RAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA CUBA...
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Makamu wa Rais wa Cuba Salvador Valdes Mesa mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano...
View ArticleKINANA AONGOZA KIKAO CHA SEKRETARIETI MJINI DODOMA, LEO
 Mwenyekiti wa Sektreterieti ya CCM, Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiongoza kikao cha Sekretarieti ya Chama, mjiniDodoma leo Wajumbe wakiwa ukumbini kabla ya Katibu Mkuu wa CCM kuwasili...
View ArticleHABARI ZILIZOPO KWENYE GAZETI LA UHURU LEO JUMATANO 5/10/2016
MUANDAAJINASSIR BAKARIPHONE NO:0713 311 300EMAIL:nassiribakari@gmail.com
View ArticleRAIS DK. MAGUFULI AMWANDALIA DHIFA YA TAIFA MGENI WAKE RAIS JOSEPH KABILA WA...
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimlaki mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Joseph Kabila  Ikulu jijini Dar es salaam usiku huu alikomwandalia...
View ArticleTANZANIA YATAKA DUNIA IWEKEZE KWENYE MAENDELEO BADALA YA ULIMBIKIZAJI WA SILAHA
Mwakilishi wa Tazania Kudumu UNTuvaco Manongi akizungumza katika kikao hichoNa Mwandishi  Maalum, New YorkTanzania  imeitaka  Jumuiya ya Kimataifa  kupunguza  matumizi makubwa  katika kujilimbikizia...
View ArticleRAIS DK MAGUFULI AWATAKA MABALOZI WANAIWAKILISHA TANZANIA NJE ZA NJE KUJIKITA...
Rais Dk MagufuliDar es salaamRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 07 Oktoba, 2016 amekutana na Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI ALIPOKUTANA NA MABALOZI WANAOWAKILISHA TANZANIA NCHI ZA NJE
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga alipowasili...
View ArticleNAIBU MAWAZIRI WA OFISI YA WAZIRI MKUU WATEMBELEA BANDA LA MAONESHO LA ELIMU...
Afisa Habari wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Margareth Chambiri (kulia) akiwakaribisha kwenye banda la Maonesho la NEC, Naibu Mawaziri Mhe. Anthony Mavunde...
View ArticleMKURUGENZI WA MANISPAA YA UBUNGO AKAGUA WODI NA KUZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI...
MKURUGENZI WA MANISPAA YA UBUNGO MUHESHIMIWA JOHN L. KAYOMBO Na Nassir BakariMkurugenzi wa Manispaa  ya Ubungo Mh .John L. Kayombo jana alitembelea na kukagua wodi mbalimbali za wagonjwa  na...
View ArticleMSANII CHEGE AADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUTOA MSAADA KWA HOSPITALI...
 Msanii wa Muziki wa kizazi kipya kutoka kundi la Wanaume Family, Chege Chigunda akiweka sawa baadhi ya zawadi alikuwa ameziandaa kwa ajili ya Wagonjwa Temeke Hospitali. Msanii wa Muziki kutoka kundi...
View ArticleSBL KUZINDUA SHINDANO LA KUIBUA VIJAJI VYA MA DJ
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imetangaza kuzindua shindano la DJ bora ambalo linalenga  kuibua na kukuza vipaji katika sekta ya muziki na burudani nchini Tanzania.Akizungumza wakati wa...
View ArticleMKURUGENZI MKUU WA PPF, WILLIAM ERIO AKAGUA ENEO LITAKALOTUMIKA KUJENGA...
 Mkuu wa gereza la Karanga, mjini Moshi, mkoa wa Kilimanjaro, ambako ndiko kilipo kiwanda cha kutengeneza viatu, Kamishna Msaidizi wa Magereza, (ACP), Hassan Bakari Mkwiche, (kushoto), akionyesha kitu,...
View ArticleCHUO CHADAIWA KUTAPELI WANAFUNZI, MKUU WA WILAYA YA KONGWA NDEJEMBI AKIFUNGA
Deogratius NdejembiNa Mwandishi WetuMKUU wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deogratius Ndejembi amekifunga Chuo cha Ualimu cha Nkuruma kilichopo Mkoka na kuagiza uongozi wa chuo kurudisha fedha zote za...
View ArticleWAZEE WASTAAFU WANAWEZA KUWA MABILIONEA NA KUIBADILISHA NCHI
 Kaimu Mkuu wa wilaya ya Lushoto ambaye ni Afisa Tarafa ya Lushoto,Asha Kikoti akifungua mkutano wa uzinduzi wa chama cha wazee wastaafu wilayani Lushoto kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni...
View ArticleTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAPONGEZWA KWA KUTOA ELIMU YA MPIGA KURA WIKI YA...
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Muhagama (katikati) akikata utepe kufungua rasmi maadhimisho ya Wiki ya Vijana leo mkoani Simiyu....
View ArticleRAIS DK MAGUFULI AMTEUA MHANDISI KILABA KUWA MKURUGENZI MKUU MPYA TCRA
Mhandishi James Mtayakingi KilabaDAR ES SALAAMRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli, amemteua Mhandisi James Mitayakingi Kilaba kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Mamlaka ya...
View ArticleMKUTANO WA MWAKA WA BENKI YA DUNIA WASHINGTON DC, MAREKANI
 Wataalamu wa Masuala ya Uchumi na Fedha kutoka Tanzania wanaoshiriki Mkutano wa Mwaka wa Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani-IMF, wakifuatilia mazungumzo ya mkutano kati ya Shirika la Fedha...
View ArticleVIONGOZI WA MFUKO WA KIMATAIFA WA ART OF LIVING WALIPOMKABIDHI MKAZIDHI...
 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Shina la Pamba Road Dar es Salaam, Sharik Choughule, viongozi wa Mfuko wa Kimataifa wa Art of Living, walipokwenda Ofisini kwake...
View Article
More Pages to Explore .....