kwake, na utaratibu wa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, kwenda kwa wananchi kusikiliza kero.Amesema, utaratibu huo wa...
View ArticleMAKONDA ATIKISA UBUNGO, AMKARIBISHA RAIS MAGUFULI KUZUNGUMZA LIVE KWA SIMU...
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akikata utepe kuzindua vyumba vya madarasa katika shule ya Sekondari ya Urafiki wilayani Ubungo mkoani humo, leo akiwa katika ziara kukagua utekelezaji wa...
View ArticleMAKONDA AMALIZA ZIARA WILAYA YA UBUNGO, AKUTA UJENZI WA BARABARA HEWA KATA YA...
MAKONDANA BASHIR NKOROMO, UBUNGOWakati imezoeleka kusikia kuwepo kwa wafanyakazi hewa leo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paull Makonda ameshangaa baada ya kubaini kuwepo barabara hewa ambayo ujnenzi...
View ArticleRAIS MAGUFULI AMLILIA RAIS MSTAAFU WA CUBA, FIDEL CASTRO
FIDEL CASTRORais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Raul Castro kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba Mhe. Fidel...
View ArticleMZEE MWINYI KATIKA MAHAFALI YA CHUO KIKUU CHA KAMPALA JIJINI DAR ES SALAAM
Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi akiwatunuku wahitimu wa kozi mbalimbali katika mahafali ya Chuo Kikuu cha Kampala cha jijini Dar es Salaam kwenye sherehe za mahafali....
View ArticleMAKONDA ATINGA UWANJA WA FISI, TANDALE KATIKA KATA YA MANZESE, ASHUHUDIA...
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akibisha hodi kwenye mlango mmoja katika banda linalodaiwa kutumiwa kwa biashara ya ukahaba, katika eneo maarufu kwa jina la Uwanja wa Fisi, lililopo,...
View ArticleRAIS DK MAGUFULI AWALAKI MARAIS KUTOKA ZAMBIA NA CHADI LEO
Rais John Magufuli (kulia), akimlaki mgeni wake, Rais wa Zambia, Edgar Lungu, alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Novemba 27, 2016.(PICHA NA...
View ArticleZIARA YA MAKONDA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KINONDONI YANOGA LEO, AKATIZA...
TUCHAPE KAZI KIONGOZI: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akimwaga kicheko na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya mkoa huo, walipokuwa wkijadili jambo, baada ya kuzungumza na viongozi na...
View ArticleCOMRADE FIDEL CASTRO: KIONGOZI KEKEE WA DUNIA ALIYEACHA URITHI WA VITU VIWILI...
.Ndugu zangu,Dunia itamkumbuka Fidel Castro. Afrika itamkumbuka sana Fidel Castro, lakini, watu wa Cuba watamkumbuka zaidi Fidel Castro.Mwanamapinduzi Fidel Castro ni kiongozi pekee wa dunia ambaye,...
View ArticleMAKADA KUTOKA CHUO CHA VIONGOZI WATENDAJI WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA...
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida (kushoto), akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo ya mafunzo katika Chuo Cha Viongozi waandamizi wa...
View ArticleWANAFUNZI SHULE YA ACADEMIC INTERNATIONAL WASHINDA MTIHANI WA CAMBRIDGE
Wanafunzi wa shule ya Academic International school, Harshvardhan Kabla (kushoto) ambaye ameshika nafasi ya kwanza duniani katika somo la Kompyuta kwa wanafunzi wa “A Level” kwa mitihani ya Cambridge...
View ArticleKINANA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA, LEO JIJINI...
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo ya Mafunzo katika Chuo Cha Viongozi waandamizi cha Chama Cha Kikomunisti cha China,...
View ArticleGPSA YAOKOA ZAIDI YA SH. BILIONI MOJA ZA SERIKALI KUPITIA MPANGO WA MANUNUZI...
Na Mwandishi WetuSerikali kupitia Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), imeokoa sh bilioni 1.3 baada ya wakala hiyo kununua kwa pamoja magari 392 katika mpango wa serikali wa manunuzi ya...
View ArticleRAIS DK MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA LEO
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiweka saini kitabu cha wageni akiwa na Kamishna Mkuu wa Magereza John Casmir Minja kabla ya kuongea na maafisa na askari wa Jeshi la Magereza...
View ArticlePICHA RASMI YA MWENYEKITI WA CCM, DK. JOHN MAGUFULI
Picha rasmi ya Ndugu John Pombe Magufuli, Mwenyekiti wa Chama Cha MapinduziWatumishi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, wakitazama picha rasmi ya Mwenyekiti wa CCM, Rais John...
View ArticleKIWANDA CHA DANGOTE MTWARA, CHASIMAMISHA UZALISHAJI SARUJI
MtwaraUZALISHAJI katika kiwanda cha saruji cha Dangote kilichopo Mtwara umeathirika kwa kiasi kikubwa tokea wiki iliyopita. Tatizo hili la muda limetokana na hitilafu za kiufundi katika mitambo ya...
View Article