Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE BORA WA MWAKA KUPATIKANA KESHO DODOMA

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda kesho atakuwa mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2013-14, itakayowakutanisha wanawake wanne itakayofanyika kesho katika Ukumbi wa The...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA KATA YA PERA WAAHIDI KURA KWA RIDHIWANI KIKWETE SIKU YA TAREHE 6

Mwananchi wa Kata Pera waahidi kumpigia kura Ridhiwani Kikwete tarehe 6 mwezi wa nne baada ya kuridhishwa na Hotuba zake zinazogusa changamoto zao kama elimu, maji, zahanati, barabara na namna...

View Article


VIDEO: KWA NINI WANAWAKE HAWACHAGUANI?

Ni swali ambalo kila mtu huwa anajiuliza hasa ukizingatia kuwa takwimu zinaonesha kwamba wanawake ni wengi zaidi ya wanaume katika jamii. Kama ni hivyo, kwa nini wagombea wengi wa nafasi mbali mbali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA KUKUTANA NA SURPRISE LEO DODOMA

Stori: Ojuku AbrahamWAZIRI Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda leo atakutana na ‘surprise’ ya aina yake, wakati atakapokabidhi tuzo kwa mwanamke bora wa mwaka, ambaye hadi sasa bado hajafahamika ni nani kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU PINDA AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiweka mchanga katika kaburi la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,  kwenye mazishi yaliyofanyika  nyumbani kwa marehemu, Kilosa mkoani Morogoro, leo Machi 29,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA KUTUA SUMBAWANGA LEO KWA AJILI YA ZIARA YA MKOA WA RUKWA

CCM Blog, SumbawangaKatibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (Pichani), anatarajiwa kutua mjini Sumbawanga, leo saa tano asubuhi kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani Rukwa.  Taarifa zilizopatikana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA KATA YA MANDERA WARUDISHA KADI ZA UPINZANI KWA WINGI KWA RIDHIWANI

Ridhiwani ahakikishiwa kura kata ya MandelaWananchi wa Chalinze wasema dhihaka zinazotolewa na wapinzani kuisha tarehe 6Wafugaji wamuunga mkono.Wapinzani warudisha kadi kama mvua  Mgombea Ubunge Jimbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

KINANA ATUA SUMBAWANGA LEO KUANZA ZIARA YA SIKU 21 MIKOA YA RUKWA, KATAVI NA KIGOMAMar 30, 2014 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishuka kwenye Ndege, Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA TATHMINI YA UCHAGUZI CHALINZE

Kampeni zinaendelea vizuri, ingawa kuna malalamiko kidogo juu ya uvunjwaji ama ukiukwaji wa sheria za uchaguzi na malalamiko hayo yapo kwenye vyombo husika yanafanyiwa kazi.Malalamiko hayo yanahusishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA NDANI YA MJI MDOGO WA NAMANYERE, WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na kinamama wa hamasa, baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika, Jumapili, Machi 30, 2014, katika mji mdogo wa Namanyere, wilayani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI AJIHAKIKISHIA USHINDI MKANGE

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza na Baadhi ya Viongozi wa Dini kwenye Kijiji cha Mkange,Kata ya Mkange wakati alipopita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM NA KAMPENI ZA KISTAARABU

 Hizi ni Changamoto tu za wakati wa kampeni kata ya Mandera Kata ya Pera. Kata ya Bwilingu Kata ya Lugoba Mkoa wa Vyuo Vikuu bega kwa bega katika kufanikisha ushindi kwa CCM Chalinze Kila mwenye uwezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AONGEA NA MAMIA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA

  Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia mamia ya Watanzania waishio Uingereza alipokutana nao usiku wa Machi 30, 2014 katika ukumbi wa Sattavis Patidar Centre, Wembley, London, Rais yupo katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZANZIBALICIOUS KUWAKOMBOA WANAWAKE

Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe akisaini kitabu cha wageni cha Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious kwenye sherehe za uzinduzi wa Umoja huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CFAO MOTORS WAZINDUA TOLEO JIPYA LA MERCEDES BENZ JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, Bw.Wayne McIntosh akiteta jambo na baadhi ya wageni waalikwa kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa toleo jipya la gari aina ya Mercedes Benz E-Class...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 4

KINANA AZURU KATA ZA MWAMBAO WA ZIWA TANGANYIKA LEO KATIKA ZIARA YAKE WILAYANI NKASI MKOANI RUKWAMar 31, 2014 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Rukwa,  Hypolitus Matete (aliyenyoosha mkono), akimuonyesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA KINANA MWEMBEYANGA WAWEKA HISTORIA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga. Wananchi waliohudhuria mkutano huo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI KUANZA NA BARABARA KISHA ELIMU NA AFYA TOKAMISASA

 Ridhiwani Kikwete akihutubia wakazi wa kijiji cha Tokamisasa wakati wa mkutano wa kampeni za ubunge zinazoendelea ambapo aliwaambia kuwa atahakikisha tatizo la wakulima na wafugaji kwa kuweka mpango...

View Article

MWELEKEO WA KIMBUNGA "HELLEN" NA HALI YA MVUA

TAARIFA KUTOKA MAMLAKA YA HALI YA HEWA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL APANDA MTI KUADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal, akipanda mti wa Mwembe nje ya Ofisi yake mpya ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya kupanda miti. Picha na OMR

View Article
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>