UJUMBE WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA NHC WALIPOTEMBELEA HALMASHAURI YA...
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw.Nehemia Kyando Mchechu wa kwanza kulia mbele akitembelea eneo la ujenzi wa nyumba za gharama nafuu zitakazojengwa katika Halmashauri ya Busekelo Mkoani Mbeya alipotembelea...
View ArticleKIGWANGALA SASA ATAKA URAIS WA TANZANIA, ATANGAZA NIA
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya serikali za Mitaa na Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangallah akitangaza nia yake ya kugombea urais waJamhuri ya Muungano ya Tanzania wakati...
View ArticleTIMBWILI LA DIAMOND UJERUMANI
FUJO ZA 30.8.2014 KATIKA SHOW YA DIAMOND HASARA EURO 300,000PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPOLISI WASEMA MPAKA KIELEWEKE, M-NIGERIA ROHO JUUStuttgart,Ujerumani,Anayejiita...
View ArticleSARAFU YA SHILINGI 500 KUANZA KUTUMIKA MWEZI UJAO
Na Frank Mvungi MAELEZOBenki Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500 itakayoanza kutumika Oktoba 2014 itakayokuwa mbadala wa Noti ya shilingi 500 inayoonekana kuchakaa haraka.Hayo...
View ArticleNAPE: TUNAIMANI NA MATAWI YA CCM NJE YA NCHI
Katibu wa NEC itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na viongozi wa mashina ya CCM Uingereza ambapo aliwaambia matawi ya CCM nje ya nchi yawe mawakala wa kuleta mabadiliko ndani ya chama...
View ArticleNEW UN RESIDENT COORDINATOR AND UNDP REPRESENTATIVE PRESENTS CREDENTIALS TO...
The UN Resident Coordinator and UNDP Representative, Mr. Alvaro Rodriguez has officially presented his credentials to the Government. The Minister of Foreign Affairs and International Cooperation Mr....
View ArticleNAPE AKUTANA NA BALOZI KALLAGHE MJINI LONDON
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mheshimiwa Peter Kallaghe akizungumza na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza mjini London ambapo...
View ArticleTANCIS KUPUNGUZA MUDA NA KUIONGEZEA MAPATO SERIKALI
Mkurugenzi Mkazi wa ASASI isiyo ya kiserikali ya kupiga vita umaskini Actionaid Tanzania (AATZ), Yaekob Metena akifungua kongamano la siku tatu kwa asasi zisizo za kiserikali, wawakilishi kutoka...
View ArticleMBUNGE WA JIMBO MOROGORO KUSINI ATEKELEZA AHADI YAKE YA KUKUWEZESHA CHAMA CHA...
Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris (kulia) Ahimkabidhi Pikipiki 11 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Vijijini Mh Jazar Ikiwa Ni ahadi yake aliyoitoa ya Kukusaidia chama cha...
View ArticleKINANA AONGOZA KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA VYA UKOMBOZI
Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akiongoza kikao cha Makatibu Wakuu wa Vyama Rafiki vilivyopigania Ukombozi wa Nchi Kusini mwa Afrika (FLM). Kushoto kwa Kinana ni Katibu Mtendaji Mkuu wa...
View ArticleRAIS KIKWETE AKUTANA NA MBUNIFU WA MAVAZI SHERIA NGOWI IKULU JIJINI DAR ES...
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)akibadilishanamawazo na Rais Jakaya Kikwete IKULU Leo Jijini Dar es Salaamalipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali Rais Jakaya Kikwete akipitia...
View ArticleLAUNCH OF CERTIFIED APPRENTICESHIP PROGRAM IN HOTEL OPERATION
Representatives from ILO, TUCTA, ATE and HAT in a group photo with the apprentices during the launch of the programme held in Dar es Salaam on 5TH AUGUST 2014.The launch was coupled with the signing of...
View ArticleKINANA AANZA ZIARA MKOA WA PWANI, AHUTUBIA MAMIA YA WATU KIMANZICHANA LEO
Katibu Mkuu wa CCM, akihutubia mamia ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, Kimanzichana, wilayani Mkuranga, mwanzoni mwa ziara yake mkoa wa Pwani. Picha zaidi baadaye. Katibu Mkuu wa...
View ArticleCANADIAN PRIME MINISTER STEPHEN HARPER AND AGA KHAN OPEN THE ISMAILI CENTRE...
PM Harper of Canada and HH the Aga Khan waving to crowds outside the Ismaili Centre, Toronto - AKDN / Zahur Ramji).The Right Honourable Stephen Harper, Prime Minister of Canada, and His Highness the...
View ArticleKINANA ASONONEWA MIKOROSHO ILIVYOKAUSHWA MKURANGA NA UGONJWA USIOJULIKANA,...
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akionyeshwa mikorosho iliyokauka katika mashamba ya wakulima wa zao hilo katika kijiji cha Magawa katika wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani, alipokagua adhari za...
View ArticleWAKAZI WA TABORA WAKIRI WAZI KUWA MASOKO NDIO CHANGAMOTO YAO KUBWA KATIKA...
SEMINA ya Kamata Fursa Jitathimini,Jiamini,Jiongeze inayoendeshwa sambamba na burudani za Fiesta 2014, jana imeendelea kwa kuwapatia dira ya maisha na namna ya kuwafanya wajikwamue kwenye shughuli...
View ArticleKINANA ASHIRIKI SHUGHULI ZA KIJAMII KIBITI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimtwisha maji mkazi wa kijiji cha Muyuyu Bi.Zainabu Athumani mara baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji utakaonufaisha wananchi 3765. Katibu Mkuu wa CCM...
View ArticleBENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI...
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh,Stephen Masele akizungumza kwenye uzinduzi huo uliovuta hisia za wanakijiji wengi.Naibu Waziri wa Nishati na Madini akizungumza na Wananchi Mkurugenzi Mtendaji wa...
View ArticleCCM YATIKISA KIBITI
Apokea viongozi wawli kutoka upinzaniAtaka serikali kuangalia upya sheria za utumishi. Katbu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kibiti mjini ambapo alisema kuna haja ya serikali...
View Article