UN YATAKA SERIKALI KUFANYIA KAZI MIANYA INAYOTISHIA HAKI ZA BINADAMU
Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bibi Mary Massay akitambulisha meza kuu wakati wa maadhimisho ya Siku ya haki za binadamu yaliyoenda sambamba na mkutano wa kujadili...
View ArticleKATIBU MKUU UVCCM AANZA ZIARA YA SIKU 14 KANDA YA ZIWA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKatibu Mkuu wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Ndugu Sixtus Mapunda anategemea kufanya ziara ya siku...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUTUBIA WAWAKILISHI WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa Mazingira wa Dunia (Cop20) (hawapo pichani) alipokuwa...
View ArticleANGELA AKILIMALI NA WENZAKE WALA NONDO YA MAWASILIANO YA UMMA
Kaimu Mgukurugeni wa Uhuru FM, Angela Akilimali (katikati) akiwa na wahitimu wenzake wa Shahada ya Mawasiliano ya uma ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika mahafali yaliyofanyika hivi katibuni...
View ArticleMWGULU AWASAFISHA WAPINZANI KARATU
Mwigulu Nchemba akiwaisli viwanja vya Mkutano Karatu Mjini.Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa karatu Mjini mapema hii leo asubuhi majira ya saa tatu wakati...
View ArticleNAPE : CCM INAMTAJI WA KUTOSHA KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
View ArticleTBL YATOA SH. MIL 18 ZA KUSAIDIA UKARABATI WA MIUNDOMBINU ILIYOHARIBIKA SOKO...
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia) akimkabidhi hundi yenye thamani ya sh. mil. 18.9, kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Gotam General Traders, Winner...
View ArticleTASWIRA,MWIGULU NCHEMBA ALIPOWASILI MEATU
Comrade Mwigulu Nchemba akiwaisili Meatu Mjini mapema kuzungumza na Wananchi.Hisia za Wananchi wa Meatu Mjini kwa Mwigulu NchembaKueleka Uchaguzi wa serikali za Mitaa Meatu wanasema hivi.....!!!Naibu...
View ArticleBW. GEORGE SHINGA MTAMBALIKE KUUFANYA MTAA WA MOGO KIPAWA KUWA WA KISASA
Mgombea wa Uenyekiti wa Mtaa wa Mogo kupitia Chama cha Mapinduzi Bw. George Shinga Mtambalikeakizungumza na waandishi wa habari huko Ukonga majumba siti wakati akizungumzia juu ya kameni za uchaguzi...
View ArticleMANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNET KWA WiFi KWENYE...
Na Bashir Nkoromo, KinondoniManispaa ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imedhihirisha jitihada zake za kwenda na wakati katika huduma zake, baada ya kuamua kutoa huduma ya bure ya mtandao wa intrenet...
View ArticleKATIBU MKUU WA UVCCM NDUGU SIXTUS MAPUNDA AWALIPUA CHADEMA, ANYAKA TAARIFA ZA...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (M-NEC) Ndugu Sixtus Mapunda amesema kuwa Chadema wamepanga njama haramu za kuvuruga uchaguzi wa...
View ArticleDIWANI MATHIUS WA KATA YA MALANGARINI AFUNGA KAMPENI ZA UCHAGUZI KATANI KWAKE
Diwani wa kata ya Mlangarini, Mathius Manga akizungumza na wananchi wa kata hiyo katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa CCM kwa ajili ya kuwachagua viongozi wa serikali za...
View ArticleWAGOMBEA CHADEMA WATIMKIA CCM
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mufindi, Miraji Mtaturu akionyesha kadi nne ya mgombea uenyekiti wa Kitongoji, mgombea uenyekiti wa Kijiji sambamba na Wajumbe wawili kupitia tiketi ya...
View ArticleWABUNGE KUTOKA IRELAND WAKUTANA NA DK.SHEIN ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Ireland Nchini Tanzania Bibi Fionuala Gilsenan akiongoza ujumbe wa Wabunge wa Ireland walipofika...
View ArticleGWIJI WA MASUALA YA MTANGAMANO JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI AFARIKI DUNIA
Balozi Ndayiziga katika mojawapo ya warsha ya EAC hivi karibuni. Kulia ni mtaalamu wa habari na mratibu wa mafunzo ya wandishi wa habari EAC, Bw. Sukhdev Chhatbar.Mkufunzi katika Mafunzo hayo, Balozi...
View ArticleWATANZANIA WASHEREHEKEA MIAKA 53 YA UHURU OAKLAND CALIFORNIA
Balozi wa heshima Mhe. Ahmed Issa (watatu toka kushoto) akibadilishana mawili matatu na mgeni rasmi wa sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara Mhe. Dr. Saidi Mohamed Mtanda (wapili toka kushoto),...
View ArticleBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO WA HIFADHI NA KUELEZEA MAONO YA TAIFA
Wageni mbalimbali wanaoshiriki mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha ulioanza leo katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha...
View ArticleCCM YAPETA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA MBEYA
Na Emanuel Madafa,mbeyaChama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mbeya kikiendelea kupata ushindi katika matokeo ya awali katika uchaguzi wa serikali za mitaa huku vyama vya upinzani vikifuata kwa mbali Kwa...
View ArticleNAPE: WALIOVURUNDA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAADHIBIWE, UKAWA BADO NI...
NA BASHIR NKOROMOCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka watendaji wote waliosababisha kuharibika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika baadhi ya maeneo nchini wachukuliwe hatua kali.Kimesema, watendaji...
View ArticleWAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA
Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCMWataka wafugaji wamilikishwe ardhiWaitaka serikali kuboresha maisha ya wafugajiWataka wazawa wapewe kipaumbele zaidiWatoa salaam kwa Rais...
View Article
More Pages to Explore .....