Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA BUNGENI LEO

 Mbunge wa jimbo la Nkasi Kaskazini (CCM) Mhe. Allya Kessy akizungumza jambo na Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA) Mhe. Halima Mdee nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo. Mwekekezaji na Msambazaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO WA BODI YA USAJILI WA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye ukumbi wa Mikutano wa Diamond Jubilee kwa ajili ya Ufunguzi rasmi wa Mkutano wa Siku mbili wa Mashauriano wa Bodi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AENDELEA NA KUKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI WA JIMBONI KWAKE MTAMA

 Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kijiji cha Kilimanjaro kilichopo kata ya Mtumbya ikiwa muendelezo wa mikutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM-BARA, RAJAB LUHWAVI MKOANI MANYARA, AKUTANA...

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM,-Bara, Rajab Luhwavi akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Manyara, Luccas Ole Mukusu, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa huo, mjini Babati, leo Mei 30, 2016. Kushoto ni...

View Article

RAIS MAGUFULI ATEUA JAJI WA RUFANI, MWENYEKITI WA NHIF NA MWENYEKITI WA DIT

Rais Magufuli Ateua Jaji Wa Rufani, Mwenyekiti NHIF Na Mwenyekiti DIT

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENGE WA UHURU WAMULIKA MAJIMBO MAWILI YA LINDI VIJIJINI

 Mwenge wa Uhuru ukiwasili kwenye uwanja wa mpira wa Mchinga I,wilaya ya Lindi vijijini ambapo ulizindua miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika Majimbo mawili wa wilaya hiyo, jimbo la Mchinga na jimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI PAPUA NEW GUINEA KUMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Belize Bw. Wilfered Eliringron wakati  Makamu wa Rais alipowasili katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWASCO YABAINI WIZI WA MAJI MSIMBAZI BONDENI

Maelezo ya picha kushoto:  Fundi kutoka Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es Salaam (DAWASCO) akiondoa Mpira wa Maji uliokuwa umeunganishwa kwenye kisima kinyume na utaratibu ambapo walikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AMJULIA HALI BABA WA DIWANI WA CHADEMA

 Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akisalimiana na  Diwani wa kata ya Mtama Bw. Hassan Omary Nyimbile (CHASEMA) mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM YAIVA, LUHWAVI AKAGUA JENGO LA UKUMBI...

Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwavi (wapili kushoto) akikagua jengo la Mikutano la CCM, Dodoma Convetion Centre leo ikiwa ni maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika Juni au...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AWASHA UMEME KATA YA NACHUNYU

 Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Nachunyu kwenye mkutano maalum wa kuwasha umeme kijijini hapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA WA KUWEZESHA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amabaye pia ni Mzungumzaji Mkuu wa Mkutano wa kuwezesha Wanawake Kiuchumi katika mkutano wa nane kwa Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribean na pacific ACP...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU MWENYEKITI WA CCM (BARA) AKUTANA NA WAJUMBE WA TIMU YA WAANGALIZI WA...

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe. Philip Mangula akizungumza na Timu ya Wajumbe  Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya waliomtembelea leo ofisini kwake Lumumba jijini Dar es salaam.Waangalizi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KUFUATIA KIFO CHA RAIS WA SAHARA MAGHARIBI

 Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo katika ofisi ya Ubalozi wa nchi ya Sahara Magharibi nchini,kufuatia kifo cha Rais Abdel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI PAPUA NEW...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wazee na Watanzania wanaoishi Nchini Papua New Guinea katika ukumbi wa Airways Hotel mjini Guinea Baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CCM, RAIS MSTAAFU DK. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA BALOZI CHARLES...

Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimkaribisha Ofisini kwake,  Balozi wa zamani wa Marekani hapa nchini Tanzania, Balozi Charles Stith, alipomtembelea kwa ajili ya mazungumzo, Ofisi Ndogo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSEMAJI WA CCM, OLE SENDEKA AFANYA ZIARA KUKAGUA NA KUIMARISHA UHAI WA CHAMA...

Kijana wa Umoja wa Vijana wa CCM, Kibibi Duka akimvalisha skafu Msemaji wa CCM, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Christopher Ole Sendeka, alipowasili Ofisi ya CCM y Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi akiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OLE SENDEKA ATIKISA KILWA MASOKO, MKOANI LINDI, MAMIAWAHUDHURIA MKUTANO WAKE...

 Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiingia kwenye mkutano wa hadhara uliofayika leo jioni katika Viwanja vya Mkapa Garden, Kilwa Masoko mkoani Lindi . Pamoja naye ni Mwenyekiti wa CCM mkoa huo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WATAKIWA KWENDA NA WAKATI KWA KUTUMIA ZANA NA TEKNOLOJIA ZA KISASA-UN

Na Mwandishi Maalum, New YorkViongozi Wakuu  wa Polisi   kutoka  nchi  mia moja  ambazo  zinachangia  polisi wao  kuhudumu katika ulinzi  wa amani  na usalama kupitia Umoja wa Mataifa,  wamekamilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC KINONDONI AWASHUKIA WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA MWENDOKASI

49 watiwa mbaroni5 wapata dhamana1 apanda kortini 43 kulala weekend mahabusuMkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Ally Hapi leo amekutana na kuzungumza na waandishi wa habari kuhusiana na tatizo la uhujumu...

View Article
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>