Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22418 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA MIAKA 53 HATIMAYE WANANCHI WA MTAA WA IGUNGANDEMBWE MANISPAA YA...

Mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Iringa Ritta Kabati kupitia chama cha mapinduzi (CCM) akikinga maji kwenye ndoo kuashiria sasa kisima cha maji kimefunguliwa na kuanza kutumia kwa wakazi wa mtaa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DKT.ASHATU KIJAJI AFUNGUA TAWI JIPYA LA...

Afisa Mtendaji Mkuu wa First National Bank, Dave Aitken akiongea na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji wakati wa uzinduzi wa tawi la benki hiyo jijini Arusha mwishoni mwa wiki. Naibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO FEB 28,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WALIOSHIRIKI KAMPENI 2015 (MAMA ONGEA NA MWANAO) WAPINGA UVUMI...

 Msemaji wa Mama Ongea na Mwanao,Ndumbago Misayo (Thea) akizungumza na waandishi wa habari juu ya taarifa katika mitandao ya kijamii  inayodai kuwa wasaanii waliozunguka na Makamu wa Rais, Samia Hassan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIFUNGASHIO VYA POMBE KALI – VOROBA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Mamkamba. (MB) akitoa Taarifa kwa Umma kuhusu marufuku ya uzalishaji, uingizaji , usambazaji,na matumizi ya vifungashio vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKALA: WIKI YA SHERIA NA SIKU YA SHERIA NCHINI, 2017

Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma akikagua gwaride maalum lililoandaliwa, ukaguzi wa gwaride hili huashiria kuanza rasmi kwa shughuli za Mahakama kwa mwaka husika.Na Mary Gwera,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MARCH MOSI 2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI JAFO AKAGUA UJENZI WA MABWENI SHULE YA SEKONDARI MBOGA

Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete akizungumza katika ziara ya  Naibu Waziri wa TAMISEMI Suleiman Jafo,alipotembelea Shule ya Sekondari ya Mboga kukagua ujenzi unaondelea shuleni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMUIA YA WAZAZI WATAKIWA KUUUNGA MKONO SERIKALI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA...

 Katibu wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Stanley Mkandawile akizungumza na baadhi ya viongozi wa Jumuia hiyo kutoka katika Kata mbalimbali za wilaya ya Ilala, alipokutana nao katika kikao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM ZANZIBAR VUAI ALI VUAI KATIKA ZIARA YAKE YA...

 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai Akizungumza na viongozi, watendaji na wanachama wa Jimbo la Rahaleo katika ziara anayofanya Mkoa wa Mjini kichama. Mwenyekiti wa Mkoa wa Mjini Borafya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. MAGUFULI NA MKAPA WASALI IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU LEO, JIJINI DAR...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamini Wiliam Mkapa katika Kanisa la Mtakatifu Petro, wakati wa  ibada ya Jumatano ya Majivu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KUFANYIKA WIKI IJAYO

Dodoma, TanzaniaMachi 8, 2017, Watanzania wataungana na nchi watanachama wa Umoja wa Mataifa, katika kuadhimiasha Siku ya Wanawake Duniani.Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. MAGUFULI AMTEUA MAMA SALMA KIKWETE KUWA MBUNGE, LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MERCH 2,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA MAREHEMU JOHN KOMBA ATOA WIMBO KUUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA DAWA...

NA BASHIR NKOROMOIkiwa sasa ni takriban miaka miwili tangu aliyekuwa Mkurugenzi wa Tanzania One Theatre (TOT), Kampteni John Komba, kufariki Dunia, Mtoto wake Gerald John Komba, ameibuka na kutoa wimbo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. MAGUFULI AANZA LEO ZIARA YA KIKAZI PWANI, LINDI NA MTWARA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKANDAWILE: VITA YA SERIKALI DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA NI UTEKELEZAJI ILANI YA...

Na Bashir NkoromoJUMUIA ya Wazaziya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuiunga mkono Serikali, katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya ili kuwaokoa Watanzania hasa vijana katika janga linalotokana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA, KUFANYIKA MACHI 12, MJINI DODOMA

Na Bashir NkoromoChama Cha Mapinduzi (CCM), kimepanga kufanya Mkutano wake Mkuu Maalum wa Taifa, Machi 12, 2017 mjini Dodoma.Taarifa iliyosainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI ATOA SIKU 28 KUPATIKANA KWA MAJI SAFI NA SALAMA RUFUJI.

Rais Dkt .John Magufuli akiwa na Mbunge wa Rufuji Mohamed Mchengerwa mwenye  mic.Rais Dkt .John Magufuli akiwa na Mbunge wa Rufuji Mohamed Mchengerwa mwenye  mic.Rais John Magufuli, amemtaja Mbunge wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI KIWANDA CHA VIGAE CHA GOOD...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu You qing mara baada ya kuweka jiwe la Msingi katika Kiwanda kikubwa cha kutengeneza...

View Article
Browsing all 22418 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>