Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22418 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IKULU YAKANUSHA HABARI ZA GAZETI LA MWANANCHI YA RAIS KIKWETE KUMTEMBELEA...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipotembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI) katika  Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jana (Jumamosi) kuwajulia hali wanahabari wawili –...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SWAGA ZA LEO KWENYE MKUTANO WA TOSAMAGANGA NA KALENGA

Mwananchi akiwa amepaki baiskeli yake yenye bendera ya Chama Cha Mapinduzi katika kitongoji cha Tosamaganga wakati wa mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea ubunge kupitia CCM Ndugu Godfery Mgimwa....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGIMWA AENDELEA NA KAMPENI TOSAMAGANGA NA KALENGA LEO

Godfrey Mgimwa akihutubia wakazi wa kitongoji chaTosamaganga ambapo aliwaeleza wazi wananchi hao kuwa anaelewa changamoto zaona atashirikiana na wananchi hao kutatua hizo changamoto.Mwenyekiti wa CCM...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA BADO KUNA UPUNGUFU WA MAJAJI:JAJI RUTAKANGWA

Mgeni rasmi Jaji wa Mahakama ya Rufani, Edward Rutakangwa (katikati) akiwasili kufungua rasmi mafunzo ya siku nne juu ya sheria za kimataifa za kazi kwa majaji na wasajili wa mahakama nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI KUU CCM YARIDHIA RIDHIWANI KIKWETE KUGOMBEA CHALINZE, KAMPENI...

DODOMA,TanzaniaKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Kada wa CCM, Ridhiwani Kikwete kuwa mgombea wake wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kuziba nafasi iliyoachwa wazi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANZANIA USIDANGANYIKE!

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANGULA ATOA SOMO KWA VIONGOZI NA WANACHAMA WA CCM JIMBO LA KALENGA

 Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula akionyesha mfano wa karatasi la kupiga kura kwa wanachama wa CCM wanaoishi kwenye kitongoji cha Ulete,Kijiji cha Muwimbi mkoani Iringa . Mgombea wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITTA ACHUKUA FOMU KUWANIA UENYEKITI BUNGE LA KATIBA

Mgombea Uenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samwel Sitta akipokea Fomu kutoka kwa Ofisa wa Bunge Bi. Lidya Mwaipyana Katikati ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mbunge wa Nzega Hamisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAN KI MOON AWACHAGIZA WANAWAKE KUENDELEA KUTETEA FURSA SAWA

Katibu  Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban  Ki  Moon, akifungua mkutano wa 58 wa Kamisheni kuhusu Hali ya Wanawake ( CSW) Mkutano huu  wa wiki mbili  unafanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa,  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAANDISHI WANAWAKE WANAFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU-UTAFITI

Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Irina Bokova,  ( kati kati) akizungumza wakati wa majadiliano kuhusu Teknolojia ya habari na mawasiliano na mchango wa  vyombo huru vya habari katika  kuwawezesha wanawake na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VUAMA VYA SIASA VINAVYOSHIRIKI UCHAGUZI...

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva (kulia) akishauriana jambo na jopo la wajumbe wa tume hiyo, wakati wakisubiri kuzungumza na wawakilishi wa vyama vinavyoshiriki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA WAUMBUKA IRINGA, WASHINDWA KUONYESHA SHERIA INAYOWARUHUSU KULINDA...

Na Bashir Nkoromo, Iringa WAWAKILISHI wa Chadema wakiongozwa na Mratibu wa Kampeni za chama hicho katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Benson Kigaiya leo wameumbuka baada ya kushindwa kuonyesha...

View Article

TAHADARI YA MVUA KUBWA / HEAVY RAINFALL KATIKA BAADHI YA MAENEO YA NCHI...

TAHADHARI YA MVUA KUBWAWARNING 13-03-2014

View Article


PINGAMIZI DHIDI YA MGOMBEA WA CHADEMA CHALINZE

TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE .FABIAN LEONARD SKAUKI – MGOMBEA CHAMA CHA WANANCHI –CUFDHIDI YAMATHAYO MANG’UNDA TORONGEY – MGOMBEA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE APOKEA RIPOTI YA MGAWANYIKO WA WATU KWA UMRI NA JINSIA LEO...

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa   Kamishna wa Sensa Hajjat Amina Mrisho Ripoti ya Mgawanyo wa Watu kwa Umri na Jinsia kwa data za sensa ya watu na makazi mwaka 2012 leo Machi 13, 2014...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEGA TRADE WATOA MSAADA KWA WALIOKUMBWA NA MAAFA WILAYA YA HAI-KILIMANJARO

 Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga (watatu kushoto) akipokea msaada wa mabati yenye thamani ya shilingi Milioni 5 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kiwanda cha Mega Trade Investiment ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAZIDI KUCHANJA MBUGA KAMPENI ZAKE JIMBO LA KALENGA

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa akisalimiana na vijana na wananchi kwa jumla baada ya kuwasili leo katika kijiji cha Elandutwa, katika jimbo hilo, Iringa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KUMWAPISHA LEO YAHYA KHAMIS HAMAD KUWA KATIBU WA BUNGE LAAMU LA KATIBA,...

DODOMA, TanzaniaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo asubuhi, Ijumaa, Machi 14, atamwapisha Katibu wa Baraza la Wawakilishi Bwana Yahya Khamis Hamad kuwa Katibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI: HELKOPTA MARUFUKU KWENYE ANGA LA KALENGA SIKU YA UCHAGUZI, WALIOTUMWA...

Kamanda Mungi akizungumza leoNa Bashir Nkoromo, IringaJESHI la Polisi, limepiga marufuku chama chochote kurusha helkopta kwenye anga la jimbo la Kalenga, na limeahidi kushughulikia kikamilifu kundi au...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINANA AINGIA KWA KISHINDO KALENGA LEO, AMNADI MGIMWA KWA MAMIA YA WANANCHI...

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimnadi mgombea ubunge jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CCM, Godfrey Mgimwa, katika mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na maelfu ya wananchi katika Kijiji cha...

View Article
Browsing all 22418 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>