SHIRIKISHO LA WANAFUZI VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA LALAANI KAULI ZA...
Katibu wa TAHLISO Siraji Madebe akizungumza leoDAR ES SALAAMSiku chache baada ya Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima kuwashutumu viongozi wa CCM kwamba wanamipango ya kutomkadhi...
View ArticleMATUKIO KIBAO YA BUNGENI DODOMA
Mbunge wa Viti Maalumu, Bupe Mwakang'ata (CCM), Mkoa wa Rukwa, akiuliza swali kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi) bungeni Dodoma LEO, kwamba serikali ina mkakati gani wa kusimamia fedha...
View ArticleMAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA AWASILI MKOANI...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk. Stephen Kebwe mara baada ya kuwasili mkoani hapo ambapo atahudhuria sherehe ya...
View ArticlePANAFRICAN ENERGY TANZANIA YAKABIDHI MADAWATI 800 KWA WILAYA YA KILWA
Meneja wa Uwajibikaji na Huduma za kijamii wa Kampuni ya Uchimbaji gesi ya PanAfrican Energy (CSR Manager) Andrew Kashangaki akifafanua jambo wakati wa hafla ya makabidhiano ya madawati kwaajili ya...
View ArticleDK. POSSI ASISITIZA UMUHIMU WA VIFAA SAIDIZI KWA WATU WENYE ULEMAVU
Na Mwandishi Maalum, New YorkImeelezwa kwamba , upatikanaji wa vifaa saidizi ( assistive divices) kwa watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali siyo tu, utawawezesha kushiriki katika shughuli za...
View ArticleOLE SABAYA: MEDEYE AMEISOMA NAMBA CHADEMA
Mwenyekiti wa Chama cha UDP Mzee John Momose Cheyo akimkabidhi kadi ya uanachama Goodluck Ole Medeye aliyekuwa mwanachama wa chama cha Demokrasia CHADEMA .Na Woinde Shizza , Arusha Umoja wa Vijana wa...
View ArticleRAIS MSTAAFU, DR. JAKAYA KIKWETE ATEULIWA KUWA BALOZI WA HESHIMA WA MAENDELEO...
NA BASHIR NKOROMOKITUO cha Ufundi cha Kilimo na Maendeleo Vijijini (Technical Centre for Agricultural and Rural Cooperation, CTA) chenye makao makuu mjini Wageningen, Uholanzi kimemteua Rais Mstaafu...
View ArticleSAFARI YA DK. MAGUFULI KUKABIDHIWA UENYEKITI CCM YAIVA, MKUTANO MKUU MAALUM...
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, pamoja na mambo mengine, Kikao...
View ArticleTHE POOL OF SILOAM CHURCH WAUOMBEA AMANI MKOA WA DAR ES SAALM NA TANZANIA KWA...
Wakili wa Mungu wa Kanisa la The Pool of Siloam, Elisha Eliya akiendesha sala maalum ya kuuombea amani mkoa wa Dar es Salaam na Tanzania kwa jumla wakati wa Ibada iliyofanyika leo, katika Kanisa hilo,...
View ArticleUMOJA WA MATAIFA(UN) WAZINDUA SEHEMU YA PILI MPANGO WA MISAADA YA...
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Alvaro Rodriguez akizungumza katika halfa ya kuzindua mpango wa misaada ya maendeleo UNDAP 2 2016-2021.Katika kuendeleza juhudi zake za kusaidia mataifa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AWATAKA WAISLAMU NCHINI KUDUMISHA AMANI, UPENDO NA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa tafrija ya Futari iliyoandaliwa na Baraza Kuu la Waisalm wa Tanzania (Bakwata) iliyofanyika kwenye...
View ArticleRAIS MAGUFULI ATEUA WAKUU WAPYA WA WILAYA NA KUFANYA MABADILIKO KATIKA BAADHI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 26 Juni, 2016 amefanya mabadiliko madogo katika safu ya wakuu wa mikoa na amewateua wakuu wa wilaya 139.Rais Magufuli Ateua...
View ArticleMHE. JANUARY MAKAMBA ASHIRIKI MAHAFALI YA 24 YA CHUO CHA BIBLIA
Mhe.January Makamba Akiwasili chuoni hapoAkitazama sehemu ya maaandalizi ya bwawa la kufuga samaki Mhe. January Makamba akijifunza namna ya utengenezaji wa Mizinga ya nyuki kwa kutumia udongo wa...
View ArticleTHE SILOAM CHURCH LAWATIA BARAKA WAANDSHI WA HABARI KUBARIKI KAZI ZAO ZA KILA...
Wakili wa Mungu wa Kanisa la The Pool of Siloam, Elisha Eliya akiendesha sala maalum ya kuuombea amani tanzania na pia kuwatia baraka Waandishi wa habari, ambao walihudhuria kwenye ibada iliyoongozwa...
View ArticleBABA YAKE HUMPHREY POLEPOLE AZIKWA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Humprey Polepole akizungumza wakati wa ibada maalum ya kumuombea Marehemu Hezron Polepole Kinyangidzi katika kanisa la KKKT Ushirika wa Segerea.Picha ya Marehemu Hezron...
View ArticleMTANZANIA ALIYEIBUKA MSHINDI WA KWANZA AFRIKA NA WA SITA DUNIANI KATIKA...
Mwanazuoni kutoka Kondoa, Tanzania, Sheikh Rajay Ayub ambaye ameibuka mshindi wa kwanza Afrika na wa sita Duniani katika mashindano ya 37 ya Kimataifa ya usomaji Qur-an kwa njia ya Taj-weed,...
View ArticleRAIS DK. MAGUFULI ATEUA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI WA MAJINI, MANISPAA NA WILAYA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAKURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULUSimu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425OFISI YA RAIS,...
View Article
More Pages to Explore .....