Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22418 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA WAPIGA KURA LITAKALOTUMIKA KATIKA...

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva akisoma taarifa ya tume mbele ya waandishi wa habari inayohusu ufafanuzi kuhusu daftari la kudumu la wapiga kura litakalotumika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAZIDI AMNADI RIDHIWANI KATIKA MKUTANO WA KWANZA WA KAMPENI CHALINZE

Meneja wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Steven Kazidi (kushoto) akimuinua mkono juu kwa ishara ya kumnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo (CCM),Ndg....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISA YA SHUKRANI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WA DK. SLAA ANASWA KWA TUHUMA ZA KUGAWA RUSHWA KWA WAPIGAKURA KALENGA

 Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Rose Kamili, ambaye pia ni mke wa Katibu Mkuu wa chama hicho Dk. Wilbrod Slaa, akiwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kukamatwa kwa madai ya kukutwa akigawa rushwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAWEKA HISTORIA KALENGA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Kalenga kupitia CCM Ndugu Godfrey Mgimwa wakati wa mkutano wa mwisho wa kampeni uliofanyika Kidamali leo tarehe 15 Machi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAFUNGA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO KALENGA

Wananchi wakiwa wamembeba kwa furaha mgombea wa Ubunge jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kwa tiketi ya CCM, Godfrey Mgimwa, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni uliofanywa na Katibu Mkuu wa CCM...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA WA KUTUMAINIWA AFARIKI DUNIA DAR

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WA KALENGA WAPIGA KURA LEO

 Wananchi wakiwa kwenye kituo cha kupiga kura cha Kalenga A leo wakati wa upigaji kura, katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini. Yosefa Cosmas akitumbukiza kura yake kwenye kisanduku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAONGOZA KATA 11 KATI YA 13 UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA

Mashabiki wa CCM wakimbeba aliyekuwa mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini Godfrey Mgimwa, baada ya kupata matokeo ya awali ya CCM kuongoza kata 11 kati ya kata zote13 katika matokeo ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATANDAO WA UMEME NCHINI HADI MACH 2014

 Takwimu zinaonyesha kwamba  kwa sasa asilimia 36% (kutoka  asilimia 10% ya mwaka 2005)  Tanzania Bara wana pata umeme asilimia 36% wanatumia umeme na asilimia 21% ya wanavijiji wa Bara wanatumia umeme...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANDAO WA UMEME NCHINI HADI MACHI 2014

 Takwimu zinaonyesha kwamba  kwa sasa asilimia 36% (kutoka  asilimia 10% ya mwaka 2005)  Tanzania Bara wana pata umeme asilimia 36% wanatumia umeme na asilimia 21% ya wanavijiji wa Bara wanatumia umeme...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO YA MWISHO UCHAGUZI MDOGO KALENGA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPIGAPICHA WA MAGAZETI YA CHAMA BASHIR NKOROMO APATA TUZO YA UPIGAPICHA BORA...

  Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Pili Mtambalike akimkabidhi zawadi ya king'amuzi cha DSTv na cheti kwa mshindi wa pili katika tuzo ya Mpigapicha Bora Tanzania, Bashir...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AMVAA MKUU WA KITUO CHA POLISI

Na Flora Kamaghe, IringaKatibu wa chama cha mapinduzi  mkoa wa iringa Hassani Mtenga amempa  mda wa wiki moja Mkuu wa Kituo cha polisi mkoani Iringa Siphaeli  Pyuza  kumuomba radhi kwa kitendo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AKUTANA NA MJUMBE WA FRELIMO

 Katibu Mkuu wa CCM, Kanali  Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mjumbe wa Kamisheni wa Chama cha Frelimo cha Msumbiji Jenerali  Raimundo Domingos, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDLIZI YA MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UBUNGE CCM JIMBO CHALINZE...

Maandalizi ya mkutano mkubwa wa uzinduzi wa kampeni za Ubunge kupitia CCM jimbo la Chalinze yaendelea vizuri ambapo jioni ya leo Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana anatarajiwa kuhutubia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAZINDUA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE, KINANA, MAMA SALMA...

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mgombea wa CCM katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete wakipunga mikono baada ya kuwsili kwenye Uwanja wa Miembe saba, kwa ajili ya mkutano...

View Article


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM INA IMANI NA MUUNDO WA SERIKALI MBILI

CCM bado inaamini katika Muundo wa Serikali mbiliCCM ina amini Muungano huu muhimu unadumishwa na kuimarishwaMuundo tulionao uboreshweTutangulize mbele Uzalendo na maslahi ya kweli ya nchi yetu. Katibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KADA WA CCM SHINYANGA AFARIKI DUNIA

Na Chibura Makorongo, ShinyangaCHAMA Cha Mapinduzi (CCMI mkoani Shinyanga kimepata pigo baada ya kuondokewa na mmoja wa makada wake maarufu ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa CCM katika kata ya...

View Article
Browsing all 22418 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>