MAGUFULI ATINGA MKOANI GEITA
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji mdogo wa Katoro kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Mnadani, mkoani Geita. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk....
View ArticleMAGUFULI ALIVYOISIMAMISHA GEITA
Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Karangalala tayari kuhutubia wakazi wa Geita mjini. Umati ukiwa umefurika kumsikiliza mgombea wa urais kupitia CCM Dk....
View ArticleMAMA SAMIA ACHANJA MBUGA KUPIGA KAMPENI HANDENI, KILINDI, KITETO NA NCHEMBA LEO
Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, alipohutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Handeni mkoa wa Tanga. Mgombea Mwenza wa...
View ArticleCELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina Kombani amefariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu.Taarifa za kifo chake kimewastua Viongozi wa Serikali,...
View ArticleMAMA SAMIA KUANZA KAMPENI MKOA WA MOROGORO LEO
Na Bashir NkoromoMgombea Mwenza wa Urais kw tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, leo anaanza ziara ya kufanya mikutano ya kampeni katika mkoa wa Morogoro.Mama samia ambaye anaanza mkoa wa Morogoro...
View ArticleMAMA SAMIA ARINDIMA KUFANYA KAMPENI MKOANI MOROGORO LEO
Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ukiwasili mkoani Morogoro leo ukitokea mkoani Dodoma.Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, MamaSamia Suluhu Hassan...
View ArticleKAHAMA YAHEMEWA MKUTANO WA MAGUFULI
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Milango 10 tayari kuhutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Kahama...
View ArticleMAGUFULI : SERIKALI ITAKUWA RAFIKI WA SEKTA BINAFSI
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Shinyanga mjini waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Kambarage ambapo...
View ArticleMAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI MAFINGA LEO
Mkutano wake waweka historiaKada maarufu wa Chadema anayefahamika kwa jina la Gift Sikauka Mwachang'a ajiunga na CCMMagufuli atoa somo kwa vijana kujua wapi nchi imetoka, ilipo na inapoelekeaAahidi...
View ArticleMAGUFULI,NAPE ,MWAKALEBELA WAUNGURUMA IRINGA
Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Iringa mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika katika uwanja wa Samora. Mgombea wa...
View ArticleMAGUFULI KUUNGURUMA LEO KWENYE UWANJA WA JAMHURI MJINI DODOMA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na mgombea ubunge wa jimbo la Isimani mkoani Iringa Mhe. William Lukuvi...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA
Chama cha Mapinduzi kinasikitishwa na kitendo cha wafuasi wa vyama vinavyounda UKAWA kupiga mawe na kutupa chupa, baadhi zikiwa na mikojo, kwenye Ofisi ya CCM Mkoa wa Tanga jana, tarehe 28 Septemba...
View ArticleTEAM BAJAJI WAKIPIGA KAMPENI YA MTU KWA MTU MAKAMBAKO
JB akiwasalimu wakazi wa Makambako
View ArticleNAMELOK SOKOINE AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE MONDULI
MGOMBEA jimbo la Monduli kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Namelok Sokoine, akihutubia mkutano wa hadhara wakati wa uzinduzi wa kampeni zake zilizofanyika katika viwanja vya Nanja Mnadani Monduli...
View ArticleMKUTANO WA CCM WA KAMPENI JIMBO LA PAJE KUSINI UNGUJA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CC Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM jimbo la Paje katika mkutano wa hadhara wa...
View ArticleMAMA SAMIA AWASILI MUSOMA LEO KUENDELEA NA KAMPENI,
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Musoma, leo asubuhi, kuendelea na ziara ya kufanya mikutano ya kampeni katika maeneo mbalimbali...
View Article