SEMINA YA BLOGGERS NA MITANADAO MINGINE YA JAMII WAMALIZA SEMINA YAO LEO...
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma, akifunga semina ya Wamiliki wa Blog na Wasimamizi wa Mitandao ya Jamii, baada ya semina hiyo kumalizika leo, Makao Makuu ya...
View ArticleNAPE AWACHONGANISHA CHADEMA NA WAKULIMA WA PAMBA
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa wilaya ya Bariadi kwenye Viwanja vya Sabasaba.~. Adai wamechukizwa na viwanda vya nguo,nyuzi ,nyama na ajira.~. Asema misaada ya China...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA YAKE BARIADI
Amaliza ziara yake wilaya ya Bariadi kwa mafanikio,leo kuhuitimisha ziara yake wilaya ya Busega .ASEMA WAPINZANI WAJIANDAE KWA MSIBA 2015ADAI HAWACHAGII CHOCHOTE KATIKA MAENDELEOCCM HAITOKUBALI...
View ArticleDK. MNDOLWA: MIKAKATI INASUKWA KUBORESHA ZAIDI SHULE ZA JUMUIA YA WAZAZI YA CCM
TANGA, TanzaniaMWENYEKITI wa Jumuia ya wazazi mkoani Tanga, Dk. Edmund Mndolwa (pichani), amesema kuna mikakati ya haraka inayofanyika kuboresha shule za Jumuia hiyo ili ziweze kutoa elimu...
View ArticleKINANA ATAKA WALIMU WATATULIWE KERO ZAO HARAKA
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akifurahia waimbaji wa kwaya mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Nyashimo Wilayani Busega katika mkoa wa Simiyu, Ndugu Abdulrahman...
View ArticleBAADHI YA MAGAZETI LEO SEPTEMBA 20, 2013
©2013 theNkoromo Blogwww.bashir-nkoromo.blogspot.com
View ArticleHAKIMU ACHOMWA KISU NA MLALAMIKAJI MAHAKAMANI, SHINYANGA
Hakim Nyangoha akipataiwa matibabu hospitaliniSHINYANGA, TanzaniaHAKIMU wa mahakama ya mwanzo katika manispaa ya Shinyanga Satto Nyangoha amejeruhiwa kwa kuchomwa kisu na mlalamikaji wa kesi ya wizi wa...
View ArticleKINANA: SITANII KATIKA SUALA LA WALIMU
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa kwa gwaride nadhifu la chipukizi wa mkoani Mara.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Ndgugu Stephen Wassira mara...
View ArticleRAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA UONGOZI WA CCM DMV JIJINI WASHINGTON DC SEPTEMBA 19.
Viongozi CCM DMV wakijadiliana jambo kabla ya kikao cha Faragha na Mhe. Rais Kikwete leo Sept 19,2013 jijini Washington DC, Marekani. Picha na SwahilitvPicha na Swahilitv Mh. Rais Jakaya Mrisho...
View ArticleRAIS KIKWETE ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU CHUO KIKUU CHA GUELPH JIMBONI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Dkt. Shukuru Kawambwa na Waziri wa Mambo ya Nje na...
View ArticleDIWANI MALEMBEKA AIPIGA JEKI TIMU YA SOKA YA UHURU FM
Diwani wa Kata ya Msongola, Ukonga, Dar es Salaam, Angel Malembeka (kulia) ameipiga tafu timu ya soka ya Uhuru FM, kwa kuipatia jozi mbili za jezi na mipira miwili ikiwa ni sehemu ya kuimarisha...
View ArticleCCM NA CPC WAPEANA SOMO DAR
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Ramadhani Madabida akifungua semina ya siku 2 iliyoshirikisha Chama Cha Mapinduzi na Chama rafiki cha Kikomunisti cha China CPC,katika hoteli ya Courtyard...
View ArticleWATANZANIA UINGEREZA WALIVYOMUAGA KWA WINGI RAIS JAKAYA KIKWETE
Rais Jakaya Kikwete akiongea na baadhi ya watanzania waliojitokeza kumuaga jana jioni katika hotel ya Churchill London. Rais Kikwete alikuwa anarejea nyumbani Tanzania mara baada ya kumaliza mkutano...
View ArticleNAPE ATIMIZA AHADI NYAMONGO
AFANYA KIKAO NA WANANCHIAHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akifafanua jambo wakati wa kikao maalum cha ndani na wakazi wa eneo la Nyamongo, ambapo wananchi wa eneo...
View ArticleDK. REHEMA NCHIMBI: WENYEVITI CCM FANYENI KAZI YA KUPANGA SAFU ZA...
*ASEMA CHADEMA BADO WACHANGA KUIIWA WATANI WA JADI WA CCM Kada mahiri wa CCM, Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi, akisisitiza jambo, alipozungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kikazi ya...
View ArticleWENYEVITI WA CCM KATA ZOTE WILAYANI KINONDONI, DAR ES SALAAM, WATEMBELEA...
Meneja wa Shamba la zao la zabibu lililopo Chnangali, Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Ronaldaka akisoma taarifa ya shamba hilo, Washiriki wa semina ya Wenyeviti wa CCM kutoka kata za wilaya ya...
View ArticleWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA BUNGENI LEO
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mgaya, Bungeni Mjini Dodoma, Novemba 6, 2013.
View ArticlePRESIDENT KIKWETE ATTENDS AU SUMMIT IN PRETORIA
President Jakaya Mrisho Kikwete and President Yoweri Kaguta Museveni join other African leaders on Tuesday night at the Oliver Tambo Centre in Pretoria, South Africa, to discuss the formation of a...
View Article