KIKAO CHA KAMATI KUU MJINI DODOMA
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete(kulia) akifuatana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli kabla ya kuingia...
View ArticleMBUNGE COSATO CHUMI ASHINDA KESI YAKE YA UCHAGUZI
Mbunge wa jimbo la Mafinga mkoani Iringa Bw Cosato Chumi (kulia) akimpongeza wakili wake Asheri Utamwa baada ya mahakama kuu kanda ya Iringa kutoa hukumu iliyompa ushindi mbunge Chumi kufuatia kesi...
View ArticleKUTANA NA ‘GREEN VOICES’, SAUTI ZA AKINAMAMA WAPAMBANAO NA MABADILIKO YA...
Akinamama wanaoshiriki katika mradi wa kupaza sauti za wanawake wanaopambana na mabdiliko ya tabianchi – Green Vocies katika picha ya pamoja na viongozi wa Foundation For Women of Africa na wafadhili...
View ArticleHOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, RAIS WA JAMHURI YA...
HOTUBA YA RAIS SIKU YA MEI MOSI MJINI DODOMA
View ArticleLAPF YATOA MADAWATI 124 KWA MANISPAA YA KINONDONI
Manispaa ya Kinondoni imepokea madawati 124 kutoka kwa LAPF kwa ajili ya kutatua kero ya upungufu wa madawati wilaya ya Kinondoni,Mkurugenzi wa mawasiliano James Mlowe amekabidhi madawati kwa Mkuu wa...
View ArticleTANZANIA: MKUTANO KUHUSU MASUALA YA KIBINADAMU UWE WA VITENDO
Na Mwandishi MaalumWakati Jumuiya ya Kimataifa ikielekea kukamilisha maandalizi ya Mkutano Maalum wa Kimataifa kuhusu Masuala ya Kibinadamu, ( World Humanitarian Summit) Jamhuri ya Muungano wa...
View ArticleRAIS MAGUFULI AMTEUA DKT. ASHA- ROSE MIGIRO KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Asha-Rose Migiro kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza.Dkt. Asha-Rose Migiro anakwenda kuchukua nafasi iliyoachwa wazi...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI...
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiagana na Naibu Mkurugenzi Kanda ya Afrika wa Gates Foundation ya Marekani, Haddis Tadesse, baada ya mazungumzo yao, ofisini kwake,...
View ArticleRITA YAANZA KUKUSANYA ADA ZA USAJILI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI
Na Eleuteri Mangi, MAELEZO, DodomaSerikali inaendelea kuimarisha ukusanyaji wa maduhuli ili kuchangia upatikanaji wa fedha za kusaidia kuimarisha na kuendeleza miradi ya maendeleo nchini. Wakala wa...
View ArticleCCM: HATUNA MGOGORO WA JK KUKABIDHI KIJITI CHA UENYEKITI WA RAIS DK. JOHN...
NA BASHIR NKOROMOCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna mgogoro uiopo wa kukabidhiana kijiti cha Uenyekiti ndani ya chama hicho na kuonya vyombo vya habari kuacha kupotosha umma."Napenda...
View ArticleMAKAMU WA RAIS ASWALI SWALA YA IJUMAA MJINI DODOMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Waumini wa Dini ya Kiislam baada ya Sala Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa GADAFFI Mkoani Dodoma Leo Mei 6,2016....
View ArticleMAKATIBU WAKUU WA VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA WAKUTANA NCHINI ZIMBABWE
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahaman Kinana akitoa mada kwenye Kongamano la siku Nne la Makatibu Wakuu wa vilivyokuwa Vyama vya Ukombozi Kusini mwa Afrika. Kongamano hilo linafanyika Victoria Falls...
View ArticleTUZO ZA WANAFUNZI BORA AFRIKA MASHARIKI "ALL-STARS STUDENTS AWARDS"ZAANZISHWA
Aaron Ally(Dj Aaron Tanzania)Mratibu wa‘All-stars Students Awards Akiongea Kwenye Kipindi cha Morning Trumpet kuelezea tuzo hizo.Dj wa zamani wa Clouds FM, Aaron, yeye na Team yake(Ms Chiku Lweno,...
View ArticleRAIS MAGUFULI ATUNUKU KAMISHENI MAAFISA WAPYA 586 WA JWTZ,ATANGAZA KUKAMATWA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumamosi tarehe 07 Mei, 2016 amewatunuku Kamisheni Maafisa wapya 586 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania...
View ArticleNAIBU SPIKA ACKSON AFUNGUA SEMINA KWA WABUNGE YA UELEWA WA HAKI ZA WATU WENYE...
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu), Dk Abdallah Possi (kulia), akiwasilisha mada katika semina ya Wabunge kukuza na kuimarisha usawa wa watu wenye ulemavu nchini, kwenye Ukumbi...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA KUU LA UWT TAIFA DODOMA LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa Baraza Kuu la UWT Taifa wenye lengo la kukumbushana katika...
View ArticleMTANGAZAJI WA CNN RICHARD QUEST AFURAHISHWA NA VIVUTIO VYA UTALII TANZANIA...
Kwa mara nyingine tena Tanzania inashiriki katika onesho la kimataifa la Utalii la INDABA yanayofanyika huko Afrika Kusini maonesho hayo yalianza jana tarehe 7 Mei na yanatarajiwa kumalizika tarehe 9...
View Article