Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22438 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SALMA KIKWETE AMLAKI MALKIA NOMSA WA SWAZILAND

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpokea Malkia Nomsa Matsebula wa Swaziland kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere tarehe 1.7.2014. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AVUNA WANACHAMA WAPYA 376 CHATO

Mbunge wa Jimbo la Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Wanachama wapya wa Chama cha Mapinduzi (CCM) walioamua kujiunga na chama hicho mara baada ya Mbunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMLILIA NG'WANAKILALA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone:255-22-2114512, 2116898E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz               Fax:...

View Article

BREAKING NEWZZZ!: BALOZI MDOGO WA LIBYA NCHINI TANZANIA AJIUA

TAARIFA ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba balozi mdogo wa Libya nchini Tanzania , Bwana Ismail Nwairat amejiua ofisini kwake.Taarifa za awali zinasema Balozi huyo alijifungia ofsini kwake na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK BILAL AUHUDHURIA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA BURUNDI

Rais wa Burundi Mhe. P. Nkurunziza akikagua gwaride rasmi kwa ajili ya maadhimisho ya Miaka 52 wa Uhuru wa Nchi hiyo yaliyofanyika Julai 1-2014 katika uwanja wa Prince Louis Rwegasore jijini Bujumbura...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN YAZIDI KUNG'AA MAONYESHO YA SABASABA, YATWAA TUZO YA "MACHAPISHO KWA UMMA"

Wafanyakazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa wakiwa kwenye picha ya pamoja ndani ya banda lao na nyuso za bashasha baada ya kunyakua tuzo ya Machapisho kwa Umma (Mass Media na Publicity) kwa mara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATHIBITISHA KIFO CHA BALOZI WA LIBYA

 Msemaji wa Serikali hapa nchini Assa Mwambene amekiri kutokea kwa kifo cha Balozi Msaidizi wa Libya nchini bwana Ismail Nwairat kwa kujipiga risasi mwenyewe majira ya saa saba usiku katika chumba cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YAMEIVA NDANI YA BANDA LA MeTL GROUP KWENYE MAONYESHO YA SABASABA!

Muonekano wa lango kuu la kuingia ndani ya banda la Makampuni ya MeTL Group kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyozinduliwa rasmi jana kwa kupewa baraka na Makamu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YATWAA TUZO YA UDHAMINI MAONESHO YA SABASABA DAR

Meneja wa Mawasiliano ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Oriyo , akifurahia tuzo ya udhamini kwa upande wa vinjwaji katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa baada kuipokea kutoka kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AKUTANA NA MABALOZI WA OMAN...

 Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi wa Oman nchini Tanzania, Saoud Ali Mohammed Al-Ruqaish, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA ARDHI PROFESA ANNA TIBAIJUKA ASIFU KAZI INAYOFANYWA NA SHIRIKA LA...

 Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akipokewa na Felic Maagi Mkurugenzi wa Fedha wa NHC wakati alipowasili kwenye Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 38 ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONANA NA MWANA MFALME WA JAPAN PRINCE AKISHINO NA MKEWE PRINCES...

Jakaya Mrisho Kikwete akimlaki  Mwana Mfalme wa Japan Prince Akishino na Mkewe Princess Akishino walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo July 3, 2014Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKOA WA DODOMA WASHEREHEKEA KUANZA KWA UJENZI WA MRADI WA BARABARA YA DODOMA...

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (wa nne kutoka kushoto) akiwaongoza wadau waliofika kuadhimisha sherehe za kuanza kwa ujenzi wa mradi wa barabara ya kutoka Mayamaya Dodoma hadi Bonga Babati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DHAMIRA YETU NI KUKIDHI MAHITAJI YA WATEJA YA KIBENKI NA YA KIFEDHA

Pichani ni  Meneja wa Tawi lililopo ndani ya  maonyesho ya biashara ya Kimataifa ya 38 yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwal.Julius Nyerere jijini Dar,Bi. Upendo Tendewa akifafanua zaidi huduma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AZINDUA MSIKITI WA MASJIDIL HUDA CHAMAZI...

  Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, akikata utepe kuzindua rasmi Msikiti wa ‘Masjidil Huda’ uliojengwa na mfanyabiashara maarufu nchini, Said Salim Bakhresa  katika eneo la Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEHEMU YA BARABARA YA KAWAWA KUFUNGWA LEO NA KESHO KUPISHA UJENZI

DAR ES SALAAM, Tanzania Mkandarasi mkuu wa ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo Haraka, Strabag International GmbH imetangaza kufungwa kwa muda kipande cha makutano ya Kawawa na barabara ya Kinondoni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMOJA WA MATAIFA WAONGEZA VIWANGO VYA POSHO ZA WALINZI WA AMANI

Na  Mwandishi Maalum, NEW YORKBaada ya  vuta ni kuvute  ya  muda mrefu na  majadiliano  makali   baina ya  nchi zinazotoa walinzi wa Amani ( TCC) na zile zinazochangia raslimali fedha,  hatimaye  siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WANNE, AKUTANA NA WAZIRI...

Rais Dkt. Jakaya Kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Malaysia nchini Tanzania Mheshimiwa Ismail Salem. Baada ya kupokea rasmi hati hizo Rais Dkt. Kikwete alifanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA NDANI YA GYM YA UWANJA WA AZAM COMPLEX, CHAMANZI

''VIONGOZI CCM TUPO IMARA"' Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akijaribu kufanya zoezi katika moja ya mashine kwenye Gym ya timu ya Aazam FC, kwenye Uwanja wa Chamazi Complex, wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI ANA KWA ANA NA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA WA...

View Article
Browsing all 22438 articles
Browse latest View live