Picha rasmi ya Ndugu John Pombe Magufuli, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi
Watumishi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, wakitazama picha rasmi ya Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli, leo. Kutoka kulia ni Msaidizi wa Mkuu wa Utawala Ndugu Mwajuma Nyamka, Mwangalizi wa Ofisi Rose Francis, Katibu wa CCM wilaya ya Liwale, Raphael Maumba na Mlinzi Mkuu wa Chama, Donald Bura.
Watumishi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, wakitazama picha rasmi ya Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli, leo. Kutoka kulia ni Msaidizi wa Mkuu wa Utawala Ndugu Mwajuma Nyamka, Mwangalizi wa Ofisi Rose Francis, Katibu wa CCM wilaya ya Liwale, Raphael Maumba na Mlinzi Mkuu wa Chama, Donald Bura.