WAZIRI WA ZAMANI WA NISHATI NA MADINI WILLIAM NGELEJA ARUDISHA FEDHA ZA...
Waziri wa Nishati na Madini wa zamani, Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja.NA MWANDISHI WETUWiki kadhaa baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kumpandisha kizimbani...
View ArticleTAARIFA MUHIMU KWA VIONGOZI WA VIJANA VYUO NA VYUO VIKUU
Ndugu Viongozi wa Seneti Mikoa wa Vyuo na Vyuo Vikuu pamoja na pongezi kwa kazi zinazoendelea hasa kwa kipindi hiki cha Uchaguzi ndani ya Chama.Mnakumbushwa kutuma taarifa za Uchaguzi zinazo endelea...
View ArticleRAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AKABIDHI NYUMBA 50 ZA WATUMISHI WA AFYA KATIKA...
 Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu Benjamin Mkapa akimkabidhi Hati za Umiliki wa nyumba 50 za Watumishi wa Afya kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu katika uwanja wa...
View ArticleDK. MAGUFULI: MKAPA NA KIKWETE WALINITENGENEZEA MAISHA YA KISIASA
NA MWANDISHI WETURais John Magufuli ameukumbuka mchango wa marais wastaafu, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete na kuwashukuru huku akieleza kuwa wao ndiyo waliotengeneza maisha yake ya kisiasa hadi kuwa...
View ArticleRAIS AMTEUA PROF LUOGA KUWA MWENYEKITI BODI YA WAKURUGENZI TRA
Rais Dk. John Pombe Magufuli leo tarehe 11 Julai, 2017 amemteua Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (Taaluma), Prof. Florens D.A.M Luoga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka...
View ArticleSERIKALI KUWEKA MAZINGIRA BORA KUHAKIKISHA HUDUMA ZA SIMU ZINAKUWA BORA...
Mama SamiaMakamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kusimamia na kuweka mazingira bora yatakayosaidia mamia ya wananchi nchini kuhakikisha wanapata huduma za mawasiliano ya simu...
View ArticleTAASISI YAUNGA MKONO KAULI YA JPM KUHUSU MIMBA SHULENI
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya James Foundation Leonard Manyama (kulia) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari wakati akitoa tamko la kuunga mkono kauli ya Rais Magufuli kuhusu kutowarejesha...
View ArticleMAKAMU WA RAIS,SAMIA AMRITHI MAMA SALMA KIKWETE ULEZI WA TANZANIA GIRL GUIDES
Aliyekuwa Mlezi wa Chama cha Tanzania Girl Guides (TGGA), Mama Salma Kikwete (kushoto) akimkabidhi  Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan bendera ikiwa ni ishara ya kumpatia ulezi wa chama hicho katika...
View ArticleKINANA AKUTANA NA MABALOZI WA MAREKANI, ALGERIA NA PALESTINA, LEO
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Ofisini kwake, Kaimu Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom,alipofika kwa ajili ya mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,...
View ArticleCCM CHALINZE YAFANYA KIKAO CHA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA CHALINZE
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwan Kikwete wa pili toka kushoto,akiwa katika  kikao cha Maendeleo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani.  Mbunge wa...
View ArticleNAIBU WAZIRI NISHATI DKT MEDARD KALEMANI AZINDUA MRADI WA REA MKOA WA SIMIYU
 Naibu waziri wa Nishati na Madini Dkt Medard Kalemani akizindua mradi wa Umeme vijijini REA jana Nangale wilaya ya Itilima mkoani Simiyu akiwa ameambatana na viongozi wa mkoa huo. Naibu waziri wa...
View ArticleNAIBU WAZIRI JAFO AHIMIZA WAAJIRI KUWASILISHA MICHANGO YA WANACHAMA KWA WAKATI
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo akikabidhiwa fomu ya kujiunga na Mfuko wa Pensheni wa PSPF kupitia Mpango wa uchangiaji wa Hiari, (PSS), kutoka kwa Mfkurugenzi wa...
View ArticleNAIBU WAZIRI DK. KIGWANGALLA AAGIZA UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA TUNDURU
Naibu waziri wizara ya Afya, Jinsia, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto Dk. Hamisi Kigwangalla akilakiwa na wananchi wa Kijiji cha Mkasale wilayani Tunduru, Mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake hiyo...
View ArticleRC SHINYANGA ATEMBELEA KIWANDA CHA MAFUTA YA MCHELE KIZUMBI SHINYANGA
Ijumaa Julai 15,2017,Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainab Telack ametembelea kiwanda cha kutengeneza mafuta ya mchele kinachomilikiwa na kampuni ya Mwekezaji kutoka nchi ya China Jielong Holding kilichopo...
View Article