KINANA AKUTANA NA BODA BODA WA MKOA WA MBEYA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishangiliwa kwa nguvu na madereva wa pikipiki za kubebea abiria maarufu kama Boda boda wakati wa kikao na Boda boda hao kilichofanyika ukumbi wa Mtenda...
View ArticleMAANDALIZI SHEREHE ZA MIAKA 37 YA CCM YAIVA MBEYA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupalilia katika shamba la Mage Kolimwa (wapili kulia), katika Kijiji cha Mlimanyoka, Kata ya Nsalanga, wilala ya Mbeya mjini. Kinana alifika...
View ArticleCCM YAZIDI KUJIIMARISHA MBEYA MJINI
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akigawa kadi kwa wanachma wapya waliojiunga na CCM baada ya kuzindua shina la Wakereketwa la Madereva wa Bodaboda Inyara,Iyunga mkoani Mbeya.Katibu wa NEC...
View ArticleMAANDALIZI YA SHEREHE ZA MIAKA 37 YAFIKIA HATUA ZA MWISHO
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye uwanja wa Sokoine ,ambapo alisema maandalizi yote yamekamilika ,majukwaa yamekamilika, uwanja umerekebishwa vizuri...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM TAIFA AWASILI MKOANI MBEYA TAYARI KWA SHEREHE ZA MIAKA 37...
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano akipunga mkono wakati akishuka kutoka kwenye ndege jioni ya leo kwenye uwanja wa Kimataifa wa Songwe mkoani Mbeya tayari kwa sherehe za kuzaliwa...
View ArticleMATEMBEZI YA MSHIKAMAO KUADHIMISHA MIAKA 37 YA CCM YAFANA JIJINI MBEYA
Mweneyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili eneo la Soweto kuongoza matembezi ya mshikamano ya miaka 37 ya CCM, yaliyofanyika leo asubuhi mjini Mbeya. Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape...
View ArticleRAIS JAKAYA KIKWETE AGUSWA NA UTENDAJI WA KINANA, ATAKA AWE MFANO WA KUIGWA
Kikwete akizungumza kwenye kilele cha miaka 37 ya CCM leoNA BASHIR NKOROMO, MBEYAMWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete leo amevunja ukimya na kuzungumzia suala la mawaziri waliotuhumiwa na wananchi...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM, RAIS KIKWETE AONGOZA SHEREHE ZA MIAKA 37 ZA CCM LEO MJINI...
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akiwasili katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Mbeya kuwaongoza wana-CCM katika kilele cha maadhimisho ya miaka 37 ya CCM leo Rais Jakaya Kikwete...
View ArticleRAIS KIKWETE ATEMBELEA MAJENGO YA BUNGE DODOMA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua sehemu ya kukalia katika Bunge jijini Dodoma alikotembea kukagua inayokarabati na kufanyiwa marekebisho tayari tayari kwa kupokea wajumbe wa Bunge la katiba...
View ArticleTANZANIA MJUMBE WA BODI TENDAJI UNDP, UNFPA NA UNOPS
Na Mwandishi Maalum, New YorkTanzania kupitia Uwakilishi wake wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, imeshiriki kikamilifu katika vikao vya kawaida vya Bodi Tendaji ya Mashirika na Mifuko inayosimamia...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKUU WA JESHI LA POLISI NCHINI IGP MANGU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini...
View ArticleUSIKU WA WASANII NA WAANDISHI WA HABARI WAFANA
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na wageni waalikwa kwenye sherehe za Usiku wa Wasanii na Waandishi wa Habari zilizofanyika usiku wa tarehe 2 Februari kwenye ukumbi wa...
View ArticleRAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE APOKEA HUNDI YA SHILINGI MILIONI 100 ILIYOTOLEWA...
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hundi ya Shilingi Milioni 100 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyozikumba wilaya tatu...
View ArticleKINANA AZURU NYUMBANI KWA MAREHEMU MGIMWA, IRINGA
Katibu Mkuuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia Mama Mzazi wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa, Consolata Mgovano, alipokwenda nyumbani kwa marehemu Mgimwa, Kijiji cha Magunga, jimbo...
View ArticleMWAKILISHI MPYA WA KIEMBESAMAKI AAPISHWA
Msafara wa Mwakilishi Mpya wa Jimbo la Kiembesamaki ukiingia katika viwanja Baraza la Wawakilishi kumshindikiza kwa ajili ya kuapishwa leo asubuhi. Gari iliomchukuwa Mhe. Mahmoud Thabit Kombo...
View ArticleMAOFISA HABARI NA MAWASILIANO WATOA MSAADA KWA WAZEE WA KITUO CHA MWANZANGE,...
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene, Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania Innocent Mungy (mwenyeshati la mistari) na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni...
View ArticleJUMA NKAMIA; KUTOKA UTANGAZAJI HADI NAIBU WAZIRI
Ni siku chache tangu Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amuapishe Juma Nkamia kuitumika Serikali yake katika nafasi ya Unaibu Waziri, katika Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, moja ya wizara...
View ArticleZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN NCHINI INDIA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein alipokuwa akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Watanzania wanaosoma katika vyuo mbali mbali nchini India, jana katika...
View ArticleKIKAO MAALUMU CHA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI CHAFANYIKA DAR
Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akisoma dua kabla ya kikao hicho cha Baraza la Vyama Vya Siasa vyenye usajili kuanza katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaa...
View ArticleNAPE ALAANI VITENDO VYA KINYAMA VINAVYOFANYWA NA UPINZANI
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.Nape alisema kitendo cha wana CCM kushambuliwa ni kitendo cha kinyama na kinatakiwa...
View Article
More Pages to Explore .....