OLE SENDEKA MSEMAJI RASMI WA CHAMA CHA MAPINDUZI
TAARIFA ILIYOSOMWA LEO NA OLE SENDEKA BAADA YA KUTAMBULISHWA KWA WAANDISHI WA HABARI LEOMachi 15, 2016, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akiwaapisha Wakuu wapya wa...
View ArticleMWAKILISHI WA UMOJA WA AFRIKA KWENYE MGOGORO WA LIBYA, RAIS MSTAAFU JAKAYA...
Na Mwandishi MaalumRais Mstaafu Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ndiye Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika katika utatuzi wa mgogoro wa Libya ameshiriki Mkutano wa Kamati ya Uandishi ya Baraza...
View ArticleMATOKEO YA ZANZIBAR YATANGAZWA
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha alipokuwa akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa marudio jana katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja,ambapo Mgombe wa Urais wa Chama cha...
View ArticleRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ATEKELEZA AGIZO LA MKUU WA MKOA WA DAR ES...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia kwa makini zoezi la uhakiki wa silaha zake lililokuwa likifanywa na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Neema Laizer Ikulu...
View ArticleRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA...
SALAMU ZA RAMBI RAMBI
View ArticleKAMATI KUU MAALUM YAKUTANA ZANZIBAR
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifungua kikao cha Kamati Kuu Maalum kilichofanyika kwenye Afisi Kuu za CCM Zanzibar,Kikao hicho kiliongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) ,Rais...
View ArticleKAMATI YA BUNGE YA UKIMWI YATEMBELEA MSD
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu (mwenye suti nyeusi kushoto), akiwatembeza Wajumbe wa Kamati Bunge ya Mauala ya Ukimwi waliotembelea MSD Keko Dar es Salaam jana.Mwenyekiti...
View ArticleZUBEIR ALI MAULID AIBUKA KIDEDEA ZANZIBAR
Ndugu Zubeir Ali MaulidWAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi watokanao na Chama Cha Mapinduzi Zanzibar leo wamefanya Uchaguzi wa kumpata mjumbe atakaye peperusha bendera ya CCM katika kinyang’anyiro cha...
View ArticleMKUTANO WA NANE WA NCHI MAJIRANI WA LIBYA ULIOFANYIKA JIJINI TUNIS, TUNISIA...
Rais Mstaafu na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika katika Usuluhishi wa Mgogoro Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasilisha salamu za Umoja wa Afrika kwa nchi majirani za...
View ArticleMAGUFULI ASALI PASAKA AZANIA FRONT
Na Mwandishi MaalumRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasihi watanzania kuendelea kuwa wamoja na kushirikiana kuijenga nchi yao, badala ya kubaguana.Rais Magufuli...
View ArticleTAMASHA LA PASAKA LAPAGAWISHA MASHABIKI WA MUZIKI WA INJILI CCM KIRUMBA...
Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akizindua rasmi albam mpya ya mwimbaji Goodluck wakati wa tamasha la Pasaka lililofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo na...
View ArticleWIZARA YA UJENZI ,UCHUKUZI NA MAWASILIANO YAENDELEA NA MCHAKATO WA UKUSANYAJI...
Mkurugenzi Msaidizi anayeshughulikia masuala ya Simu katika Wizara ya Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Ndugu John Mwera akizungumza na wanahabari katika viwanja vya Chuo Cha Uhasibu jijini Mbeya( TIA )...
View ArticleNAPE AZINDUA TAMASHA LA KIMATAIFA LA FILAMU MJINI ARUSHA
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamasha la Kimataifa la Filamu la Tanzanite mkoani Arusha . Waziri Nape aliwaambia wadau na waigizaji wa...
View ArticleJUKWAA LA HURU LA WAZALENDO TANZANIA LATOA TAMKO KUHUSU MWENENDO WA BUNGE,...
Katibu wa Jukwaa Huru la Wazalendo Tanzania, Mtela Mwampamba akizungumza na waandishi wa habari leo, Ubungo mjini Dar es Salaam, kuhusu mwenendo wa Bunge la Bajeti na hatua ya Wabunge wa baadhi ya...
View ArticleWAZIRI MUHONGO ATUA JIJINI DAR JIONI HII AKITOKEA NCHINI UGANDA KUKAMILISHA...
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kati) akiwasili jijini Dar es salaam jioni hii, akitokea Jijini Kampala alikoenda kukamilisha dili la bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga,...
View Article