Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22431 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA SAMIA AONGOZA KUAGWA MWILI WA MAREHEMU LINAH MWAKYEMBE, DAR

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akionekana kuwa mwenye huzunikubwa wakati akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Mkewe, Marehemu Linah Mwakyembe, wakatiwa shughuli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JULAI 19,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI UWT CHAFANYIKA, DAR

 Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wanawake Tanzania (UWT) Amina Makilagi akisoma mapato na matumizi ya Jumuia hiyo, katika kikao cha Kamati ya Utekelezaji kilichofanyika jana Makao Makuu ya Jumuia hiyo mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA KAGOMA-BIHARAMULO-LUSAHUNGA, LEO

 Rais Dk. John Magufuli  leo amefungua Barabara ya Kagoma-Biharamulo hadi Lusahunga yenye urefu wa kilometa 154.  Barabara hii imeunganisha mikoa ya Kagera, Geita, Kigoma,Mwanza, Shinyanga na nchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAJI UPENDO MSUYA AFARIKI DUNA, LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKILAGI: WATAKAOTUMIA RUSHWA UCHAGUZI HUU UWT TUTAWATIA ADABU

Katibu Mkuu wa UWT, Amina Makilagi akizungumza na Waandishi wa habari, leo jijini Dar es SalaamNA BASHIR NKOROMOJumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) imeapa kuwa ya mfano katika Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. MAGUFULI ATEMBELEA SHULE YA SEMONARI KATOKE ALIKOSOMA ELIMU YA...

 Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akimuonyesha Mkewe Mama Janeth Magufuli kitanda alichokuwa akitumia kulala wakati akisoma kidato cha tatu katika shule ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JULAI 20,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAVUNDE AWA GUMZO LEO HOSPITAL YA RUFAA MKOA WA DODOMA

Mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde,akizungumza na wafanyakazi wa Hospital ya Mkoa wa Dodoma hii leo.  Mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde,akibonyeza kitufe wakati wa kuzindua matumizi ya mfumo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI LUKUVI AMSIMAMISHA MUWEKEZAJI WA MKONGE MKOANI TANGA.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiongea na wakazi wa kata ya Mnazi wilaya ya Lushoto mkoni Tanga waliozuia msafara wake na kumpa malalamiko kuhusu mashamba matatu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AANZA ZIARA YA MKOA WA SONGWE

Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Chiku Galawa baada ya kuwasili Mkwajuni wilayani Songwe kuanza ziara ya mkoa wa Songwe Julai 20, 2017. Kulia ni mkewe Mary. Waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JULAI 21,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAKA AWATAKA VIJANA KUJIUNGA NA UJASIRIAMALI KIGOMA

 Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kibondo Salome lihungilanywa akimkaribisha Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijna wa CCM, (UVCCM), Shaka Hamdu shaka wakati wa kusain kitabu cha Mahudhurio ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JULAI 22,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VYUO NA VYUO VIKUU-UVCCM WAMKINGIA KIFUA RAIS DK. MAGUFULI

Kaimu Katibu Mkuu wa Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu-UVCCM Daniel Zenda akizungumza wakati wa kikao cha kazi na viongoziwa Vyuo na Vyuo Vikuu mkoa wa Dar es Salaam, leoNa Nassir BakariUmoja wa Vijana wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA ISRAEL NCHINI MHE. YAHEL VILAN AWAAGA WAFANYAKAZI WA TAASISI YA...

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimshukuru Balozi wa Israel nchini mwenye makazi yake jijini Nairobi nchini Kenya Mhe. Yahel Vilan (kulia) kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA POLEPOLE WILAYANI ILALA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELFU WALIVYOFURIKA KATIKA MKUTANO WA RAIS DK. MAGUFULI WILAYANI KASULU...

Maelfu ya wananchi wa Kasulu Mjini waliohudhuria Mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyeweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Kidahwe - Kasulu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JULAI 23,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHAKA AMALIZA ZIARA YA KIKAZI WILAYA YA MAGU, ATUA WILANI UKEREWE

 Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka, akishiriki Kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya CCM Kata ya Mwamanga wilayani Magu Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka,...

View Article
Browsing all 22431 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>