MAMA JANETH MAGUFULI AHUDHURIA MSIBA WA SHEMEJIE RAIS MSTAAFU MHE. JAKAYA...
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli (kulia) akilakiwa na Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete alipowasili kwenye msiba wa Marehemu Mariam Ramadhani Saburi, shemeji yake Rais Mstaafu Mhe. Jakaya Mrisho...
View ArticleMKURUGENZI WA MANISPAA YA UBUNGO AFICHUA DAMPO HATARI LA DAWA
MKURUGENZI WA MANISPAA YA UBUNGO MH. JOHN KAYOMBO AKIONYESHA BOKSI LILILOKUWA NA DAWA ZA BINADAMU ZILIZOTUPWA KWENYE BONDE MPIJI MAJOHE, NJE KIDOGO YA JIJI LA DAR ES SALAAM. NA NASSIR BAKARIMkurugenzi...
View ArticleMKUU WA WILAYA YA ILALA SOPHIA MJEMA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA...
 Mkuu wa wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, Sophia Mjema akisaini kitabu cha wageni alipowasili kufanya mkutano wa hadhara wakupambana na kero za wananchi katika Uwanja wa Soko la Kigogo Fresh, Pugu,...
View ArticleMKUU WA WILAYA YA ILALA AENDELEA NA ZIARA YAKE KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA...
 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema (Kushoto) akisisitiza jambo wakati alipokuwa akihoji mambo kadhaa kuelewa maendeleo ya mpango wa kampuni ya PMM kuhusu mradi wa kuhamisha wanannchi kwa fidia, ili...
View ArticleBUNGE LA AFRIKA MASHARIKI LAFANYIKA ZANZIBAR KWA MARA YA KWANZA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, Daniel F.Kigeda alipowasili kufungua Mkutano wa Pili wa...
View ArticleRAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA MABALOZI WILSON MASILINGI, PHILIP MARMO PAMOJA...
 Rais Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Wilson Masilingi aliyekutana naye Ikulu jijini Dar es Salaam, Oktoba 12, 2016 Rais Dk. John Pombe Magufuli akifanya...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA AZINDUA KIWANDA CHA MAZIWA MEATU SIMIYU
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akikata utepe kabla ya kuzindua kiwanda cha kusindika maziwa wilayani Meatu.Waziri wa Nchi...
View ArticleRAIS DK MAGUFULI AOMBOLEZA KIFO CHA DK. MASABURI, ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI
Dar es SalaamRais Dk. John Pombe Magufuli ameitumia salamu za rambirambi familia ya Meya wa zamani wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi, aliyefariki dunia jana, Oktoba 12, 2016, katika...
View ArticleRAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AAGANA NA KIONGOZI MKUU WA MADHEHEBU YA BOHORA...
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Bohora Duniani Mtukufu Dkt. Syedna Mufaddal Saifuddin Ikulu jijini Dar es salaam. Rais wa...
View ArticleKAMANDA CHOUGHULE: VIJANA TUMUENZI BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE KWA...
Sharik ChughuleNa Mwandishi WetuMwenyekiti wa CCM, Shina la Pamba Road, Dar es Saaam, Sharik Choughule, amewaasa vijana kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa kufanya kazi za kujiajiri.Amesema,...
View ArticleMKUU WA MKOA WA MWANZA AZINDUA MELI MPYA NA YA KISASA YA MV NYEHUNGE II
Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella (wa pili kushoto), jana amezindua Meli mpya na ya kisasa (Kivuko) ya MV NYEHUNGE II yenye uwezo wa kubeba abiria 500 pamoja na mizigo inayofanya safari zake kati...
View ArticleWAFANYAKAZI NEW HABARI CORPORATION HATARINI KUWA VIZIWI.
 MKURUGENZI WA MANISPAA YA UBUNGO MH. JOHN KAYOMBO  Na Nassir Bakari  Ziara ya ghafla iliyofanywa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Mh. John Kayombo imefichua mambo mengi likiwemo kelele zisizo za...
View ArticleDONDOO ZA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 17, 2016, TBC1, CHANNEL TEN NA MLIMANI TV
TBC1 CHANNEL TEN MLIMANI TV
View ArticleMTANDAO WA WIZI WA BAJAJI NA BODABODA WANASWA MBEYA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Dhahiri Kidavashali akizungumza na waandishi wa habari jijini Mbeya kuhusiana na tukio la kuunasa mtandao wa wizi wa Bajaji na Pikipiki (BodaBoda) Mkoani...
View Article
More Pages to Explore .....