CCM YATINGISHA KIBANDA MAITI ZANZIBAR
Maelfu ya WanaCCM na Wapenda amani wakimuunga mkono Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCMZanzibar Dk.Shein akizungumza na wananchi na wanaCCM katika...
View ArticleMAGUFULI AFUNGA KAZI SUMBAWANGA MJINI
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Nelson Mandela ,Sumbawanga mjini tayari kuwahutubia wakazi wa mji huo. Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John...
View ArticleMGOMBEA MWENZA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM, MAMA SAMIA AITEKA MOSHI MJINI,...
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wake wa kampeni aliofanya kwenye Viwanja vya CCM Majengo, jimbo la Moshi mjini mkoani...
View ArticleMAGUFULI ASIMAMIA SHOW PEKE YAKE TUNDUMA
Wananchi wamkubali kwa uwezo wake wa kujieleza, sera ,ilani na mipango ya kuleta maendeleo huku akiwa yeye mweyewe bila kuwa na msururu wa watu wa kutanguliza kuhutubia. Ahutubia mikutano mikubwa...
View ArticleMAMA SAMIA ANG'ARA KILIMANJARO NA ARUSHA LEO, MIKUTANO YAKE YAFURIKA UMATI WA...
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM, uliofanyika leo katika stendi ya daladala maarufu kwa jina la...
View ArticleMAMA SAMIA SULUHU KATIKA UBORA WAKE KATIKA MAJIMBO YA MONDULI NA LONGIDO...
Wananchi wakiwa wamejawa hamasa kwa nyimbo na nderemo wakati Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassam, alipowasili kwenye Uwanja wa mkutano wa kampeni za CCM leo, katika...
View Article"TATIZO KUBWA LA MAGUFULI NI KUTENDA ANACHO AHIDI"
Awaambia tatizo kubwa utenda anachoahidiAnachukia sana ufisadiAsema Baraza lake la Mawaziri litafanya kazi usiku na mchana Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa...
View ArticleMAGUFULI AUNGURUMA MBEYA MJINI
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa mikutano wa Rwanda Nzovwe, Mbeya.Wananchi wa Mbeya mjini wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa...
View ArticleMAMA SALMA ARINDIMA LEO MAJIMBO YA MBULU NA BABATI
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa mikutano wa Mbulu mjini mkoani Manyara....
View ArticleMAGUFULI AMJULIA HALI NA KUMPA POLE MEYA WA JIJI LA MBEYA MH ATHANAS KAPINGA...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Ndugu John Pombe Magufuli akimjulia hali na kumpa pole aliyekuwa Meya wa jiji la Mbeya Mh.Athanas Kapunga aliyepata...
View ArticleDK, FAUSTINE NDUGULILE AKIHUTUBIA MKUTANO VIJIBWENI
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) DK.Faustine Ndugulile akihutubi Mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Mzim Kata Vijibweni Kigamboni Dar es Sallam (PICHA...
View ArticleMAGUFULI AINGIA MKOA WA NJOMBE LEO NA KUAHIDI MAENDELEO MKOANI HUMO
Mgombea wa Urais kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa kijiji cha Kikondo kata ya Ilungu Mbeya vijijini akiwa njiani kuelekea mkoa wa Njombe . Mgombea wa Urais...
View ArticleMAMA SAMIA ATIGA MKOANI SINGIDA, WANANCHI WAENDELEA KUFURIKA KWENYE MIKUTANO...
Umati wa wananchi ukimsikiliza Mgombea Mwenza kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu alipohutubia mkutano wa kampeni katika eneo la Msange, Singida Kaskazini, leo. Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya...
View ArticleMAGUFULI KUIPA KIPAUMBELE LUDEWA KWENYE MIUNDO MBINU
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Fisi kata ya Madaba ambapo alihutubia wakazi wa Madaba kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni na kuahidi kuwa serikali...
View Article