Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22447 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO APRILI 5, 2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AWATAKIA HERI SERENGETI BOYS

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wakati wa hafla fupi ya chakula cha usiku ambapo aliwaalika kwenye makazi yake timu ya Taifa ya Vijana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO APRIL 6,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISA WA CHA AKIPERUZI BLOG YA TAIFA YA CCM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII BONGO MOVIE WATINGA KWA MAKONDA AWAKOE NA JANGA LA WIZI WA KAZI ZAO

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiwa na baadhi ya Watengenezaji na Wasanii wa Filamu nchini, baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake, leo. Panoja na Makonda ni Kamanda wa Polisi Kanda Maalum...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWT YAWAPONGEZA WABUNGE KWA UCHAGUZI, YALAANI KAULI ZA MBOWE

Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) unatoa pongezi kwa Wabunge wa Bunge Tukufu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutumia haki yao  ya kidemokrasia, kikatiba na kikanuni kufanikisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO APRIL 7,2017

View Article

MAPITIO YA MAGAZETI CHANNEL TEN, LEO APRILI 7, 2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC KASESELA AWATAKA WANANCHI KUACHANA NA IMANI ZA KISHIRIKINA

 Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake hii leoNa Fredy Mgunda,IringaMkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela amewataka wananchi wa wilaya ya iringa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABODI: DHANA YA UMOJA WA KITAIFA ZANZIBAR ILIASISIWA NA HAYATI KARUME

NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.CHAMA Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema dhana ya kuanzishwa kwa fikra ya Umoja wa Kitaifa ilianzia kwa aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar  Marehemu Mzee Abeid Aman...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCHAMBI: WANANCHI MUWE KICHOCHEO CHA MAENDELEO

Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Suleiman Nchambi akifungua kikao cha Kamati ya Mfuko wa Jimbo kilichofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Kishapu.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. SHEIN AZUNGUMZA NA WALIMU WA MIKOA YA PEMBA

 Rais wa Zanzibar na Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akifuatana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mmanga Mjengo Mjawiri mara alipowasili katika viwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUHIMBILI YAWAJENGEA UWEZO MADAKTARI WA HOSPITALI BINAFSI NA UMMA NCHINI...

 Daktari Bingwa aliyebobea katika Magonjwa ya Kinamama na Uzazi, Profesa Rafique Parkar akifanya upasuaji wa kutumia njia ya matudu madogo kwa kushirikiana na madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS AMTUMBUA MTENDAJI MKUU SHIRIKA LA ELIMU KIBAHA

Rais wa John Magufuli ametengua  uteuzi wa Mtendaji  Mkuu wa Shirika  Elimu Kibaha  Dk. Crispin  Mpemba  ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali za kiutendaji zinazomkabili.Akijibu swali la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA ASHIRIKI HITMA YA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR, HAYATI KARUME

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdalla Juma Abdalla (Mabodi) alipowasili katika viwanja vya Ofisi Kuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA INAUNGANA NA WATANZANIA WOTE KATIKA KUMBUKUMBU YA RAIS WA KWANZA WA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO APRIL 8,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA YALETA MADHARA NA KUSABABISHA KAYA 20 KUKOSA MAKAZI

 Baadhi ya Nyumba katika eneo la Chalinze Mzee zikiwa zimearibika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akiangalia madhara yaliosababishwa na mafuriko katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO APRIL 9,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HABARI DEVELOPMENT ASSOCIATION KUZINDUA KLABU ZA KUPIGAVITA UJANGILI TANZANIA

NA BASHIR NKOROMOTaasisi ya Waandishi wa Habari ambao ni wanaharakati wa kupinga ujangili ya Habari Development Developmnet Association (HDA) itafanya uzinduzi rasmi wa  klabu za kupinga ujangili...

View Article
Browsing all 22447 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>