KUTOKA BUNGENI LEO
Mbunge wa jimbo la Nkasi Kaskazini (CCM) Mhe. Allya Kessy akizungumza jambo na Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA) Mhe. Halima Mdee nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo. Mwekekezaji na Msambazaji wa...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO WA BODI YA USAJILI WA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye ukumbi wa Mikutano wa Diamond Jubilee kwa ajili ya Ufunguzi rasmi wa Mkutano wa Siku mbili wa Mashauriano wa Bodi ya...
View ArticleNAPE AENDELEA NA KUKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI WA JIMBONI KWAKE MTAMA
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kijiji cha Kilimanjaro kilichopo kata ya Mtumbya ikiwa muendelezo wa mikutano...
View ArticleZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM-BARA, RAJAB LUHWAVI MKOANI MANYARA, AKUTANA...
Naibu Katibu Mkuu wa CCM,-Bara, Rajab Luhwavi akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Manyara, Luccas Ole Mukusu, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa huo, mjini Babati, leo Mei 30, 2016. Kushoto ni...
View ArticleRAIS MAGUFULI ATEUA JAJI WA RUFANI, MWENYEKITI WA NHIF NA MWENYEKITI WA DIT
Rais Magufuli Ateua Jaji Wa Rufani, Mwenyekiti NHIF Na Mwenyekiti DIT
View ArticleMWENGE WA UHURU WAMULIKA MAJIMBO MAWILI YA LINDI VIJIJINI
Mwenge wa Uhuru ukiwasili kwenye uwanja wa mpira wa Mchinga I,wilaya ya Lindi vijijini ambapo ulizindua miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika Majimbo mawili wa wilaya hiyo, jimbo la Mchinga na jimbo...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI PAPUA NEW GUINEA KUMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Belize Bw. Wilfered Eliringron wakati Makamu wa Rais alipowasili katika...
View ArticleDAWASCO YABAINI WIZI WA MAJI MSIMBAZI BONDENI
Maelezo ya picha kushoto: Fundi kutoka Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es Salaam (DAWASCO) akiondoa Mpira wa Maji uliokuwa umeunganishwa kwenye kisima kinyume na utaratibu ambapo walikuwa...
View ArticleNAPE AMJULIA HALI BABA WA DIWANI WA CHADEMA
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akisalimiana na Diwani wa kata ya Mtama Bw. Hassan Omary Nyimbile (CHASEMA) mara baada ya...
View ArticleMAANDALIZI MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM YAIVA, LUHWAVI AKAGUA JENGO LA UKUMBI...
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwavi (wapili kushoto) akikagua jengo la Mikutano la CCM, Dodoma Convetion Centre leo ikiwa ni maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika Juni au...
View ArticleNAPE AWASHA UMEME KATA YA NACHUNYU
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Nachunyu kwenye mkutano maalum wa kuwasha umeme kijijini hapo...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA WA KUWEZESHA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amabaye pia ni Mzungumzaji Mkuu wa Mkutano wa kuwezesha Wanawake Kiuchumi katika mkutano wa nane kwa Wakuu wa Nchi za Afrika, Caribean na pacific ACP...
View ArticleMAKAMU MWENYEKITI WA CCM (BARA) AKUTANA NA WAJUMBE WA TIMU YA WAANGALIZI WA...
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe. Philip Mangula akizungumza na Timu ya Wajumbe Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya waliomtembelea leo ofisini kwake Lumumba jijini Dar es salaam.Waangalizi wa...
View ArticleJK ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KUFUATIA KIFO CHA RAIS WA SAHARA MAGHARIBI
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo katika ofisi ya Ubalozi wa nchi ya Sahara Magharibi nchini,kufuatia kifo cha Rais Abdel...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AZUNGUMZA NA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI PAPUA NEW...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wazee na Watanzania wanaoishi Nchini Papua New Guinea katika ukumbi wa Airways Hotel mjini Guinea Baada ya...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM, RAIS MSTAAFU DK. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA BALOZI CHARLES...
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimkaribisha Ofisini kwake, Balozi wa zamani wa Marekani hapa nchini Tanzania, Balozi Charles Stith, alipomtembelea kwa ajili ya mazungumzo, Ofisi Ndogo...
View ArticleMSEMAJI WA CCM, OLE SENDEKA AFANYA ZIARA KUKAGUA NA KUIMARISHA UHAI WA CHAMA...
Kijana wa Umoja wa Vijana wa CCM, Kibibi Duka akimvalisha skafu Msemaji wa CCM, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Christopher Ole Sendeka, alipowasili Ofisi ya CCM y Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi akiwa...
View ArticleOLE SENDEKA ATIKISA KILWA MASOKO, MKOANI LINDI, MAMIAWAHUDHURIA MKUTANO WAKE...
Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiingia kwenye mkutano wa hadhara uliofayika leo jioni katika Viwanja vya Mkapa Garden, Kilwa Masoko mkoani Lindi . Pamoja naye ni Mwenyekiti wa CCM mkoa huo,...
View ArticlePOLISI WATAKIWA KWENDA NA WAKATI KWA KUTUMIA ZANA NA TEKNOLOJIA ZA KISASA-UN
Na Mwandishi Maalum, New YorkViongozi Wakuu wa Polisi kutoka nchi mia moja ambazo zinachangia polisi wao kuhudumu katika ulinzi wa amani na usalama kupitia Umoja wa Mataifa, wamekamilisha...
View ArticleDC KINONDONI AWASHUKIA WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA MWENDOKASI
49 watiwa mbaroni5 wapata dhamana1 apanda kortini 43 kulala weekend mahabusuMkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Ally Hapi leo amekutana na kuzungumza na waandishi wa habari kuhusiana na tatizo la uhujumu...
View Article