SUNDERLAND YA UINGEREZA KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA KWAO
Mkurugenzi wa Biashara wa Timu ya Sunderland ya nchini Uingereza Gary Hutchinson(kulia) akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam juu ya timu hiyo kuanzisha ushirikiano na Wizara ya...
View ArticleKINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Mzee wa kata ya Didia . Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kwenye ujenzi wa Birika la kunyweshea mifugo katika kata...
View ArticleKATIBU MKUU WA CCM ABULRAHMAN KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE SHINYANGA...
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi Siasa na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye wakishiriki katika ujenzi wa Birika la Kunyweshea mifugo...
View ArticleKISHAPU WASEMA WAO NI CCM TU INATOSHA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wananchi waliofika kumpokea kwenye wilaya ya Kishapu katika eneo la Maganzo ambapo Katibu Mkuu alikuwa na ziara katika wilaya ya Kishapu. Katibu...
View ArticleZIARA YA KINANA YALETA NEEMA YA MAJI KWA WAKAZI WA WILAYA YA KISHAPU
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasaidia kuwatwisha ndoo ya maji wakina mama wa kijiji cha Mwigumbi wilayani Kishapu Mkoa wa Shinyanga baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji...
View ArticleKINANA : NEEMA IMEWAJIA WAKAZI WA SHINYANGA
Sehemu ya msafara wa Mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ukiingia Shinyanga Mjini. Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi waliofurika kwenye...
View ArticleKINANA AITEKA SHINYANGA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa mradi wa vibanda vya biashara katika uwanja wa Kambarage huku akishuhudiwa na Balozi wa China nchini Dr.Lu...
View ArticleWASHENZI WAZIDI KUTIA HOFU ZANZIBAR, WAMMWAGIA TINDIKALI PADRI AKITOKA KWENYE...
Padri Anselmo Mwang'amba akiwa kitandani kwenye wodi ya Mapinduzi Mpya, hospitali ya Mnazi mmoja mjini Zanzibar, Padri Mwang'amba alimwagiwa tindi kali, Padri Anselmo Mwang'amba wa Kanisa Katoliki...
View ArticleKINANA AWATEMBELEA WALIOUNGULIWA NA NYUMBA SHINYANGA MJINI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa pole Nassoro Rashid Tinde mmiliki wa duka la vipuri vya magari Tinde Store lililotekea kwa moto jana usiku,Shinyanga. Katibu Mokuu wa CCM Ndugu...
View ArticleKINANA AANZA ZIARA WILAYA YA MASWA MKOA WA SIMIYU KWA KUTEMBELEA MASHINA
Wakazi wa kijiji cha Wigelekelo kata ya Masela wakimpokea Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana alipowasili kwenye mkoa huo ikiwa sehemu ya ziara yake inayoanza leo wilaya ya Maswa mkoani...
View ArticleKAMANDA WA POLISI MSTAAFU MKOA WA TANGA AFARIKI DUNIA
TANGA, TanzaniaKAMANDA wa Polisi mstaafu wa Mkoa wa Tanga, Feith Amour (61) amefariki dunia mjini hapa baada ya kuugua maradhi ya shinikizo la damu. Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tanga, Juma...
View ArticleKINANA: MRADI WA UMEME VIJIJINI KUINUFAISHA MASWA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongea na kijana Ally Emmanuel mkazi wa Maswa mkoani Simiyu ambaye Katibu Mkuu ameahidi kumsomesha kwenye chuo cha ufundi Veta. Katibu Mkuu Ndugu...
View ArticleMTAYARISHAJI MKUU WA THE NKOROMO BLOG ANA KWA ANA NA PROF LIPUMBA, MBOWE NA...
"KAMA NI HIVYO, MUUNGANO WENU HUU WA VYAMA KATIKA HILI HAUTAKUWA PIA NA WALAKINI?" Mtayarishaji Mkuu na Mmiliki wa theNkoromo Blog, Bashir Nkoromo (kulia) akiwauliza viongozi wa vyama vitatu vya...
View ArticleKINANA : WATENDAJI FIKISHENI TAARIFA KWA WAKATI
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimuinua mtoto juu ambaye alikuja kwenye mapokezi wakati wakiwasili wilaya ya Meatu. Katibu Mkuu wa CCM Taifa ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki zoezi la...
View ArticleMWIGULU AZINDUA TAWI CALIFORNIA MAREKANI
Mhe. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi la CCM Oakland California kulikofanyika Jumamosi Sept 14, 2013 na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wakereketwa wa chama cha...
View ArticleKINANA: MAWAZIRI SHUGHULIKIENI KERO ZA WANANCHI MOJA KWA MOJA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wakazi wa kata ya Mwandoya ,kijiji cha Mandoya tarafa ya Kisesa ambapo Katibu Mkuu alipata maelezo ya utekelezaji wa ilani ya CCM. Katibu...
View ArticleCHADEMA YAWEWESEKA
CHADEMA WAWEWESEKA! ~.Ni baada ya Kinana kupeleka neema ya wakulima wa pamba(soko na bei).~. Ujenzi wa viwanda Shinyanga wawapa homa~. Ajira kwa vijana kuwakosesha Chadema waandamanaji.~. Waishia...
View ArticleTCRA YAWAPIGA SEMINA WAENDESHAJI BLOG NA MITANDAO MINGINE YA KIJAMII...
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Profesa John Nkoma, akifungua semina ya siku mbili ya kuwaongezea umahiri Waendeshaji wa Blogu na mitandao mingine ya Kijamii, leo Makao Makuu ya...
View ArticleKINANA AKOMAA NA MAWAZIRI
Sasa kuongozana na Mawaziri mguu kwa mguuAsema kazi yake ya kuijenga chama inahitaji watu makini kama mtu hawezi kasi yake awapishe. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikaribishwa kwa kahawa...
View Article