Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22424 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIBA NYUMBANI KWA MAREHEMU GEORGE SEBO BOWIE, MARYLAND NCHINI MAREKANI

Kushoto ni Abdul Sebo  mtoto wa marehemu akipewa pole na moja ya ndugu, jamaa na marafiki waliofika nyumbani kwa marehemu Bowie kutoa pole na rambi rambi zao kwa wafiwa kutokana na kifo cha mpendwa wao...

View Article


MAPITIO YA MAGAZETI STAR TV, TBC NA CHANNEL TEN LEO

STAR TV TBC CHANNEL TEN

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUUJIZA WA KUPANDIKIZA KWA UBOHO (BONE NARROW) ULIVYOBADILISHA MAISHA

The founder and Chairman of Apollo Hospitals Dr. Prathap .C. Reddy.Mara nyingi watu kutoka nchi zilizoendelea waishio na tatizo la damu na upungufu wa kinga mwilini huishi, tofauti na nchi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AHANI MSIBA WA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TAA, MHANDISI SULEIMAN SAID SULEIMAN

 RAIS mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisjo Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na watoto watatu wa marehemu Mhandisi Suleiman Said Suleiman, aliyekuwa mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja Vya...

View Article

NAPE AZUNGUMZIA YALIOJIRI KWENYE KIKAO CHA WABUNGE WA CCM MJINI DODOMA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AONESHA UMAHIRI WAKE WA KUSHONA

 Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akionesha umahiri wake wa kutumia Cherahani na kushona nguo za wafanyakazi wakati alipofanya ziara ya kutembelea na kuvifahamu vitengo mbalimbali vya Ikulu jijini...

View Article

JPM AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AKUTANA NA KAMATI YA MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 39 YA KUZALIWA...

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na wajumbe wa kamati ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa CCM ambayo Kitaifa yatafanyika mkoani Singida.Katibu wa NEC Itikadi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CCM RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ATUZWA SHAHADA YA HESHIMA YA...

 Mkuu wa Chuo Kikuu  Huria cha Tanzania  (OUT), Dk. Asha Rose Migiro akimhudhurisha Shahada ya Heshima ya Udaktari ya Uhusiano wa Kimataifa, Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE ATEMBELEA KITUO CHA UTAMADUNI BUJORA PAMOJA NA CHUO CHA MAENDELEO YA...

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (kulia) akikaribishwa kwenye kituo cha utamaduni wa Kisukuma Bujora na Mlezi na Mshauri wa kituo cha utamaduni pamoja na machifu wa...

View Article

NAPE AKITUMBUIZA PAMOJA NA VIJANA WA MUZIKI WA HIP HOP KUTOKA KASKAZINI...

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye amewaambia wasanii kufanya kazi zenye ubora kwani kazi zao zitaangaliwa na  nchi nyingi kupitia kituo cha Clouds TV ambacho kinapatika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE AWATAKA WASANII KUFANYA KAZI ZENYE UBORA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akipiga gitaa kwenye sherehe za uzinduzi wa Chaneli 294 itakayokuwa inapatikana kwenye king'amuzi cha DSTV.Waziri Nape aliwataka wasanii...

View Article

DODOO ZA MAGAZETI YA LEO KATIKA BAADHI YA TV ZA TANZANIA

STAR TVCHANNEL TEN TBC MLIMANI TV

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AMTEUA MAHADHI JUMA MAALIM KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI...

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)  jijini Dar es salaam. Na Eleuteri Mangi-MAELEZO Mhe. Rais Dkt. Magufuli amemteua aliyekuwa Naibu Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI WA VITAMBULISHO VYA...

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es salaam wakati alipotangazia umma wa watanzania kuhusu hatua ambazo Rais Dk. John Pombe Magufuli amechukua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAIMU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU ATANGAZA KIHAMA KWA WALA RUSHWA HASA...

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru), Kamishna Valentino Mlowola akizungumza na wanahabari. Kaimu Mkurugenzi Mkuuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YATAKA UMOJA WA MATAIFA KUZINGATIA MISINGI ILIYOJIWEKEA

Na   Mwandishi Maalum, New  YorkWakati  Tanzania ikipongeza, kusifu na kushukuru uhusiano na ushirikiano wake na Umoja wa Mataifa kupitia  Mifuko  na Mashirika yake ya  Maendeleo,  imeutaka pia Umoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AKABIDHI RIPOTI YA JOPO LAKE KWA BAN KI MOON NAYE AMSHUKURU

Na  Mwandishi Maalum, New YorkMwenyekiti wa Jopo la  Ngazi ya juu kuhusu  Mwitikio wa Kimataifa wa   Majanga ya Kiafya, Rais Mstaafu, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete,  jana  Jumatatu, amemkabidhi Katibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. ASHA-ROSE MIGIRO AKUTANA NA BALOZI WA UFARANSA, MAKAO MAKUU YA CCM, DAR...

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, anayeshughulika na Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI) Ndugu Asha-Rose Migiro, akimkaribisha Balozi wa Ufaransa  Nchini Tanzania, Malika Berak, Ofisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGILI YAUA RUBANI BAADA YA KUTUNGUA KWA RISASI NDEGE YA TANAPA

NA K-VIS MEDIA/Khalfan SaidRUBANI wa helikopta ya Doria ya Mamlaka ya Wanyamapori Nchini, (TANAPA), Roger Gower raia wa Uingereza ameuawa baada ya kupigwa risasi akiwa angani na watu wanaosadikiwa kuwa...

View Article
Browsing all 22424 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>